Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Let the president go. Vatican ni kama USA, Kenya au nchi yoyote thats why ni mjumbe maalum wa UN.
 
Mkuu Ogah. Lengo, sera na katiba za hii jumuia ziko wazi kabisa. Kiko kwa ajili ya maslahi ya waislamu. Nilimpinga sana Mkandara alipotaka kutufumba macho kwa kudai kuwa si cha kidini. Ni cha kidini through and through. Hauwezi kupata nafasi ya uongozi katika jumuia hiyo kama umeoa au umeolewa na asie muislamu. Kwa asie muislamu, alie tu. Lakini ukweli ni kuwa hawa ni moderates na kweli lengo lao ni kuwaendeleza wenzao. Hoja yangu ni kuwa kwa vile hadi sasa inaelekea hakuna njia mbadala ya wenzetu kufaidika na fadhila zake bila sisi wote kama nchi kujiunga, basi tujiunge, maana hawa ni wenzetu. Wakipeta, which I doubt, basi ni faraja kwetu sote. Tukiona hakuna maslahi tutajitoa kama tulivyojitoa Comesa.

Kitu ambacho wengi mnakipuuzia ni athari ya kutojiunga kwa jamii yetu. Kufanya hivyo na hasa katika mazingira ambayo viongozi wa wakristu wakiwa mstari wa mbele kutazidi kujenga ufa katika jamii yetu.Imani ya waislamu kuwa sisi wakristu hatuwatakii mema itazidi kuota mizizi. Wale waislamu wetu, tunaooleana na kuzikana tutawakimbiza kwa extremists kama hao waIran.

Wakristu, historia imetupendelea sana. Kuna haja ya kuwa magnanimous na kuwaridhia wenzetu. Kama hatuwezi kufanya hivyo, basi ule undugu tuliokuwa tunajivunia utaonekana ulikuwa ni fix tu. Upo tu pale ambapo mmisheni anafaidika.

Kwa ndugu zangu waislamu. Simamieni hoja bila kujaribu kutafuta visingizio visivyo na maana. Mnapokosea mnapodai kuwa hii ni haki yenu kutokana na uvumilivu wenu dhidi ya kuwepo kwa Balozi wa Vatican State nchini mwetu. Au kukomba kwenye sufuria na kujaribu kufananisha na taasisi za kidini ambamo ni madhehebu ndiyo wanachama na si nchi. Najua hampendi kuelezwa hivi lakini muundo wenu hauruhusu vyombo kama hivi. Kupata mwakilishi tu wa waislamu itakuwa kazi wakati wakristu wana utaratibu wao unaofanya vizuri sana kwenye hili. Sidhani kama Sheikh Mkuu ana madaraka yeyote dhidi ya wafuasi wa dini yake kama waliyo nayo mapadri, maaskofu na makadinali!

Kwa kushikilia hayo mnamwagia mafuta kwenye moto na kuzidisha imani kwa wengi wetu kuwa kuna ka-secret agenda kwenye ishu nzima.

Ni hayo tu.

Fundi mbona unasisitiza tu kujiunga na OIC bila kunijibu maswali yangu haya:
1. Je Tanzania kama taifa inayaamini na kuyakubali malengo ya OIC kama yalivyobainishwa kwenye charter yao?
2. Watanzania, pamoja na wewe, tuko tayari kushiriki kutekeleza malengo yote yaliyobainishwa humo?
3. Ni sahihi kwa Tanzania kama nchi yenye watu wenye dini mbalimbali kujiunga na kufungwa na maazimio na makubaliano yanayopendelea dini moja tu?

Na hebu tuambie, hiyo OIC charter umeisoma au unashabikia tu kwa sababu kama zile za Bernad Membe?
 
Bandugu hebu tuangalie hii Islamic Development Bank ambayo ni institution ya kutolea hiyo mikopo toka OIC

The Islamic Development Bank
AN OVERVIEW
Establishment of the Islamic Development Bank
1.1 The Islamic Development Bank (IDB) is an international development financing institution established in pursuance of the Declaration of Intent issued by the First Conference of Finance Ministers of the Islamic Countries held in Jeddah, Saudi Arabia, in Dhul Qa'da 1393H (December, 1973) and signed by representatives of twenty three member countries of the Organization of the Islamic Conference (OIC). The inaugural meeting of the Board of Governors of the Bank took place in Riyadh, Saudi Arabia, in Rajab 1395H (July 1975). The Bank started functioning on 15 Shawwal 1395H (20 October 1975).

Membership
1.2 At the end of 1419H (1999G) the membership of the Bank has increased to fifty three countries, compared with twenty-three at the time of inauguration in 1395H (1975). The membership of the Bank is expected to increase further in near future as and when required.

Purpose
1.3 The Bank is established to foster the economic development and social progress of member countries and Muslim communities individually as well as jointly, in accordance with the principles of Shari'ah.

Head Office
1.4 The principal office of the Bank is in Jeddah, Kingdom of Saudi Arabia, while current regional offices are located in Malaysia (Kuala Lumpur), Morocco (Rabat) and in Kazakstan (Al Maty).

Principles of Operations
1.5 The Islamic Development Bank operates according to the Shari'ah principles.

1.6 Shari'ah is the set of rules derived from the Holy Quran, the authentic traditions (Sunnah) of the Prophet (peace be upon him) and the scholarly opinions (Ijtehad) which are based on the Holy Quran and the Sunnah.

1.7 The principles of Shariah that govern Islamic banking are the following:-
- prohibition of interest (riba) in all financial transactions, such as: riba in debts, riba in sales, including forward currency deals and futures exchanges.
- Participation in profit and loss sharing, since return is not guaranteed in an Islamic transaction.

1.8 The IDB does not borrow from the market and its operations are sustained by share-holders capital, retained earnings and funds generated internally through its foreign trade and project financing operations. The IDB has no non-regional members. The IDB is an institution established by the Ummah, for the Ummah and operated and managed by the Ummah. The IDB finances trade and development projects both for the public and private sectors, finances large and medium sized projects and small enterprises in the member countries.

1.9 In non-member countries the IDB supports Islamic communities by providing scholarships and training facilities. Through the Islamic Research Training Institute (IRTI), the IDB conducts research on Islamic topics having modern day relevance. The IDB also mobilizes technical capabilities within member countries in order to promote exchange of expertise and experience. Science and Technology development are in the forefront of the strategic agenda of the IDB which forms an integral part of project financing.
Additionally, the IDB provides merit scholarships for high technology to scholars for pursuing doctorate programme and post-doctoral research in centers of excellence in the world.

1.10 Through its Islamic Corporation for the Insurance of Investments and Export Credit (ICIEC), the IDB provides, in accordance with the principles of Shari'ah, export credits, insurance to cover non-payment of export receivables resulting from commercial (buyers) and non-commercial (country) risks.

Modes of IDB Financing
1.11 The Bank finances projects from its Ordinary Capital Resources (OCR) by way of interest-free loan or soft loan, under the modes of financing of loans, installment sale, technical assistance, equity participation, profit sharing, istisna'a and lines of financing extended to NDFIs. A brief explanation of the applicable modes of financing is given below:

1.11.1 Loan
This mode of financing is used for projects expected to have a significant socioeconomic developmental impact, with a long implementation period and which may not be revenue-generating. Loans are given to governments or public institutions mainly in the Least Developed Member Countries (LDMCs) for implementation of social infrastructure projects.
At the moment the current policy is that the Bank charges a modest service fee, not exceeding 2.5%, to recover part of the administrative costs incurred in project identification, appraisal and supervision. In addition, the loans provided by the Bank include a grace period of 3-7 years and repayment is spread over a period of 15-25 years.
These projects are usually given maximum grace and repayment periods.

1.11.2 Leasing
This is a medium term mode of financing for rental of capital equipments and other fixed assets such as plant, machinery and equipment for industrial, agro-industrial, infrastructure, transport, etc., both for public and private sectors. Lease financing is also provided for acquiring ships, oil tankers, fishing trawlers etc. At the end of the rental period the Bank transfers the ownership of the equipment to the lessee as a gift. The Bank charges a percentage for Mark-up depending on whether it is member or non-member country for already existing projects approved on or before 1420H. This policy has been replaced by a floating rate mark-up for all new projects approved by BED starting……1420H..

1.11.3 Installment Sale
Installment Sale financing is similar to Leasing. The major difference is that in Installment Sale, the ownership of the asset is transferred to the beneficiary on delivery. Under this mode of financing, the Bank purchases the asset i.e. equipment and machinery and sells it to the beneficiary at an agreed value including a mark-up.

1.11.4 Equity Participation
The Bank participates in the equity capital of existing or new companies which are operating in accordance with Shariah in the public and private sectors. The Bank's participation is limited to one-third of the equity capital of the company.

1.11.5 Profit Sharing
It is a form of partnership in which two or more parties pool funds together to finance a venture. The partners share the profit (or loss) in proportion to their contribution to the capital.

1.11.6 Istisna'a
Istisna'a is a mode used for the promotion of trade in capital goods, enhancement of the production capacity and project financing. It is a contract for manufacturing goods or other assets in which the manufacturer agrees to provide the buyer with goods manufactured according to specifications within a certain time and for any agreed price. This mode enables the Bank to finance working capital and thus contribute to the enhancement of production capacity in member countries.

1.11.8 Technical Assistance
In addition to the above, the Bank provides Technical Assistance in the form of grant and/or loan for project-related tasks such as feasibility study and design, supervision of implementation and for tasks of an advisory nature such as definition of policies, sectoral plans, institution-building, research, etc. Technical Assistance is mainly extended to least Developed Member Countries (LDMCs).

1.11.9 Line of Financing to National Development
Financing Institutions
Under this category the Bank extends financing through equity, leasing and installment sale to the NDFIs in member countries to promote the growth of small and medium size industries (SMEIS) mainly in the private sector.

Special Assistance Operations
1.12 The Bank maintains a Special Assistance Account which was established in 1399H (1979). The Account is kept separate from the ordinary resources of the Bank and is used, among others, for training and research, provision of relief in the form of appropriate goods and services to member countries and Islamic communities afflicted by natural disasters and calamities, promotion and furtherance of Islamic causes and assistance to Muslim communities in non-member countries to improve their socio-economic conditions.

Other Operations of the Bank
1.13 In addition to the above modes of financing , there are three schemes which play a significant role in promoting trade among IDB member countries. These are (i) Import Trade Financing Operations (ITFO), (ii) Export Financing Scheme (EFS) and (iii) Islamic Bank's Portfolio for Investment and Development (IBP) (See Chapter No……… and No. ………. For ITFO and EFS procedures of financing respectively).

Currencies of Disbursement
1.14 The accounting currency of the IDB is the Islamic Dinar (ID) with
1 ID = 1 Special Drawing Right (SDR)
1.15 The Bank disburses in all major convertible currencies as well as in local currencies of member countries depending on the supply contracts and the provision in the IDB financing agreement. The Bank accepts repayment in most major convertible currencies.

All disbursements and repayments are converted into Islamic Dinars for accounting purposes.

1.16 The exchange rate for the Islamic Dinar vis-à-vis the currency of disbursement or repayment is based on the IMF rate for the SDR on the date preceding the day of the payment or receipt of funds.


source
Welcome to Islamic Development Bank
 
Fundi mbona unasisitiza tu kujiunga na OIC bila kunijibu maswali yangu haya:
1. Je Tanzania kama taifa inayaamini na kuyakubali malengo ya OIC kama yalivyobainishwa kwenye charter yao?
2. Watanzania, pamoja na wewe, tuko tayari kushiriki kutekeleza malengo yote yaliyobainishwa humo?
3. Ni sahihi kwa Tanzania kama nchi yenye watu wenye dini mbalimbali kujiunga na kufungwa na maazimio na makubaliano yanayopendelea dini moja tu?

Na hebu tuambie, hiyo OIC charter umeisoma au unashabikia tu kwa sababu kama zile za Bernad Membe?

Na ndio tatizo letu kubwa watanzania mara nyingi hatusomi tukaelewa au hata wakati mwingine ikibidi kuuliza na kutaka ushauri, tunaangalia juu juu tu na kupitisha maamuzi.

Inawezekana ndio sababu tumeingizwa kwenye mikataba mingi tu ya ovyo kwa kuangalia juu juu badala ya kukaa chini na kutathmini kwa undani mikataba mingi tuingiayo na vile vile tukifikiria na vizazi vyetu vya mbele sio kwa kuangalia manufaa yetu tu ya leo.
 
http://www.oic-oci.org/oicnew/is11/english/Charter-en.pdf

Ukiangalia namna nchi zinavyoweza kuwa wanachama kuna mashaka kidogo hapa...nafikiri sensa ni muhimu. Pitia link hapa juu Kwa mfano the charter inasema ...Any State, member of the United Nation, having Muslim majority and abiding by the Charter, which submit an application for membership may join the Organisation....

Km tunaongelea Zanzibar ambayo AGs wameshasema ni nchi then wanaendana na Charter ikiwa ni Jamhuri ya Muungano au Tanzania bara (Km nchi....! AGs hawakutueleza km hii nayo ni nchi au kipande cha nchi....!) hapa pana shida kidogo

Je watanzania tunaitii/kuikubali "charter" hiyo? Mimi siikubali, na ninajua wapo wengi sana wasioikubali. Kwa nini tulazimishwe kushiriki kitu tusichokubaliana nacho?
 
Je watanzania tunaitii/kuikubali "charter" hiyo? Mimi siikubali, na ninajua wapo wengi sana wasioikubali. Kwa nini tulazimishwe kushiriki kitu tusichokubaliana nacho?


hii statement inaturepresent watanzania wote? hapo umeandika kwa ajili ya wangapi msiokubali?
 
hii statement inaturepresent watanzania wote? hapo umeandika kwa ajili ya wangapi msiokubali?

Kwa ajili ya sisi tusiokubali, maana kwa ushahidi wa wanaochangia mjadala tu hapa siko peke yangu.
 
Kwa ajili ya sisi tusiokubali, maana kwa ushahidi wa wanaochangia mjadala tu hapa siko peke yangu.


well and good, nice statistical analysis, very representative kwa Watanzania..... sikujua ati.
 
Sasa kama tunataka kujiunga na OIC kwa maslahi ya kiuchumi naomba kujibiwa hapa.

1. Ni maslahi gani ambayo yapo OIC ambayo hatujayapata/au hayamo kwenye SADC, COMESA, EAC, COMMONWEALTH ambako sisi ni wanachama?

SASA HIVI KUNA JITIHADA ZA KUPUNGUZA MEMBERSHIP KWENYE HIZI REGIONAL BLOCKS NA NDO MAANA TUMEONDOKA COMESA.

Jamani tuache emotions hoja ijibiwe kwa hoja.

What do we want exactly as a country when we join OIC??? Kimsingi mimi napinga hizi hoja mfu! Tuambiwe ni kwa nini tunataka kuingia OIC...kama nchi tumepata nini kwa hizi organization ambazo tumo tayari? na OIC tutapata nini amabcho sasa hivi hatukipati!

Hao member wa OIC wenyewe wamechoka tuu kama sisi...ndo akina Sudan, Iran, Iraq et al! watatupa nini? zaidi ya migogoro? we have enough problems guys.

We should strive for strategic partnership..tuachane na hizi blah blah za kisiasa.
 
well and good, nice statistical analysis, very representative kwa Watanzania..... sikujua ati.

Ni hivi mama, haiwezi kuwakilisha watanzania wote maana wapo hao wanaotaka kujiunga na OIC. Ninachosema ni kwamba haki za wasiotaka hiyo OIC pia ziheshimiwe, wasilazimishwe kuwa sehemu ya utekelezaji wa malengo wasiyoyaamini wala kuyakubali. Na kikubwa ni kwamba itakuwa ni kinyume cha haki na katiba kwa nchi kuwa mwanachama wa taasisi yenye malengo yaliyokusudiwa kwa ajili ya dini moja tu katika nyingi zilizoko nchini, huku yakikinzana na imani za hao wasio wa dini hiyo. Jambo lenye manufaa lingekuwa kuwawezesha waislamu kujiunga na hiyo OIC bila kuwaathiri watu wa dini nyingine.
 
Ni hivi mama, haiwezi kuwakilisha watanzania wote maana wapo hao wanaotaka kujiunga na OIC. Ninachosema ni kwamba haki za wasiotaka hiyo OIC pia ziheshimiwe, wasilazimishwe kuwa sehemu ya utekelezaji wa malengo wasiyoyaamini wala kuyakubali. Na kikubwa ni kwamba itakuwa ni kinyume cha haki na katiba kwa nchi kuwa mwanachama wa taasisi yenye malengo yaliyokusudiwa kwa ajili ya dini moja tu katika nyingi zilizoko nchini, huku yakikinzana na imani za hao wasio wa dini hiyo. Jambo lenye manufaa lingekuwa kuwawezesha waislamu kujiunga na hiyo OIC bila kuwaathiri watu wa dini nyingine.


Nashukuru ndugu Kithuku kwa maelezo yako mazuri.


Naomba kuuliza maswali ya nyongeza kama ifuatavyo:

Je kuna jambo lolote kwenye katiba ya nchi ambalo linakinzana na imani ya kiislamu?

Kama lipo, je na hao waislamu wakianza kudai hili jambo lenye manufaa ambalo limeathiriwa na dini nyingine watatimiziwa haja yao.

Je kujiunga na IOC kunaathiri vipi dini zingine?

Na je dini zipi hizo ambazo zinaathiriwa?
 
Mkuu. Tatizo ni kuwa debate yenyewe yote imekuwa hijacked na fikra za udini. Ukweli ni kuwa kimaendeleo waislamu au tuseme sehemu zenye majority ya waislamu ziko nyuma. Hii imechangiwa zaidi na sababu za kihistoria. Kwa hali inaeleweka kama watatafuta njia mbadala ya kuwaletea maendeleo. Kilichotakiwa ni kuwa badala ya kuwabeza kuwa wasitupeleke kwenye sharia tufanye wote juhudi za kuwaletea hayo maendeleo kupitia mikondo isiyopingana na katiba yetu. Hao maaskofu wangeomba hivyo vyombo vyao kama World Vision wazidishe juhudi zao katika sehemu zilizo duni kimaendeleo. Hii itabidi ifanyike kwa kushirikiana na wenye nia njema kutoka pande zote. Kama vile kulivyo na haja ya kuwaelimisha wamisheni kuwa si kila chombo cha waislamu ni camouflage ya mujaheedina, nao wenzetu waweeleze kuwa si kila kinacholetwa na wakristu kitawapunguzia uislamu wao.

Mimi ingawa sipingi sis kujiunga na hiki chama lakini sina mategemeo makubwa. Wenzetu wenye mafuta hawana hulka ya kusaidia. sana sana wataleta tende wakati wa mfungo wa mwezi mtukufu! Misaada itaendelea kuletwa na wamisheni wa nchi za magharibi. Tumaini langu ni kuwa labda tukijiunga na kuambulia patupu ndipo tutakapojifunza kuwa hakuna njia ya mkato kwenye kutafuta maendeleo. Pengine tutarudi tena na kuanza kuziba nyufa za udini zilizoanza kujitokeza katika jamii yetu.

Nilisikitika hapo awali kumsikia Askofu mmoja akikiri kuwa hajaisoma katikba ya OIC lakini akisisitiza bado kupinga sisi kujiunga nao. Ni kama vile wenzangu walivyompandishia mori Salman bila kukisoma kitabu chake cha Satanic Verses!

Inafariji kusoma posting zilizotulia kama hizi baada ya kuperuzi karatasi takriba 70 zilizojaa hoja hewa za kidini zisizojali maendeleo ya nchi kwa umoja wake. Fundi Mchundo, right to the point.
 
Nashukuru ndugu Kithuku kwa maelezo yako mazuri.


Naomba kuuliza maswali ya nyongeza kama ifuatavyo:

Je kuna jambo lolote kwenye katiba ya nchi ambalo linakinzana na imani ya kiislamu?

Kama lipo, je na hao waislamu wakianza kudai hili jambo lenye manufaa ambalo limeathiriwa na dini nyingine watatimiziwa haja yao.

Je kujiunga na IOC kunaathiri vipi dini zingine?

Na je dini zipi hizo ambazo zinaathiriwa?

Bila kupoteza mwelekeo wa mjadala, ni kwamba msingi wangu wa kupinga nchi yetu kujiunga na OIC ni kwamba sikubaliani na malengo ya OIC, basi. Hao wanaokubaliana na malengo hayo wana haki ya kujiunga, lakini wafanye hivyo kwa namna ambayo haitawalazimisha wengine kushiriki utekelezaji wa mambo wasiyoyaamini.
 
Bila kupoteza mwelekeo wa mjadala, ni kwamba msingi wangu wa kupinga nchi yetu kujiunga na OIC ni kwamba sikubaliani na malengo ya OIC, basi. Hao wanaokubaliana na malengo hayo wana haki ya kujiunga, lakini wafanye hivyo kwa namna ambayo haitawalazimisha wengine kushiriki utekelezaji wa mambo wasiyoyaamini.


Asante kwa majibu yako mazuri ingawa bado hujajibu maswali. Sio shaka kwani maswali mengi sana yameulizwa na hayajapata majibu. Wasiwasi ni mwelekeo wa udini wa nchi hii unatupelekea pabaya kama ilivyothibitishwa kwenye thread hii, chuki za kidini. Na kama haitoshi kila dini inaanza kudai mambo ambayo hayaathiri imani zao, hapo ndio ngoma itakapo kuwa lele. Hindus nchi hii wapo, na wana mambo yao, Budhas nao, Paganis nao n.k.

Binafsi sioni sababu ya kutojiunga na jumuiya hiyo, kwani sio ndoa wala muungano. Kama serikali inataka ijiunge tu, na sikuona sababu yeyote ya kutangaza haya mambo kabla haijayatekeleza. Ingejiunga kabisa ndio itangaze jamani tumeshajiunga na jumuiya hii.
 
hii hoja imeletwa sasa ili mafisadi wapate njia ya kutokea, na aliye shindwa kuongoza nchi apate ahuweni, wakati wapagani/wakristo/waislamu wanapigana
 
Nashukuru ndugu Kithuku kwa maelezo yako mazuri.


Naomba kuuliza maswali ya nyongeza kama ifuatavyo:

Je kuna jambo lolote kwenye katiba ya nchi ambalo linakinzana na imani ya kiislamu?

Kama lipo, je na hao waislamu wakianza kudai hili jambo lenye manufaa ambalo limeathiriwa na dini nyingine watatimiziwa haja yao.

Je kujiunga na IOC kunaathiri vipi dini zingine?

Na je dini zipi hizo ambazo zinaathiriwa?

.........hakuna ubaya uka-highlight hicho ki/vipengele.........ili tuvivalie njuga.......kwani katiba yatakiwa iwe neutral.............we should not forego onething in order to fight ahead of something else!!!..............

..........hatuwezi kuendeleza makosa eti kwa sababu kuna makosa mengine somewhere............
 
.........hakuna ubaya uka-highlight hicho ki/vipengele.........ili tuvivalie njuga.......kwani katiba yatakiwa iwe neutral.............we should not forego onething in order to fight ahead of something else!!!..............

..........hatuwezi kuendeleza makosa eti kwa sababu kuna makosa mengine somewhere............


sikijui, ndio nauliza kujua kama katiba iko fair. Kama haikofair basi iwe overhauled kama inawezekana ili kuondoa kutokuridhishwa kwa pande husika, hasa kwa wote wenye dini zao, zisiathiriwe na dini nyingine.
 
sikijui, ndio nauliza kujua kama katiba iko fair. Kama haikofair basi iwe overhauled kama inawezekana ili kuondoa kutokuridhishwa kwa pande husika, hasa kwa wote dini zao, zisiathiriwe na dini nyingine.

.......kwi kwi kwi kwi kwi.......very interesting.........
 
Back
Top Bottom