migomo ya vyuo
Member
- Jun 14, 2011
- 58
- 18
hawa ndugu waliyapinga na kuyalaani maandamano ya CHADEMA sasa sijui leo maandamano yamekuwaje mazuri ilihali wao wenyewe walizunguka kny vyuo vikuu wakayapinga na kusema yanaleta uvunjifu wa amani?
Nafikiri wewe umejichanganya. Kwa masingi wowote ule lazima serikali yenu angalie na kukubali maamuzi yake.
katika mfumo wa Mahakama ya kadhi, Mwenye mamlaka ya mwisho katika hukumu ni Chief Kadhi na hukumu yake haitenguki hata ukukata rufaa kwenye mahakama ya rufaa TZ.
Lakini vle vile watakaokwenda kushughulikiwa masuala yao ni wa TZ kama walivyo wa Tz wengine regardless dini yao ya Uislam. Je Serikali ya JMT itaweza kuwalipia hao raia wake walioamua kutumia makhakama hizi kutafuta haki zao?
Hapo ndio naona kuna kitu kimejificha. Chukulia mfano Kenya zipo na afisi zao zinakuwa kwenye mahakama zao za kawaida kwani wanaopata huduma ni wananchi kama wengine nao wana haki sawa na wengine.
Fungukeni jamani sio kupinga. Mbona hamuulizi JMT inapotoa Ruzuku kwenye mashirika ya dini kama hospitali kama Bugando, KCMC n.k.
Kwa waislam inakuwa Nongwa. Au ndio yale yale kunya anye kuku, akinya bata ......
Hilo ndilo tatizo la waislamu inferiority complex kujiona wanyonge mbele ya wakristo.Tatizo la Tanganyika ni vita baridi za Kidini. Wakristo wana kila mkakati wa kuhakikisha waislam hawaendelei na kuwa tegemezi dhidi yao.
Hakika Choyo na Husda za Wakristo huko TNG zinaipeleka pabaya sana na matokeo na dalili zake sasa ndio zimeshajitokeza.
Poleni sana
<br />Wanataka ianzishwe na serkali ili mahakama hiyo iwe inagharamiwa na serkali ikiwa pamoja na kadhi kulipwa mshahara na serkali. Waislamu hawana uwezo wa kuigharamia. Hapa ndipo serkali inapokataa kujiingiza kwenye mambo ya dini, kwa sababu ikifanya hivo maaskofu nao watadai walipwe mishahara na serkali.<br />
<br />
Wanawaza kwa kutumia masaburi yao!!!
mimi naomba kumuuliza huyu Mdondoaji, hivi Saudi Arabia, Pakistan, Iran na Sudan hizi sio Jamhuri za kiislamu? why Vatican?
<br />
<br />
pamoja na gharama wanataka hukumu zao ziwe enforced na vyombo vya dola ili atakae pingana nao ashurutishwe na serikali kutii maamuzi ya kadhi. Kitu ambacho kwa mtazamo wangu ndo hatari kwa taifa lenye watu wenye imani tofauti kama Tz kuliko hata hata hizo ghalama za kuendesha mahakama yenyewe. I can't imagine where we're heading as a nation
Ardhi ni ya serikali na bank ni taasisi zinazojitegemea. Tanzania ni nchi isiyo na dini(consult ur katiba). Alafu wewe kama umeshapata mwenza na kuwekwa ndani huko uarabuni na kubadili uraiya hupaswi kuchangia jambo ambalo halikuusu. Au Jihad ndo popote??
Kwamba hapa unatuamini mkristo nae aende kwenye mahakama ya kadhi? too low to me,..........
Nafikiri kuna haja ya kutoa upendeleo wa kielimu kwa waislamu, nadhani ndio njia pekee ya kuondowa fikra mgando kwenye jamii hii.
Hivi naomba kuuliza tu, kutokuwepo kwa vyuo vikuu vingi vinavyomilikiwa na taasisi za kiislamu kunatokana na kutokuwa na mahakama ya kadhi?
Sasa mkuu hebu oanisha kwa uzuri kabisa, unawezaje kudai mahakama ya kadhi kwa kigezo cha Vatican kuwa na ubalozi hapa nchini? maana naona umeshupalia kweli kweli Vatican sio nchi.Usiniwekee forum I want an academic argument na sio opinion za watu. Anyway response of Professor Geoffrey Robertson (gwiji wa International Law) to those supporters of vatican as country or state (probably due to their religious faith) anasema hivi :-
"The starting point – The Creation of States in International Law – began in 1976 as a doctoral thesis by James Crawford: his second edition remarks (understatedly) that "the legal status of the Vatican City has been the subject of much study and some controversy". He still inclines to his earlier view that the Vatican City is a state but admits that some experts have denied this and that "the position of the Vatican City is peculiar and the criterion for statehood in its case only marginally (if at all) complied with".(16) Professor Gillian Triggs, correctly in my view, concludes "The Vatican City does not meet the criteria for statehood" (17) – it has no accredited diplomats, for a start, and serves as a territorial prop for the Holy See which ratifies most of its treaties. Crawford considers that the relationship between the City and the See is "a matter for some perplexity" and cites "the best modern study" of the issue which concludes (correctly in my view) that "the Holy See is not a state in international law, but has an international legal personality of its own which permits it to take international actions such as the conclusion of treaties and the maintenance of diplomatic relations".(18) Another leading textbook, International Law, sets out reasons to question "the reality of Vatican statehood",(19) whilst the late Professor Ian Brownlie's standard student textbook opines that the Vatican City claim is doubtful and the personality of the Holy See, as a politico-religious hybrid, is "even more difficult to solve" and can only be characterised by the way in which individual states relate to it. (20)"
Fn 16: Crawford, Creation of States in International Law, 221-5.
Fn 17: Triggs, International Law, 188.
Fn 18: Crawford, citing Jorri Duursma, Fragmentation and the International Relations of Micro-states: Self-determination and Statehood, 386-7.
Fn 19: O'Donnell, International Law, 290.
Fn 20: Brownlie, Principles of Public International Law, 64.
What "leading international lawyer" could be confident of Vatican statehood when the head of the Holy See's permanent division at the UN admits:
"it struggles to be counted as a "real" state. Since 1870, it has had almost no real territory to defend. It has no economic or industrial interest in the usual sense of the term. It has almost no population….It has the Swiss Guards but no strategic defence to speak of…"
(Msgnr Leo Cushley, "A Light to the Nations: Vatican Diplomacy and Global Politics", 2007 Harbigen Lecture)
Kawasome hao maprofessa uje kivingine ila in short Vatican is not a state or a country ndio maana mpaka kesho wanastruggle kupata full membership in UN na EU wanabakia ni observatory members. Palestina mwezi huu wanapewa full membership in UN ijapokuwa marekani hawakubaliani nao.
Kuhusu kwanini nimeleta Vatican katika mjadala wa mahakama ya kadhi ni kwasababu Serikali ilianzisha mahusiano na taasisi ya kidini . Nyerere alikubali kupindisha katiba na kuanzisha mahusiano ya kibalozi na taasisi ya kidini (Vatican). Leo hii utasemaje kuwa SERIKALI YA TANZANIA HAINA DINI!!!!
Kwani nchi inafanya na kuamua mambo yake kwakuwa nchi zingine wamefanya au kila mmoja anajiamulia kwa utaratibu na mazingira yake? hatuwezi kuwa jamuhuri ya kikristo kwasababu nchi fulani wamewezaWasi wasi wa nini Mbona Kenya wame accomodate katika katiba yao. Vp Tanganyika kunani?
Fahamu kuwa kama ruling zake zisipokuwa binded kwenye sheria zenu kutakuwa hakuna maana kabisa ya kuwa na mahakama za kadhi. Angalie katiba ya Znz walivyoweza kuziaccomodate au hata Kenya na nchi nyingi nyingine bila kuathiri mfumo wa sheria zao.
Lakini kikubwa kinachoonekana na CHOYO na HUSDA kwa watanganyika katika kupinga jambo pasi na kuwa na sababu muhimu.
Poleni sana.
waislamu wanataka mahakama yao iidhinishwe na bunge ili iweze kuhudumiwa na serikali kama kulipa mishahara ya watendaji kazi wake kama sivyo na ubalozi wa vatican uondoke kwani unaendeshwa kwa kodi zetu waislamu na wakristo si nchi haina dini
Nafikiri wewe hujui Vatican ila unasema usichokifahamu. Vitican haiwezi kabisa kufananishwa na Suudan au saudia. Ila unaweza kuifananisha na mji wa Makka na Saudia inaendelea kuwa sawa na Italia.
Kwani Mji wa makka unajitegemea na kuna msikiti mkuu ambao kuna Uongozi chini ya shehe mkuu wa msikiti huo ambaye anakuwa sawa na Pope.
Labda nikuulize Je kama unasema vatican ni Nchi. Je unaweza kuniambia population yake.
Je kuna wanawake wangapi? Je kuna watoto wangapi (chini ya miaka 18.)
Unawafahamu raia wake.
|
Vipi, umerudi lini kutoka msibani? Je Hawa Manaodha wa "Spice" wanafunguliwa mashtaka kwenye "Kadhi Court"?