Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Fundi Mchundo,

Umelinganisha OIC na FIFA, baadae ukachanganya na mambo ya OAU na siasa za makaburu, lakini nitakujibu na kukuuliza. Uanachama wa Tz kwenye FIFA ni kwa mujibu wa sera ya nchi ya michezo ambayo iko wazi, si katika mpira wa miguu peke yake. Uanachama kwenye vyombo vingine vya kiserikali vya kimataifa ni kwa mujibu wa sera ya mambo ya nje (hebu tafuta muda uisome). Uanachama kwenye miungano ya kiuchumi km COMESA nk ni kwa mujibu pia wa sera za kiuchumi na mambo ya nje kadhalika.

Sasa maswali: Sera ya Tanzania kwenye dini inasemaje, ndipo tukajiunge na muungano wa mataifa ulioundwa kwa mujibu wa itikadi za kidini? Sera ya nchi kuendeleza maslahi ya watu kwa mujibu wa dini zao inasemaje? Ili kama kuna sera ya kuendeleza mambo ya waislamu (ambayo yanashindikana katika sera nyingine zilizopo) iliyobuniwa na serikali yetu tuliyoichagua, tuukubali mpango huu wa kujiunga OIC kama mojawapo ya malengo ya taifa. Na hapo unijibu kuwa sera za kuendeleza maslahi ya watu wa dini nyingine ziko wapi na zinasemaje? Kama sera hizo zipo, hakuna haja ya kupinga hoja hii maana lengo lolote likishachukuliwa kitaifa linakuwa ni lengo la taifa, na serikali ina jukumu ya kulitekeleza. Ni lini mambo ya kiimani ya waislamu au watu wa dini yoyote yalichukuliwa kisera na serikali na kuwa vipaumbele vya kitaifa, malengo ya kitaifa?

Narudia msimamo wangu hadi hapo mtu atakapofanikiwa kunishawishi vinginevyo, kuwa ili kujiunga na taasisi ya kimataifa yoyote, lazima iwe na malengo tunayokubaliana nayo kama taifa. Iwapo taifa limeweka katika vipaumbele vyake suala la "kuendeleza wanawake", ikija taasisi ya namna hiyo tunajiunga, maana ni lengo la taifa pia. Na ni lazima kukubaliana na malengo YOTE, mkishaanza kuchuja hakuna umoja tena. Mfano wa Afrika Kusini kupinga uvamizi wa Comoro hauingii hapa, maana licha ya kupinga kikaoni azimio lilipitishwa na AU ambayo Afrika kusini ni mwanachama, kwa hiyo kilichotokea Comoro ni collective responsibility ya wanachama wote wa AU ikiwamo Afrika Kusini. Kutopeleka majeshi si hoja maana huo si mchango pekee, na hata zile zilizounga mkono, nyingi hazikupeleka majeshi, kwanza askari waliohitajika ni pungufu ya batallion moja. Bado hela za AU zilitumika kwenye operesheni ile ambazo Afrika kusini ni mmojawapo wa wachangiaji. Na hizi ni dynamics za kawaida kwenye mikutano, watu hupingana kwenye hoja, lakini azimio likfikiwa la wote hata waliopinga wakati wa mjadala wanabaki kuwa sehemu ya azimio lile, unless wanajitoa kwenye umoja huo.
 
Ulidai kuwa kwa kujiunga na OIC tutafungwa na maamuzi yake yote. Ndiyo maana nikakutole mfano wa AU na Comoro. Kudai kuwa ati kwa vile Afrika Kusini inalipa ada katika AU kwa hiyo by extension ili-support uvamizi wa Comoro ni kupungukiwa hoja! Ulidai kuwa siwezi kufananisha FIFA na OIC, ndiyo maana nikakutolea mifano ya OAU na AU. Ulidai kuwa sijasoma Charter ya OIC, nimekuwekea Charter hiyo na kukuuliza katika principle zake ipi inatofautiana na sera zetu? Sera ya nchi yetu ni kuleta maendeleo kwa wananchi wake WOTE na wala haitofautishi kati ya muislamu, mhindu, mkristu, Mbaha'i, asiye na dini n.k. Kama vile sera ya nchi ni kuendeleza MICHEZO na wala haitofautishi kati ya mpira wa miguu, netball, kriketi n.k. Kudai kuwa ni lazima sera iwaongelee waislamu ni kuwa "disingenuous"! Kwa kujiunga na OIC, serikali haitakuwa inawapa kipaumbele waislamu bali inaendeleza sera yake ya kuwaletea maendeleo watu wake WOTE. Hivi unaamini kama utatoka msaada kujenga shule Mwaneromango, wakristu watazuiwa kusoma katika shule hiyo? Mbona wengi tu wamepitia shule za Bakwata bila kuslimu? Unaamini kuwa wakichimba visima Bagamoyo watazuia wakristu kuchota maji kwenye visima hivyo? Hakuna mahali katika Charter yao panapo zungumzia suala la ku-proselytize kama mnavyojaribu kututishia! Sasa kama mnapinga chombo moderate kama hiki, mnataka waislamu washirikiane na chombo kipi? Al Qaeda?

Watu kama nyinyi msichokiona ni kuwa kwa kushikia bango hili suala bila ya kuwa na sababu ya maana zaidi ya kuwa ni chombo cha kiislamu mnawajengea hoja wale waislamu wachache wanaoamini kuwa wakristu hata siku moja hawana imani na wao. Kwa maneno mengine kuna hatari kubwa ya kuwa-radicalize sehemu kubwa ya waislamu.
 
Ulidai kuwa kwa kujiunga na OIC tutafungwa na maamuzi yake yote. Ndiyo maana nikakutole mfano wa AU na Comoro. Kudai kuwa ati kwa vile Afrika Kusini inalipa ada katika AU kwa hiyo by extension ili-support uvamizi wa Comoro ni kupungukiwa hoja! Ulidai kuwa siwezi kufananisha FIFA na OIC, ndiyo maana nikakutolea mifano ya OAU na AU. Ulidai kuwa sijasoma Charter ya OIC, nimekuwekea Charter hiyo na kukuuliza katika principle zake ipi inatofautiana na sera zetu? Sera ya nchi yetu ni kuleta maendeleo kwa wananchi wake WOTE na wala haitofautishi kati ya muislamu, mhindu, mkristu, Mbaha'i, asiye na dini n.k. Kama vile sera ya nchi ni kuendeleza MICHEZO na wala haitofautishi kati ya mpira wa miguu, netball, kriketi n.k. Kudai kuwa ni lazima sera iwaongelee waislamu ni kuwa "disingenuous"! Kwa kujiunga na OIC, serikali haitakuwa inawapa kipaumbele waislamu bali inaendeleza sera yake ya kuwaletea maendeleo watu wake WOTE. Hivi unaamini kama utatoka msaada kujenga shule Mwaneromango, wakristu watazuiwa kusoma katika shule hiyo? Mbona wengi tu wamepitia shule za Bakwata bila kuslimu? Unaamini kuwa wakichimba visima Bagamoyo watazuia wakristu kuchota maji kwenye visima hivyo? Hakuna mahali katika Charter yao panapo zungumzia suala la ku-proselytize kama mnavyojaribu kututishia! Sasa kama mnapinga chombo moderate kama hiki, mnataka waislamu washirikiane na chombo kipi? Al Qaeda?

Watu kama nyinyi msichokiona ni kuwa kwa kushikia bango hili suala bila ya kuwa na sababu ya maana zaidi ya kuwa ni chombo cha kiislamu mnawajengea hoja wale waislamu wachache wanaoamini kuwa wakristu hata siku moja hawana imani na wao. Kwa maneno mengine kuna hatari kubwa ya kuwa-radicalize sehemu kubwa ya waislamu.

Wewe Fundi wewe! Hiyo charter hujaisoma na kama uliisoma basi unafanya makusudi ili uniaminishe kuwa hukuielewa, kinyume kabisa na matarajio yangu kwa mujibu wauwezo wako wa kujenga na kubomoa hoja ninaoufahamu tangu nianze kukusoma hapa jamvini.

Sasa nakuwekea hapa charter yote, tena toleo jipya, katika pdf, download, soma rudi tena ujibu hoja. Kwa sasa siichambui sana naangalia kwenye objectives tu, malengo, maana ndiyo msingi ninaoamini unafaa kutuongoza katika kuamua kujiunga na taasisi yoyote. Na nikasema nchi inapojiunga na taasisi yoyote, inatazama jinsi malengo yake ya kitaifa yanavyopewa nafasi katika malengo ya taasisi husika, na kwa mujibu wa sera ya nchi kuhusu suala husika. Hapo sibadiliki. Na lazima kuhakikisha makubaliano tunayoingia katika umoja huo hayakinzani na misimamo yetu ya kitaifa.

Sasa baada ya kusoma objectives za OIC, hebu rudi hapa uniambie katika sera za nchi yetu ni wapi tuna malengo kama taifa ya kutekeleza yafuatayo:

"To support and empower the Palestinian people to exercise their right to selfdetermination and establish their sovereign State with Al-Quds Al-Sharif as its capital, while safeguarding its historic and Islamic character as well as the Holy places therein";
Hili ni lengo namba 8 la OIC. Kukusaidia katika kujibu, pitia sera yetu ya mambo ya nje usome na usome msimamo wa Tanzania kama taifa kuhusu suala la amani Mashariki ya Kati.

Lengo namba 9 linasema:
"To strengthen intra-Islamic economic and trade cooperation; in order to achieve economic integration leading to the establishment of an Islamic Common Market;" Je hii ndiyo sera ama lengo la kiuchumi la Tanzania? Ni sera ipi inakubaliana na hili?

Lengo namba 11:
"To disseminate, promote and preserve the Islamic teachings and values based on moderation and tolerance, promote Islamic culture and safeguard Islamic heritage;" Hapa serikali inaingia katika kazi ya kueneza mafundisho ya kiislamu! Na mafundisho ya dini nyingine itaeneza pia au ni hawa tu? Hii kazi kwa nini isifanywe na wenye dini yao, badala ya umoja wa kidola/kiserikali? Ni sera ya nchi yetu pia hii, kueneza dini?

Lengo namba 12:
"To protect and defend the true image of Islam, to combat defamation of Islam and encourage dialogue among civilisations and religions;". Hii ni kazi ya kufanywa katika ngazi ya serikali kwenye nchi isiyo na dini? Sasa nani atakayelinda na kutetea "true image" ya dini nyingine, au hizo hazihitaji hiyo? Je hii iko katika sera na malengo ya taifa letu?

Sasa twende kwenye uanachama. Sharti mojawapo ni hili:
"Any State, member of the United Nations, having Muslim majority and abiding by the Charter, which submits an application for membership may join the Organisation if approved by consensus only by the Council of Foreign Ministers on the basis of the agreed criteria adopted by the Council of Foreign Ministers". Hivi Tanzania ina Muslim majority, kwa reference ipi? Na imewekwa wazi "abiding by the charter", yale maneno yako ya kusema utachagua unayotaka katika muungano bado unayashikilia?

Maswala ya sheria:
"The International Islamic Court of Justice established in Kuwait in 1987 shall, upon the entry into force of its Statute, be the principal judicial organ of the Organisation". Hizi ndizo sheria zitakazotumika kwa maswala ya umoja huo, ambao nchi kama ya kwetu ina watu wengi ambao si wahusika wa sheria hizo! Bado unaona ni sawa?

Jibu kwanza hayo halafu tuendelee.
 
Ulidai kuwa kwa kujiunga na OIC tutafungwa na maamuzi yake yote. Ndiyo maana nikakutole mfano wa AU na Comoro. Kudai kuwa ati kwa vile Afrika Kusini inalipa ada katika AU kwa hiyo by extension ili-support uvamizi wa Comoro ni kupungukiwa hoja! Ulidai kuwa siwezi kufananisha FIFA na OIC, ndiyo maana nikakutolea mifano ya OAU na AU. Ulidai kuwa sijasoma Charter ya OIC, nimekuwekea Charter hiyo na kukuuliza katika principle zake ipi inatofautiana na sera zetu? Sera ya nchi yetu ni kuleta maendeleo kwa wananchi wake WOTE na wala haitofautishi kati ya muislamu, mhindu, mkristu, Mbaha'i, asiye na dini n.k. Kama vile sera ya nchi ni kuendeleza MICHEZO na wala haitofautishi kati ya mpira wa miguu, netball, kriketi n.k. Kudai kuwa ni lazima sera iwaongelee waislamu ni kuwa "disingenuous"! Kwa kujiunga na OIC, serikali haitakuwa inawapa kipaumbele waislamu bali inaendeleza sera yake ya kuwaletea maendeleo watu wake WOTE. Hivi unaamini kama utatoka msaada kujenga shule Mwaneromango, wakristu watazuiwa kusoma katika shule hiyo? Mbona wengi tu wamepitia shule za Bakwata bila kuslimu? Unaamini kuwa wakichimba visima Bagamoyo watazuia wakristu kuchota maji kwenye visima hivyo? Hakuna mahali katika Charter yao panapo zungumzia suala la ku-proselytize kama mnavyojaribu kututishia! Sasa kama mnapinga chombo moderate kama hiki, mnataka waislamu washirikiane na chombo kipi? Al Qaeda?

Watu kama nyinyi msichokiona ni kuwa kwa kushikia bango hili suala bila ya kuwa na sababu ya maana zaidi ya kuwa ni chombo cha kiislamu mnawajengea hoja wale waislamu wachache wanaoamini kuwa wakristu hata siku moja hawana imani na wao. Kwa maneno mengine kuna hatari kubwa ya kuwa-radicalize sehemu kubwa ya waislamu.

Wewe Fundi wewe! Hiyo charter hujaisoma na kama uliisoma basi unafanya makusudi ili uniaminishe kuwa hukuielewa, kinyume kabisa na matarajio yangu kwa mujibu wauwezo wako wa kujenga na kubomoa hoja ninaoufahamu tangu nianze kukusoma hapa jamvini.

Sasa nakuwekea hapa charter yote, tena toleo jipya, katika pdf, download, soma rudi tena ujibu hoja. Kwa sasa siichambui sana naangalia kwenye objectives tu, malengo, maana ndiyo msingi ninaoamini unafaa kutuongoza katika kuamua kujiunga na taasisi yoyote. Na nikasema nchi inapojiunga na taasisi yoyote, inatazama jinsi malengo yake ya kitaifa yanavyopewa nafasi katika malengo ya taasisi husika, na kwa mujibu wa sera ya nchi kuhusu suala husika. Hapo sibadiliki. Na lazima kuhakikisha makubaliano tunayoingia katika umoja huo hayakinzani na misimamo yetu ya kitaifa.

Sasa baada ya kusoma objectives za OIC, hebu rudi hapa uniambie katika sera za nchi yetu ni wapi tuna malengo kama taifa ya kutekeleza yafuatayo:

"To support and empower the Palestinian people to exercise their right to selfdetermination and establish their sovereign State with Al-Quds Al-Sharif as its capital, while safeguarding its historic and Islamic character as well as the Holy places therein";
Hili ni lengo namba 8 la OIC. Kukusaidia katika kujibu, pitia sera yetu ya mambo ya nje usome na usome msimamo wa Tanzania kama taifa kuhusu suala la amani Mashariki ya Kati.

Lengo namba 9 linasema:
"To strengthen intra-Islamic economic and trade cooperation; in order to achieve economic integration leading to the establishment of an Islamic Common Market;" Je hii ndiyo sera ama lengo la kiuchumi la Tanzania? Ni sera ipi inakubaliana na hili?

Lengo namba 11:
"To disseminate, promote and preserve the Islamic teachings and values based on moderation and tolerance, promote Islamic culture and safeguard Islamic heritage;" Hapa serikali inaingia katika kazi ya kueneza mafundisho ya kiislamu! Na mafundisho ya dini nyingine itaeneza pia au ni hawa tu? Hii kazi kwa nini isifanywe na wenye dini yao, badala ya umoja wa kidola/kiserikali? Ni sera ya nchi yetu pia hii, kueneza dini?

Lengo namba 12:
"To protect and defend the true image of Islam, to combat defamation of Islam and encourage dialogue among civilisations and religions;". Hii ni kazi ya kufanywa katika ngazi ya serikali kwenye nchi isiyo na dini? Sasa nani atakayelinda na kutetea "true image" ya dini nyingine, au hizo hazihitaji hiyo? Je hii iko katika sera na malengo ya taifa letu?

Sasa twende kwenye uanachama. Sharti mojawapo ni hili:
"Any State, member of the United Nations, having Muslim majority and abiding by the Charter, which submits an application for membership may join the Organisation if approved by consensus only by the Council of Foreign Ministers on the basis of the agreed criteria adopted by the Council of Foreign Ministers". Hivi Tanzania ina Muslim majority, kwa reference ipi? Na imewekwa wazi "abiding by the charter", yale maneno yako ya kusema utachagua unayotaka katika muungano bado unayashikilia?

Maswala ya sheria:
"The International Islamic Court of Justice established in Kuwait in 1987 shall, upon the entry into force of its Statute, be the principal judicial organ of the Organisation". Hizi ndizo sheria zitakazotumika kwa maswala ya umoja huo, ambao nchi kama ya kwetu ina watu wengi ambao si wahusika wa sheria hizo! Bado unaona ni sawa?

Jibu kwanza hayo halafu tuendelee.
Na OIC charter yote hii hapa: http://www.oic-oci.org/oicnew/is11/english/Charter-en.pdf
 
Hii ni preamble tu na sioni tatizo lake kwangu kama mmisheni.

Ni haki yao kutaka kushikamana. Bado sioni tatizo kwangu mmisheni.

Hii tena ina tatizo gani kwangu? Muislamu kutaka kudumisha misingi ya imani yao?

Hawa wanakubaliana na mmisingi ya haki za binadamu na Charter ya Umoja wa Mataifa. Tatizo liko wapi?
Wanataka kudumisha undugu na urafiki wa kiimani baina yaorudisha misingi ya haki, kuvumiliana na kutokubagua ya tamaduni yao. malengo ninayoyaafik kabisa.

Katika jitihada zao wanataka amani duniani kote itakayohakikisha usalama, uhuru na haki kwa watu wao na watu wengine wote duniani. Tatizo liko wapi?

Ushirikiano wa waislamu katika nchi wanachama. Tatizo bado sioni. Au tunaogopa kuwa wakishirikiana watatutosa sisi ambao sio waislamu?




Sasa ndugu yangu kama huu ndio msimamo wako kwa nini isiwe jumuiya ya kiislamu ndio ijiunge na si Jamhuri ya Muungano. Kwa nini tuingizwe kama nchi ? Nimeshindwa kukuelewa.
 
Sasa ndugu yangu kama huu ndio msimamo wako kwa nini isiwe jumuiya ya kiislamu ndio ijiunge na si Jamhuri ya Muungano. Kwa nini tuingizwe kama nchi ? Nimeshindwa kukuelewa.

Jumuia ya kiislamu haiwezi kujiunga katika chombo kinachounganisha mataifa. OIC ni mkusanyiko wa mataifa na si wa jumuia. Kwa kifupi hawawezi bila sisi kujiunga kama nchi. Ingekuwa uwezekano huo hupo, tusingekuwa hapa!
 
Kwanza kabisa napenda kujisahihisha. Mifano yangu ya FIFA na IOC haikuwa sahihi kwenye debate hii. Si kwa sababu ni mashirikisho ya michezo kama wengine wanavyodai bali ni kwa sababu Tanzania kama nchi si wanachama wa mashirikisho hayo. TFA na TOC ndiyo wanachama. Kwa hiyo nilikosea kufananisha uanachama wetu mle na huu wa OIC.

Sasa turudi kwenye OIC.


Kithuku, nimeisoma hiyo Charter. Au auamini nilichokiweka mimi? Nimekitoa hapa OICUN Lakini pamoja na hayo tuangalie hiyo uliyoiweka.

"
To support and empower the Palestinian people to exercise their right to selfdetermination and establish their sovereign State with Al-Quds Al-Sharif as its capital, while safeguarding its historic and Islamic character as well as the Holy places therein";

Hili ni lengo namba 8 la OIC. Kukusaidia katika kujibu, pitia sera yetu ya mambo ya nje usome na usome msimamo wa Tanzania kama taifa kuhusu suala la amani Mashariki ya Kati.

Haujanisaidia kitu. Iweke hiyo sera na huo msimamo unaoudai humu ili wote tuwe kwenye kurasa moja.

Ninavyojua mimi sera ya nchi yetu ni kutambua haki ya wapalestina kuwa na nchi yao na Jerusalem ( Al Quds Al Sharif) kama makao makuu yake.


Lengo namba 9 linasema:
"To strengthen intra-Islamic economic and trade cooperation; in order to achieve economic integration leading to the establishment of an Islamic Common Market;" Je hii ndiyo sera ama lengo la kiuchumi la Tanzania? Ni sera ipi inakubaliana na hili?

Kuna tatizo gani kuwa katika Islamic Common Market? Kama itatufungulia masoko ya nchi za kiislamu? Sera za nchi zinazungumza ujula wa ishu na wala haziwi specific. Hii itaendana na sera zetu za uchumi wa kushirikiana na mataifa mengine.

Lengo namba 11:
"To disseminate, promote and preserve the Islamic teachings and values based on moderation and tolerance, promote Islamic culture and safeguard Islamic heritage;"

Hapa serikali inaingia katika kazi ya kueneza mafundisho ya kiislamu! Na mafundisho ya dini nyingine itaeneza pia au ni hawa tu? Hii kazi kwa nini isifanywe na wenye dini yao, badala ya umoja wa kidola/kiserikali? Ni sera ya nchi yetu pia hii, kueneza dini?

Hawajasema kuwa serikali inaingia katika kazi ya kupromote na ku'disseminate' mafundisho ya kiislamu. Hii ni kazi itakayofanywa na OIC ili mradi haivunji sheria zetu. Sisi ni wanachama wa UN. lakini si kila agenda ya UN inabidi serikali yetu itekeleze. Kama wanachama tunaruhusu vyombo vya UN ku-operate nchini bila kipingamizi. Naam, pale panapohitajika tutatoa ushirikiano. Tuna historia ndefu ya culture na heritage ya kiislamu( nenda Kilwa, Lindi, ukaione) ambayo tumeshindwa kuihifadhi. Sasa kama hawa watatusaidia kuna ubaya gani? Kitu cha msingi wanachozungumzia ni IN MODERATION AND TOLERANCE na si kwa kulazimisha. wakikiuka hii, tunawafukuza na kujitoa.

"To protect and defend the true image of Islam, to combat defamation of Islam and encourage dialogue among civilisations and religions;". Hii ni kazi ya kufanywa katika ngazi ya serikali kwenye nchi isiyo na dini? Sasa nani atakayelinda na kutetea "true image" ya dini nyingine, au hizo hazihitaji hiyo? Je hii iko katika sera na malengo ya taifa letu?

Hii kazi si lazima ifanywe na serikali. Hii itaachiwa jumuia za kiislamu kufanya. Wewe unakazania "true image" na kusahau dialogue among civilizations and religions.

"Any State, member of the United Nations, having Muslim majority and abiding by the Charter, which submits an application for membership may join the Organisation if approved by consensus only by the Council of Foreign Ministers on the basis of the agreed criteria adopted by the Council of Foreign Ministers".

Unachopinga hapa ni dhana kuwa waislamu ni wengi kuliko sisi wamisheni? Kama ni hivyo lakini hawa jamaa wakatukubali (kama walivyofanya kwa Uganda) hauoni kuwa hiyo ni dalili kuwa tutakuwa na uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yetu kuliko mnavyodai?

Maswala ya sheria:
"The International Islamic Court of Justice established in Kuwait in 1987 shall, upon the entry into force of its Statute, be the principal judicial organ of the Organisation". Hizi ndizo sheria zitakazotumika kwa maswala ya umoja huo, ambao nchi kama ya kwetu ina watu wengi ambao si wahusika wa sheria hizo! Bado unaona ni sawa?

Hii ni mahakama itakayo deal na international disputes baina ya nchi wanachama. Hizi hazigusi sheria zinazotawala maisha ya watu wa kawaida kama unavyojaribu ku-insinuate.

Kwa vile kila wakati unadai kuwa sijasoma hiyo Charter, nakuwekea kwa upana zaidi bila ku-jerry pick kama unavyofanya wewe.:


Charter of the
Organisation of the Islamic Conference
1
Charter of the
Organisation of the Islamic Conference

In the name of Allah, the most Compassionate, the most Merciful
We the Member States of the Organisation of the Islamic
Conference, determined:
to acknowledge the Conference of Kings, Heads of State and Government of
the Member States convened in Rabat from 9 to 12 Rajab, 1389 H,
corresponding to 22 to 25 September 1969, as well as the Conference of
Foreign Ministers held in Jeddah from 14 to 18 Muharram 1392 H
corresponding to 29 February to 4 March 1972;
to be guided by the noble Islamic values of unity and fraternity, and affirming
the essentiality of promoting and consolidating the unity and solidarity among
the Member States in securing their common interests at the international
arena;

to adhere our commitment to the principles of the United Nations Charter, the
present Charter and International Law;

to preserve and promote the lofty Islamic values of peace, compassion,
tolerance, equality, justice and human dignity;

to endeavour to work for revitalizing Islam’s pioneering role in the world
while ensuring sustainable development, progress and prosperity for the
peoples of Member States;

to enhance and strengthen the bond of unity and solidarity among the Muslim
peoples and Member States;

to respect, safeguard and defend the national sovereignty, independence and
territorial integrity of all Member States;

to contribute to international peace and security, understanding and dialogue
among civilizations, cultures and religions and promote and encourage
friendly relations and good neighbourliness, mutual respect and cooperation;
to promote human rights and fundamental freedoms, good governance, rule of
law, democracy and accountability in Member States in accordance with their
constitutional and legal systems;

2 to promote confidence and encourage friendly relations, mutual respect and
cooperation between Member States and other States;
to foster noble Islamic values concerning moderation, tolerance, respect for
diversity, preservation of Islamic symbols and common heritage and to defend
the universality of Islamic religion;

to advance the acquisition and popularization of knowledge in consonance
with the lofty ideals of Islam to achieve intellectual excellence;

to promote cooperation among Member States to achieve sustained socioeconomic development for effective integration in the global economy, in
conformity with the principles of partnership and equality;

to preserve and promote all aspects related to environment for present and
future generations;

to respect the right of self-determination and non-interference in the domestic affairs and to respect sovereignty, independence and territorial integrity of each Member State;

to support the struggle of the Palestinian people, who are presently under
foreign occupation, and to empower them to attain their inalienable rights,
including the right to self-determination, and to establish their sovereign state with Al-Quds Al-Sharif as its capital, while safeguarding its historic and
Islamic character, and the holy places therein;

to safeguard and promote the rights of women and their participation in all
spheres of life, in accordance with the laws and legislation of Member States;

to create conducive conditions for sound upbringing of Muslim children and
youth, and to inculcate in them Islamic values through education for
strengthening their cultural, social, moral and ethical ideals;

to assist Muslim minorities and communities outside the Member States to
preserve their dignity, cultural and religious identity;

to uphold the objectives and principles of the present Charter, the Charter of
the United Nations and international law as well as international humanitarian
law while strictly adhering to the principle of non-interference in matters
which are essentially within the domestic jurisdiction of any State;

to strive to achieve good governance at the international level and the
democratization of the international relations based on the principles of
equality and mutual respect among States and non-interference in matters
which are within their domestic jurisdiction;

Have resolved to cooperate in achieving these goals and agreed to
the present amended Charter.

3
CHAPTER I
Objectives and Principles
Article 1

The objectives of the Organisation of the Islamic Conference shall be:

1. To enhance and consolidate the bonds of fraternity and solidarity among the Member States;

2. To safeguard and protect the common interests and support the legitimate
causes of the Member States and coordinate and unify the efforts of the
Member States in view of the challenges faced by the Islamic world in
particular and the international community in general;

3. To respect the right of self-determination and non-interference in the domestic affairs and to respect sovereignty, independence and territorial integrity of each Member State;

4. To support the restoration of complete sovereignty and territorial integrity of any Member State under occupation, as a result of aggression, on the basis of international law and cooperation with the relevant international and regional organisations;

5. To ensure active participation of the Member States in the global political,
economic and social decision-making processes to secure their common
interests;

6. To promote inter-state relations based on justice, mutual respect and good
neighbourliness to ensure global peace, security and harmony;

7. To reaffirm its support for the rights of peoples as stipulated in the UN Charter and international law;

8. To support and empower the Palestinian people to exercise their right to self determination and establish their sovereign State with Al-Quds Al-Sharif as its capital, while safeguarding its historic and Islamic character as well as the Holy places therein;

9. To strengthen intra-Islamic economic and trade cooperation; in order to
achieve economic integration leading to the establishment of an Islamic
Common Market;

10. To exert efforts to achieve sustainable and comprehensive human
development and economic well-being in Member States;

11. To disseminate, promote and preserve the Islamic teachings and values based on moderation and tolerance, promote Islamic culture and safeguard Islamic heritage;

4

12. To protect and defend the true image of Islam, to combat defamation of Islamand encourage dialogue among civilisations and religions;

13. To enhance and develop science and technology and encourage research and cooperation among Member States in these fields;

14. To promote and to protect human rights and fundamental freedoms including the rights of women, children, youth, elderly and people with special needs as well as the preservation of Islamic family values;

15. To emphasize, protect and promote the role of the family as the natural and fundamental unit of society;

16. To safeguard the rights, dignity and religious and cultural identity of Muslim communities and minorities in non-Member States;

17. To promote and defend unified position on issues of common interest in the international fora;

18. To cooperate in combating terrorism in all its forms and manifestations,
organised crime, illicit drug trafficking, corruption, money laundering and
human trafficking;

19. To cooperate and coordinate in humanitarian emergencies such as natural
disasters;

20. To promote cooperation in social, cultural and information fields among the Member States.

Article 2

The Member States undertake that in order to realize the objectives in Article 1, theyshall be guided and inspired by the noble Islamic teachings and values and act in accordance with the following principles:
1. All Member States commit themselves to the purposes and principles of the
United Nations Charter;
2. Member States are sovereign, independent and equal in rights and obligations;
3. All Member States shall settle their disputes through peaceful means and
refrain from use or threat of use of force in their relations;
4. All Member States undertake to respect national sovereignty, independenceand territorial integrity of other Member States and shall refrain frominterfering in the internal affairs of others;
5. All Member States undertake to contribute to the maintenance of internationalpeace and security and to refrain from interfering in each other’s internal affairs as enshrined in the present Charter, the Charter of the United Nations, international law and international humanitarian law;
6. As mentioned in the UN Charter, nothing contained in the present Charter
shall authorize the Organisation and its Organs to intervene in matters which
are essentially within the domestic jurisdiction of any State or related to it;
7. Member States shall uphold and promote, at the national and international
levels, good governance, democracy, human rights and fundamental freedoms, and the rule of law;
8. Member States shall endeavour to protect and preserve the environment.
CHAPTER II
Membership
Article 3
1. The Organisation is made up of 57 States member of the Organisation of the Islamic Conference and other States which may accede to this Charter in
accordance with Article 3 paragraph 2.
2. Any State, member of the United Nations, having Muslim majority and
abiding by the Charter, which submits an application for membership may
join the Organisation if approved by consensus only by the Council of Foreign
Ministers on the basis of the agreed criteria adopted by the Council of Foreign
Ministers.
3. Nothing in the present Charter shall undermine the present Member States’
rights or privileges relating to membership or any other issues.

Article 4

1. Decision on granting Observer status to a State, member of the United
Nations, will be taken by the Council of Foreign Ministers by consensus only
and on the basis of the agreed criteria by the Council of Foreign Ministers.

2. Decision on granting Observer status to an international organisation will be
taken by the Council of Foreign Ministers by consensus only and on the basis
of the agreed criteria by the Council of Foreign Ministers.

Nimeitoa hapa:http://www.oic-oci.org/oicnew/is11/english/Charter-en.pdf

Bado sijaona cha kunitisha.
 
Dear all, I have come across this document: OIC Charter. Our govt and some of our Muslim friends want Tanzania to join IOC for the so called economic gains from believed to be welloff OIC (I doubt about this lie since some members are poorer than Tanzania and have been members for decades).

Mod naomba usaidie kui-scann ili JF members wote waweze kuipata kirahisi.

Stay blessed
 
Ibrah,
I appreciate the efforts that you've done to bring to us this important document. I tried to open it, unfortunately the pages are empty (nothing is there). Pls, pls, re-send it, we need to scrutinize the contents.
 
Asante sana Ibra, sidhani kama kwa wanachama wa OIC kuwa maskini kunamaanisha taasisi husika haifai. Hapa kuna masuala mawili; kuna kupewa misaada na pili ni namna gani mnatumia hiyo misaada. Mfano mdogo tu, we had mradi wa kutokomeza malaria from Japan Govt, je malaria imetokomezwa? Ndo kusema Japan govt haina msaada kwetu? Nadhani ni vizuri hili suala wakaachiwa wataalamu. Kwasababu tunaambiwa kujiunga na hiyo taasisi tutafaidi kiuchumi then tuwape wachumi jukumu la kufanya tathmini watuambie je kuna faida gani na hasara gani kiuchumi, pili kwa sababu pia kuna suala la kisheria hasa kupingana na katiba ya nchi, tuwape wanasheria hiyo kazi, wafanye waperuzi watuambie kuna athaari gani kisheria. Tukiacha hili suala likajadiliwa na CCT na BAKWATA watu ambao sio competent kwenye nyanja husika (sheria/uchumi), kila mmoja atavutia kwake kwa misingi ya dini. Naomba kuwasilisha
 
Ibrah,
I appreciate the efforts that you've done to bring to us this important document. I tried to open it, unfortunately the pages are empty (nothing is there). Pls, pls, re-send it, we need to scrutinize the contents.

Fugwe, nimejaribu kuifungua na naona inafunguka vizuri tu labda Moderator atusaidie kwa kui-scan ili isomeke vizuri. Nadhani computer unayotumia haina PDF maana hii doc iko kwenye PDF.
 
Ibrah, Asante sana naona imefunguka. Sasa nalia nayo nilikuwa sijui niipate wapi thanks Mr. Ibrah
 
.....polycarp CARDINAL pengo..alikuwa vatican kwa muda kidogo...juzi usiku amerudi ....asubuhi tu kufika MEMBE ameshaenda kwake kuomba kufanya naye kikao..wakakaa kwa saa moja na nusu...wanaongea...SIJUI KITU GANI KIMEMFANYA MEMBE KUMUWAHI KARDINALI HARAKA HARAKA ...KABLA KARDINALI HAJAKAA NA WASAIDIZI WAKE KUPEWA BRIEFING....NA KUKUTANA NA KINA ASF MALASUSA KUBADILISHANA MAWAZO....

..MEMBE BWANA na mbinu zake za kimtandao....sidhani kama wanambaini!!!!!
 
Kipimambele,
Mkuu bado hujanijibu kitu kabisa... kisha swala la OIC halihusiani na Mahakama ya kadhi kwani tunaweza kubaliana moja na jingine tusikubaliane...Jaribu kutenganisha laa sivyo unazungumza kwa nguvu ya Udini..

Nakiri hizi ni hoja mbili tofauti, lakini zenye msingi mmoja. Serikali kushughulika na mambo ya waislam ndo maana nikazichanganya. Hata hivyo nilitoa angalizo

Unapozungumzia special treatment ni ipi hiyo, Kujiunga kwa Taifa letu ni special treatment kwa waislaam?... Je, mimi naweza kusema kufungua Ubalozi Vatican ni special treatment kwa wakristu?..Wanawake wetu kutuwakilisha ktk chombo cha kimataifa ni special treatment kwao au ni haki yao kimsingi..

Kujiunga kwa taifa letu kwenye taasisi ambayo mlengo wake ni dini ya kiislam kuna tafsiri moja. Dini husika inapewa special treatment ndiyo. Balozi wa Vatican ana hadhi sawa na Balozi wa India, Pakistan, Saudia au mwakilishi wa UN hapa nchini, Hadhi ya kibalozi ni tofauti na membership. Hili la balozi siyo special treatement kwa sababu Taifa la Tanzania siyo Mwanachama wa vatican.

Mkuu, nimekwisha sema hivi kuwa KUKATAZA kundi fulani wasifanye mambo yao ni moja ya sababu kubwa za vita, utengano na kadhalika, historia imeonyesha hivyo na hakuna nchi hatya moja imepata matatizo kwa sababu kundi moja limepewa haki yake ya kimsingi..

Kimsingi hiyo haki haijakatazwa kama waislam wataingia kama waislam. Tatizo ni pale haki ya kundi moja inapoingilia haki ya kundi jingine. Haki ya waislam kuingio OIC ipo. Haki ya wasio waislam kutoingia OIC vile vile ipo. Tatizo ni pale haki ya waislam kuingia itakapo ingilia haki ya wasio waislam kwa kuwalazimisha kuingia wasipotaka. Haki yako inaishia pale ya mwenzio inapoanzia

Pili, nilishasema haiwezekani culture na mipangilio ya kiislaam iwe sawa na wakristu, Tamaduni za dini hizi mbuili ni tofauti kabisa kiasi kwamba huwezi kusema wakristu wanachombo kimoja kama waislaam kimataifa. sasa kwa sababu wakristu hawana basi kila dini lazima iwe kama Wakristu.

Hili halijalazimishwa. Nimesema waislam wanaweza kabisa kuamua kutokuwa na taasisi au wakawa nazo kwa muundo wanaoujua. Tatizo ni kuitumia serikali ambayo si ya waislam peke yao. Mfumo bora kwa waislam ni kuona serikali ikishughulikia na mambo yao ya kidini vile vile, kwani hali iko hivyo katika nchi za kiislam. Lakini hizo ni nchi za kiislam. Mfumo na utamaduni wa kiislam unataka baadhi ya mambo ya kidini yashughulikiwe na serikali, hilo lawezekana tuu ikiwa serikali ni ya kiislam. Ikiwa si serikali ya kiislam na ikatoa nafasi ya kushughulikia mambo ya kiislam hiyo naiita special treatement

Afrika kuna makabila mengi ndani ya nchi moja ni lazima kuwepo na mfumo wa kujenga uhusiano kati ya makabila hayo tofauti na Ulaya ambako unaweza kukuta Wafaransa ni wafaransa, Waswedish ni kabila moja.. Hivyo hatuwezi kuiga Ulaya wakati watu na mazingira yetu ni tofauti. Tuitazame tanzania kama ilivyo na watu wanaojumuisha Taifa hilo kuweza kuunda misingi ambayo inaweza kuboresha uhusiano kati ya watu hao...

Hapa unaitisha sasa new order ambayo itabidi kuwe na consensus ya kitaifa. Hivi tunataka kujenga taifa la Makabila yanayo simama ndani ya taifa au taifa la watu wanaosimama pamoja bila kujali makabila yao. Ikiwa kila kabila litaendelea kusimama kama lenyewe ndani ya taifa, hatutakuwa na taifa. Tutakuwa na mipaka ambayo ndani yake kuna vikundi vya makabila. Kwa msimamo huo huo ikiwa kila dini itang'ang'aniza mambo yake ndani ya mfumo wa utawala, baadaye hatutakuwa na serikali. Tutakuwa na wawakilishi wa dini mbali mbali wanaofanya kazi pamoja.

Ni matatizo kama haya siku hizi hata huku nje tumeanza kujenga makundi makundi ya Ukabila, Udini,na kadhalika wakati Mataifa mengine jumuiya zao zinakwenda mbele... hakuna nchi hata moja jumuiya ya Kitanzania imesimama imara kwa sababu kila siku tunatazamana sisi wenyewe na kuanza kuchambuana..Mwisho wa yote hakuna kinachofanyika, Na kwa akili hiyo leo hii tunafungua matawi ya CCM kesho utasikia Chadema na kadhalika. Yote hii inatokana na fikra mbaya kuwa CCM ni adui wa Chadema na Chadema ni Adui wa CCM..hivyo misingi ya jumuiya hizi inatanguliwa na Identity kama wewe sio CCM hukaribishwi ktk mikutano yao hata kama wewe ni Mtanzania...
Huu ni ULIMBUKENI mkuu wangu, tunashindwa kuona nje ya kabati na matokeo yake yatakuja wala sii muda mrefu. Utakuja kubali maneno yangu..Nakubali ulimbukeni ikiwa hoja yangu inasimama. Kuwa nchi moja haina maana kuwa na mawazo na itikadi zinazofanana. Changamoto ni kupata urari wa hivyo vitu. Vyama, dini na makabila havina budi kuwepo kwani hivyo vinaonesha hali halisi ya ubinadam ... hata kama utaona ni ubinadamu wa chini. Cha msingi ni binadam mmoja kuona na kuheshimu cha mwingine hata kama hakubaliani nacho.

Mkandara,

Msingi wa hoja yangu si kupinga waislam kufanya mambo yao. Hilo nalikubali moja kwa moja, wafanye mambo yao na wafanye sana tuu, kwani hayo ndio maendeleo. Hoja yangu ni kuwa wayafanye nje ya mfumo wa serikali kwa sababu serikali ni ya woote, waislam na wasio waislam.
 
Ibrah, computer yangu haina PDC, hivyo nimeshindwa kuifungua. Hakuna njia nyingine ya kuweza kuipata? Naihitaji sana. Ebu saidia.
 
Ibrah, computer yangu haina PDC, hivyo nimeshindwa kuifungua. Hakuna njia nyingine ya kuweza kuipata? Naihitaji sana. Ebu saidia.
Katiba ya OIC.Hii hapa kazi kwenu

Nimepata katiba ya oic..naomba kuwasilisha wadau watusaidie kuichambua kama kweli italeta tina kwa wote.........sio kwa tabaka moja au upande mmoja wa shilingi..........



Charter of the
Organisation of the Islamic Conference.1

In the name of Allah, the most Compassionate, the most Merciful

We the Member States of the Organisation of the Islamic
Conference, determined:

to acknowledge the Conference of Kings, Heads of State and Government of
the Member States convened in Rabat from 9 to 12 Rajab, 1389 H,
corresponding to 22 to 25 September 1969, as well as the Conference of
Foreign Ministers held in Jeddah from 14 to 18 Muharram 1392 H
corresponding to 29 February to 4 March 1972;

to be guided by the noble Islamic values of unity and fraternity, and affirming
the essentiality of promoting and consolidating the unity and solidarity among
the Member States in securing their common interests at the international
arena;

to adhere our commitment to the principles of the United Nations Charter, the
present Charter and International Law;

to preserve and promote the lofty Islamic values of peace, compassion,
tolerance, equality, justice and human dignity;

to endeavour to work for revitalizing Islam’s pioneering role in the world
while ensuring sustainable development, progress and prosperity for the
peoples of Member States;

to enhance and strengthen the bond of unity and solidarity among the Muslim
peoples and Member States;

to respect, safeguard and defend the national sovereignty, independence and
territorial integrity of all Member States;

to contribute to international peace and security, understanding and dialogue
among civilizations, cultures and religions and promote and encourage
friendly relations and good neighbourliness, mutual respect and cooperation;

to promote human rights and fundamental freedoms, good governance, rule of
law, democracy and accountability in Member States in accordance with their
constitutional and legal systems;.2

to promote confidence and encourage friendly relations, mutual respect and
cooperation between Member States and other States;

to foster noble Islamic values concerning moderation, tolerance, respect for
diversity, preservation of Islamic symbols and common heritage and to defend
the universality of Islamic religion;

to advance the acquisition and popularization of knowledge in consonance
with the lofty ideals of Islam to achieve intellectual excellence;

to promote cooperation among Member States to achieve sustained socio-
economic development for effective integration in the global economy, in
conformity with the principles of partnership and equality;

to preserve and promote all aspects related to environment for present and
future generations;

to respect the right of self-determination and non-interference in the domestic
affairs and to respect sovereignty, independence and territorial integrity of
each Member State;

to support the struggle of the Palestinian people, who are presently under
foreign occupation, and to empower them to attain their inalienable rights,
including the right to self-determination, and to establish their sovereign state
with Al-Quds Al-Sharif as its capital, while safeguarding its historic and
Islamic character, and the holy places therein;

to safeguard and promote the rights of women and their participation in all
spheres of life, in accordance with the laws and legislation of Member States;

to create conducive conditions for sound upbringing of Muslim children and
youth, and to inculcate in them Islamic values through education for
strengthening their cultural, social, moral and ethical ideals;

to assist Muslim minorities and communities outside the Member States to
preserve their dignity, cultural and religious identity;

to uphold the objectives and principles of the present Charter, the Charter of
the United Nations and international law as well as international humanitarian
law while strictly adhering to the principle of non-interference in matters
which are essentially within the domestic jurisdiction of any State;

to strive to achieve good governance at the international level and the
democratization of the international relations based on the principles of
equality and mutual respect among States and non-interference in matters
which are within their domestic jurisdiction;

Have resolved to cooperate in achieving these goals and agreed to
the present amended Charter..3

CHAPTER I
Objectives and Principles

Article 1

The objectives of the Organisation of the Islamic Conference shall be:

1. To enhance and consolidate the bonds of fraternity and solidarity among the
Member States;

2. To safeguard and protect the common interests and support the legitimate
causes of the Member States and coordinate and unify the efforts of the
Member States in view of the challenges faced by the Islamic world in
particular and the international community in general;

3. To respect the right of self-determination and non-interference in the domestic
affairs and to respect sovereignty, independence and territorial integrity of
each Member State;

4. To support the restoration of complete sovereignty and territorial integrity of
any Member State under occupation, as a result of aggression, on the basis of
international law and cooperation with the relevant international and regional
organisations;

5. To ensure active participation of the Member States in the global political,
economic and social decision-making processes to secure their common
interests;

6. To promote inter-state relations based on justice, mutual respect and good
neighbourliness to ensure global peace, security and harmony;

7. To reaffirm its support for the rights of peoples as stipulated in the UN Charter
and international law;

8. To support and empower the Palestinian people to exercise their right to self-
determination and establish their sovereign State with Al-Quds Al-Sharif as its
capital, while safeguarding its historic and Islamic character as well as the
Holy places therein;

9. To strengthen intra-Islamic economic and trade cooperation; in order to
achieve economic integration leading to the establishment of an Islamic
Common Market;

10. To exert efforts to achieve sustainable and comprehensive human
development and economic well-being in Member States;

11. To disseminate, promote and preserve the Islamic teachings and values based
on moderation and tolerance, promote Islamic culture and safeguard Islamic
heritage;.

12. To protect and defend the true image of Islam, to combat defamation of Islam
and encourage dialogue among civilisations and religions;

13. To enhance and develop science and technology and encourage research and
cooperation among Member States in these fields;

14. To promote and to protect human rights and fundamental freedoms including
the rights of women, children, youth, elderly and people with special needs as
well as the preservation of Islamic family values;

15. To emphasize, protect and promote the role of the family as the natural and
fundamental unit of society;

16. To safeguard the rights, dignity and religious and cultural identity of Muslim
communities and minorities in non-Member States;

17. To promote and defend unified position on issues of common interest in the
international fora;

18. To cooperate in combating terrorism in all its forms and manifestations,
organised crime, illicit drug trafficking, corruption, money laundering and
human trafficking;

19. To cooperate and coordinate in humanitarian emergencies such as natural
disasters;

20. To promote cooperation in social, cultural and information fields among the
Member States.

Article 2

The Member States undertake that in order to realize the objectives in Article 1, they
shall be guided and inspired by the noble Islamic teachings and values and act in
accordance with the following principles:

1. All Member States commit themselves to the purposes and principles of the
United Nations Charter;

2. Member States are sovereign, independent and equal in rights and obligations;
3. All Member States shall settle their disputes through peaceful means and
refrain from use or threat of use of force in their relations;

4. All Member States undertake to respect national sovereignty, independence
and territorial integrity of other Member States and shall refrain from
interfering in the internal affairs of others;

5. All Member States undertake to contribute to the maintenance of international
peace and security and to refrain from interfering in each other’s internal
affairs as enshrined in the present Charter, the Charter of the United Nations,
international law and international humanitarian law;.5

6. As mentioned in the UN Charter, nothing contained in the present Charter
shall authorize the Organisation and its Organs to intervene in matters which
are essentially within the domestic jurisdiction of any State or related to it;

7. Member States shall uphold and promote, at the national and international
levels, good governance, democracy, human rights and fundamental freedoms,
and the rule of law;

8. Member States shall endeavour to protect and preserve the environment.

CHAPTER II

Membership

Article 3

1. The Organisation is made up of 57 States member of the Organisation of the
Islamic Conference and other States which may accede to this Charter in
accordance with Article 3 paragraph 2.

2. Any State, member of the United Nations, having Muslim majority and
abiding by the Charter, which submits an application for membership may
join the Organisation if approved by consensus only by the Council of Foreign
Ministers on the basis of the agreed criteria adopted by the Council of Foreign
Ministers.

3. Nothing in the present Charter shall undermine the present Member States’
rights or privileges relating to membership or any other issues.

Article 4

1. Decision on granting Observer status to a State, member of the United
Nations, will be taken by the Council of Foreign Ministers by consensus only
and on the basis of the agreed criteria by the Council of Foreign Ministers.

2. Decision on granting Observer status to an international organisation will be
taken by the Council of Foreign Ministers by consensus only and on the basis
of the agreed criteria by the Council of Foreign Ministers.

CHAPTER III

Organs

Article 5

The Organs of the Organisation of the Islamic Conference shall consist of:
1. Islamic Summit
2. Council of Foreign Ministers
3. Standing Committees.6
4. Executive Committee
5. International Islamic Court of Justice
6. Independent Permanent Commission of Human Rights
7. Committee of Permanent Representatives
8. General Secretariat
9. Subsidiary Organs
10. Specialized Institutions
11. Affiliated Institutions

CHAPTER IV

Islamic Summit

Article 6

The Islamic Summit is composed of Kings and Heads of State and Government of
Member States and is the supreme authority of the Organisation.

Article 7

The Islamic Summit shall deliberate, take policy decisions and provide guidance on
all issues pertaining to the realization of the objectives as provided for in the Charter
and consider other issues of concern to the Member States and the Ummah.

Article 8

1. The Islamic Summit shall convene every three years in one of the Member States.
2. The Preparation of the Agenda and all necessary arrangements for the convening
of the Summit will be done by the Council of Foreign Ministers with the
assistance of the General Secretariat.

Article 9

Extraordinary Sessions will be held, whenever the interests of Ummah warrant it, to
consider matters of vital importance to the Ummah and coordinate the policy of the
Organisation accordingly. An Extraordinary Session may be held at the
recommendation of the Council of Foreign Ministers or on the initiative of one of the
Member States or the Secretary-General, provided that such initiative obtains the
support of simple majority of the Member States.

CHAPTER V

Council of Foreign Ministers

Article 10

1. The Council of Foreign Ministers shall be convened once a year in one of the
Member States..7

2. An Extraordinary Session of the Council of Foreign Ministers may be convened at
the initiative of any Member State or of the Secretary-General if such initiative is
approved by a simple majority of the Member States.

3. The Council of Foreign Ministers may recommend convening other sectorial
Ministerial meetings to deal with the specific issues of concern to the Ummah.
Such meetings shall submit their reports to the Islamic Summit and the Council of
Foreign Ministers.

4. The Council of Foreign Ministers shall consider the means for the implementation
of the general policy of the Organisation by:

a. Adopting decisions and resolutions on matters of common interest in
the implementation of the objectives and the general policy of the
Organisation;

b. Reviewing progress of the implementation of the decisions and
resolutions adopted at the previous Summits and Councils of Foreign
Ministers;

c. Considering and approving the programme, budget and other financial
and administrative reports of the General Secretariat and Subsidiary
Organs;

d. Considering any issue affecting one or more Member States whenever
a request to that effect by the Member State concerned is made with a
view to taking appropriate measures in that respect;

e. Recommending to establish any new organ or committee;

f. Electing the Secretary General and appointing the Assistant Secretaries
General in accordance with Articles 16 and 18 of the Charter
respectively;

g. Considering any other issue it deems fit.

CHAPTER VI

Standing Committees

Article 11

1. In order to advance issues of critical importance to the Organisation and its
Member States, the Organisation has formed the following Standing
Committees:
i. Al Quds Committee
ii. Standing Committee for Information and Cultural Affairs
(COMIAC)
iii. Standing Committee for Economic and Commercial
Cooperation (COMCEC).8
iv. Standing Committee for Scientific and Technological
Cooperation (COMSTECH).

2. The Standing Committees are chaired by Kings and Heads of State and
Government and are established in accordance with decisions of the Summit
or upon the recommendation of the Council of Foreign Ministers and the
membership of such Committees.


CHAPTER VII

Executive Committee

Article 12

The Executive Committee is comprised of the Chairmen of the current, preceding and
succeeding Islamic Summits and Councils of Foreign Ministers, the host country of
the Headquarters of the General Secretariat as well as the Secretary-General as an ex-
officio member. The Meetings of the Executive Committee shall be conducted
according to its Rules of Procedure.

CHAPTER VIII

Committee of Permanent Representatives

Article 13

The prerogatives and modes of operation of the Committee of Permanent
Representatives shall be defined by the Council of Foreign Ministers.

CHAPTER IX

International Islamic Court of Justice

Article 14

The International Islamic Court of Justice established in Kuwait in 1987 shall, upon
the entry into force of its Statute, be the principal judicial organ of the Organisation.

CHAPTER X

Independent Permanent Commission on Human Rights

Article 15

The Independent Permanent Commission on Human Rights shall promote the civil,
political, social and economic rights enshrined in the organisation’s covenants and
declarations and in universally agreed human rights instruments, in conformity with
Islamic values..9

CHAPTER XI

General Secretariat

Article 16

The General Secretariat shall comprise a Secretary-General, who shall be the Chief
Administrative Officer of the Organisation and such staff as the Organisation requires.
The Secretary-General shall be elected by the Council of Foreign Ministers for a
period of five years, renewable once only. The Secretary-General shall be elected
from among nationals of the Member States in accordance with the principles of
equitable geographical distribution, rotation and equal opportunity for all Member
States with due consideration to competence, integrity and experience.

Article 17

The Secretary General shall assume the following responsibilities:
a. bring to the attention of the competent organs of the Organisation matters
which, in his opinion, may serve or impair the objectives of the Organisation;
b. follow-up the implementation of decisions, resolutions and recommendations
of the Islamic Summits, and Councils of Foreign Ministers and other
Ministerial meetings;
c. provide the Member States with working papers and memoranda, in
implementation of the decisions, resolutions and recommendations of the
Islamic Summits and the Councils of Foreign Ministers;
d. coordinate and harmonize, the work of the relevant Organs of the
Organisation;
e. prepare the programme and the budget of the General Secretariat;
f. promote communication among Member States and facilitate consultations
and exchange of views as well as the dissemination of information that could
be of importance to Member States;
g. perform such other functions as are entrusted to him by the Islamic Summit or
the Council of Foreign Ministers;
h. submit annual reports to the Council of Foreign Ministers on the work of the
Organisation.

Article 18

1. The Secretary-General shall submit nominations of Assistant Secretaries
General to the Council of Foreign Ministers, for appointment, for a period of
5 years in accordance with the principle of equitable geographical distribution.10
and with due regard to the competence, integrity and dedication to the
objectives of the Charter. One post of Assistant Secretary General shall be
devoted to the cause of Al-Quds Al-Sharif and Palestine with the
understanding that the State of Palestine shall designate its candidate.

2. The Secretary-General may, for the implementation of the resolutions and
decisions of the Islamic Summits and the Councils of Foreign Ministers,
appoint Special Representatives. Such appointments along with mandates of
the Special Representatives shall be made with the approval of the Council of
Foreign Ministers.

3. The Secretary-General shall appoint the staff of the General Secretariat from
among nationals of Member States, paying due regard to their competence,
eligibility, integrity and gender in accordance with the principle of equitable
geographical distribution. The Secretary-General may appoint experts and
consultants on temporary basis.

Article 19

In the performance of their duties, the Secretary-General, Assistant Secretaries
General and the staff of the General Secretariat shall not seek or accept instructions
from any government or authority other than the Organisation. They shall refrain from
taking any action that may be detrimental to their position as international officials
responsible only to the Organisation. Member States shall respect this exclusively
international character, and shall not seek to influence them in any way in the
discharge of their duties.

Article 20

The General Secretariat shall prepare the meetings of the Islamic Summits and the
Councils of Foreign Ministers in close cooperation with the host country insofar as
administrative and organizational matters are concerned.

Article 21

The Headquarters of the General Secretariat shall be in the city of Jeddah until the
liberation of the city of Al-Quds so that it will become the permanent Headquarters of
the Organisation.

CHAPTER XII

Article 22

The Organisation may establish Subsidiary Organs, Specialized Institutions and grant
affiliated status, after approval of the Council of Foreign Ministers, in accordance
with the Charter..11

Subsidiary Organs

Article 23

Subsidiary organs are established within the framework of the Organisation in
accordance with the decisions taken by the Islamic Summit or Council of Foreign
Ministers and their budgets shall be approved by the Council of Foreign Ministers.

CHAPTER XIII

Specialized Institutions

Article 24

Specialized institutions of the Organisation are established within the framework of
the Organisation in accordance with the decisions of the Islamic Summit or Council
of Foreign Ministers. Membership of the specialized institutions shall be optional and
open to members of the Organisation. Their budgets are independent and are
approved by their respective legislative bodies stipulated in their Statute.

Affiliated Institutions

Article 25

Affiliated institutions are entities or bodies whose objectives are in line with the
objectives of this Charter, and are recognized as affiliated institutions by the Council
of Foreign Ministers. Membership of the institutions is optional and open to organs
and institutions of the Member States. Their budgets are independent of the budget of
the General Secretariat and those of subsidiary organs and specialized institutions.
Affiliated institutions may be granted observer status by virtue of a resolution of the
Council of Foreign Ministers. They may obtain voluntary assistance from the
subsidiary organs or specialized institutions as well as from Member States.

CHAPTER XIV

Cooperation with Islamic and other Organizations

Article 26

The Organisation will enhance its cooperation with the Islamic and other
Organizations in the service of the objectives embodied in the present Charter..12

CHAPTER XV

Peaceful Settlement of Disputes

Article 27

The Member States, parties to any dispute, the continuance of which may be
detrimental to the interests of the Islamic Ummah or may endanger the maintenance
of international peace and security, shall, seek a solution by good offices, negotiation,
enquiry, mediation, conciliation, arbitration, judicial settlement or other peaceful
means of their own choice. In this context good offices may include consultation with
the Executive Committee and the Secretary-General.


Article 28

The Organisation may cooperate with other international and regional organisations
with the objective of preserving international peace and security, and settling disputes
through peaceful means.

CHAPTER XVI

Budget & Finance

Article 29

1. The budget of the General Secretariat and Subsidiary Organs shall be borne by
Member States proportionate to their national incomes.

2. The Organisation may, with the approval of the Islamic Summit or the Council
of Foreign Ministers, establish special funds and endowments (waqfs) on
voluntary basis as contributed by Member States, individuals and
Organisations.These funds and endowments shall be subjected to the
Organisation’s financial system and shall be audited by the Finance Control
Organ annually.

Article 30

The General Secretariat and subsidiary organs shall administer their financial affairs
according to the Financial Rules of Procedure approved by the Council of Foreign
Ministers.

Article 31

1. A Permanent Finance Committee shall be set up by the Council of Foreign
Ministers from the accredited representatives of the participating Member
States which shall meet at the Headquarters of the Organisation to finalize the
programme and budget of the General Secretariat and its subsidiary organs in
accordance with the rules approved by the Council of Foreign Ministers..13

2. The Permanent Finance Committee shall present an annual report to the
Council of Foreign Ministers which shall consider and approve the programme
and budget.

3. The Finance Control Organ comprising financial/auditing experts from the
Member States shall undertake the audit of the General Secretariat and its
subsidiary organs in accordance with its internal rules and regulations.

CHAPTER XVII

Rules of Procedure and Voting

Article 32

1. The Council of Foreign Ministers shall adopt its own rules of procedure.
2.
2. The Council of Foreign Ministers shall recommend the rules of procedures of
the Islamic Summit.

3. The Standing Committees shall establish their own respective rules of
procedure.

Article 33

1. Two-third of the Member States shall constitute the quorum for the meetings
of the Organisation of the Islamic Conference.

2. Decisions shall be taken by consensus. If consensus cannot be obtained,
decision shall be taken by a two-third majority of members present and voting
unless otherwise stipulated in this Charter.

CHAPTER XVIII

Final Provisions

Privileges and Immunities

Article 34

1. The Organisation shall enjoy in the Member States, immunities and privileges
as necessary for the exercise of its functions and the fulfilment of its
objectives.

2. Representatives of the Member States and officials of the Organisation shall
enjoy such privileges and immunities as stipulated in the Agreement on
Privileges and Immunities of 1976.

3. The staff of the General Secretariat, subsidiary organs and specialised
institutions shall enjoy privileges and immunities necessary for the.14
performance of their duties as may be agreed between the Organisation and
host countries.

4. A Member State which is in arrears in the payment of its financial
contributions to the Organization shall have no vote in the Council of Foreign
Ministers if the amount of its arrears equals or exceeds the amount of the
contributions due from it for the preceding two full years. The Council may,
nevertheless, permit such a Member to vote if it is satisfied that the failure to
pay is due to conditions beyond the control of the Member.

Withdrawal

Article 35

1. Any Member State may withdraw from the Organisation by notifying the
Secretary-General one year prior to its withdrawal. Such a notification shall be
communicated to all Member States.

2. The State applying for withdrawal shall be bound by its obligations until the
end of the fiscal year during which the application for withdrawal is
submitted. It shall also settle any other financial dues it owes to the
Organisation.

Amendments

Article 36

Amendments to the present Charter shall take place according to the following
procedure:

a. Any Member State may propose amendments to the present Charter to
the Council of Foreign Ministers;

b. When approved by two-third majority of the Council of Foreign
Ministers and ratified by a two-third majority of the Member States, it
shall come into force.

Interpretation

Article 37

1. Any dispute that may arise in the interpretation, application or implementation
of any Article in the present Charter shall be settled cordially, and in all cases
through consultation, negotiation, reconciliation or arbitration;

2. The provisions of this Charter shall be implemented by the Member States in
conformity with their constitutional requirements..15

Article 38

Languages of the Organisation shall be Arabic, English and French.

Transitional Arrangement

RATIFICATION AND ENTRY INTO FORCE

Article 39

1. This Charter shall be adopted by the Council of Foreign Ministers by two-third
majority and shall be open for signature and ratification by Member States in
accordance with the constitutional procedures of each Member State.

2. The instruments of ratification shall be deposited with the Secretary General
of the Organisation.

3- This Charter replaces the Charter of the Organisation of the Islamic
Conference which was registered in conformity with Article 102 of the
Charter of the United Nations on February 1, 1974.

Done at the city of Dakar (Republic of Senegal), the Seventh day of Rabi Al-Awal,
One Thousand Four Hundred and Twenty-nine Hijra, corresponding to Fourteenth
day of March Two Thousand and Eight.
OIC-CHARTER-FINAL-miscdoc-ah-08
 
Ni vigumu kuamini kwamba serikali inakurupuka tuu. Haya ni mashinikizo ya vikundi maslahi nje na ndani ya serikali. Sera ya serikali kuhusu dini haijaletwa kujadiliwa, tayari tunasukumizwa kwenye OIC. Serikakali imereview lini sera ya Dini? Labda tujadili sera ya serikali kuhusu dini Kabla ya kuzungumzia OIC au mahakama ya Kadhi. Sera ya serikali ni ipi na inasemaje? Sera inaweza kubadilishwa. Labda mchakato wa kubadilisha sera ndo unaogopwa.

Serikali yenye sera ya kutojihusisha na dini, inataka ijihusishe na dini bila kubadili sera. Au ndo yale yale ya Kusema sisi tunafuata ujamaa na kujitegemea ... wakati kinachoendelea ni Ubepari wa Kihafidhina? Sera iseme hatujihusishi na dini, huku serikali ikianzisha idara za mambo ya wa....BAHAI?
 
Mwanangurumo. Asante sana kutuletea Katiba ya OIC. Nimei-print na itanisaidia kuchangia mawazo juu ya sakata la Tz kujiunga au kutojiunga na Shirika hilo la Kiislamu.
 
Back
Top Bottom