Kabila gani zuri jamani la kuoa?

Kabila gani zuri jamani la kuoa?

Tabia mbaya haina kabila...ndugu yangu...omba mungu akupe mke mwema..mwenye tabia njema..........
 
oa kabila la waliosoma kuokoa kizazi kijacchooo na sio unamwuwowaaaaaa
 
Usihangaike sana kaoe kwa wajomba alikotoka mamaako.
 
daaahh..nilikuwa nasubilia sifa a mke wa KIKINGA sijaziona...ila kaka kila mtu anatabia yake..usigeneralize kikabila.tafuta mwanamke wakuishi nae ambaye ni bora kwa ajili ya familia yako.sio mwanamke kabila hapo utabugiiii
 
Rijali haoi kabila bali anaoa mke mwenye kukidhi vigezo na masharti.
 
mke mwema anatoka kwa Mungu.....na huyu Mungu wala hakutaja kabila.......

mwombe Mungu akupatie mke mwema......
 
Kwani unaoa kabila? We kabila lako zuri kuolewa? Karne hii bado watu wanaulizia kabila kwanza la mke wa kuoa. Tufike mahali tuaze kufikiria vigezo ambavyon vya msngi zaid kuliko ukabila
 
Kweli kabisa!

Kwa mfano huyo mtu ni kabila gani?

Baba Mmasai, mama Mbondei. Babu mzaa baba Msukuma na bibi Mkinga. Babu mzaa mama Mmakonde na bibi Mhaya.

Sasa huyu jamaa kabila gani? Hamna kabila hapo - ni Mtanzania tu.
Haiwezekani Msukuma na Mkinga wakazaa Mmasai na haiwezekani pia Mmakonde na Mhaya wakazaa Mbondei.
 
oa mama mwaasi baba mrangi.bibi mbulu.babu muhaya.niwazuri ni wapishi .hawagawi ovyo.piya siwajinga wanapenda maendelewo.sana piya hawatowi siri za ndani.
 
Jamani wana JamiiForums, naadhani nimekuwa mkubwa, natamani sana kuoa maana kama kazi namshukuru mungu, ila tatizo sijajua kabila zuri la kuoa ni lipi. Naombeni mchango wenu maana kuna wadigo, wachaga na.

kaoe mnyambo wa karagwe akuzalie watoto wazuri walochanganywa na damu ya mnyarwanda,
 
Back
Top Bottom