Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Sudan ni manachama wa OIC, je inamaendeleo ya maana? Botswana si mwanachama je maendeleo yake yakoje? China na Japan je wameendelea kwa misaada ya OIC? Watu wafikiri nje ya box. Maendeleo hayaletwi na vijumuia kama vi-OIC bali maendeleo yanaletwa na utashi wa serkali katika nchi husika. Serikali ya China kwa mfano haicheki na nyani kama ya JK.
 
Shida hapa ni dhana potofu ya " utegemezi". Ndio maana kuna watu wanaona kujiunga na OIC nchi itapata misaada, mingi ikiwa ni ya kidini. Mbona kuna faida nyingi kujiunga EAST AFRICA, Ongeleeni vyombo hivi kwanza. Hatuwezi kuvunja misingi ya katiba kwa mambo yanayooenekana wazi kuwa yameghubikwa na udini.

Shida ya "wajinga" akili yao huzolewa harakaharaka na mambo yaliogemea udini na ukabila. Nchi kuendelea sio lazima kujiunga na OIC.
 
Mdondoaji said:
Wewe mbwiga usifikiri unazungumza na mtu asiyejua nini anaongea kwanza nakujibu post yako kwa kauli hii aliyoitoa Museveni katika mkutano wa OIC 2008 Kampala alisema hivi nanukuu:-

"I have held a meeting with companies producing oil," he told the over 500 delegates from 57 Muslim countries. "OIC members have benefited fromexploration of petroleum and gas".

Pia akaendelea kusema nanukuu
""OIC members have benefited from exploration of petroleum and gas and accumulated financial surpluses which can be invested in Uganda so that we expand our GDP,".

Pia tuzungumzie kwenye Tullow Plc ni kampuni ya UK na wamiliki wake wakuu ni hawa hapa:-
1. Blackrock
2. Prudential PLC
3.IFG International Trust.

Only IFG ndio majority shareholders sio waarabu na waasia but Blackrock na Prudential PLC majority shareholders ni waarabu kama Saudi Arabia, Kuwait, Malaysia, Indonesia who happens to be OIC members.

Siku nyengine ficha upumbavu wako usifikiri unazungumza na sheikh wa madrassa. Mimi ni muislamu ila sio kihiyo unavyofikiri mpuuzi na mdini we.

Mdondoaji,

..mimi bado hujani-convince na hii hoja yako.

..labda nikukumbushe miradi ya IPTL na DOWANS ilivyotuumiza na inavyoendelea kutuumiza.

..IPTL ni mradi wa wa MALAYSIA ambao ni members wa OIC.

..DOWANS ni kampuni ya raia wa OMAN mwenye asili ya ZANZIBAR. yaani huyu juu ya kutokea nchi mwanachama wa OIC pia ni ndugu yetu.

..kwa mtizamo wangu ktk uwekezaji wowote kila upande unapaswa kulinda maslahi yake. sina uhakika kama OIC inaweza kutusaidia ikiwa sisi wenyewe hatuko makini ktk kusimamia maslahi yetu.

..
 
Mdondoaji,

..mimi bado hujani-convince na hii hoja yako.

..labda nikukumbushe miradi ya IPTL na DOWANS ilivyotuumiza na inavyoendelea kutuumiza.

..IPTL ni mradi wa wa MALAYSIA ambao ni members wa OIC.

..DOWANS ni kampuni ya raia wa OMAN mwenye asili ya ZANZIBAR. yaani huyu juu ya kutokea nchi mwanachama wa OIC pia ni ndugu yetu.

..kwa mtizamo wangu ktk uwekezaji wowote kila upande unapaswa kulinda maslahi yake. sina uhakika kama OIC inaweza kutusaidia ikiwa sisi wenyewe hatuko makini ktk kusimamia maslahi yetu.

..

Joka Kuu,

OIC ina members who kama viongozi wana azma ya dhati ya kutukwamua kiuchumi tunaweza kufaidika. Uchumi wa dunia mkuu unahama kwenda Asia na South America. South America Marekani amejipanga kimkakati kama unafahamu NAED (North American Alliance for Economic Development) na zenginezo pia. Africa is a continent to scramble sasa hivi kwa kuwa Europe wameshafilisika kwa sasa.

Hoja yako ya IPTL na Dowans nikuulize akina nani waliandikishana mikataba na kiini cha tatizo kiko wapi? Dowans kampuni ya mfukoni iliyotoka Richmond huyo raia wa Oman sijui zanzibar nyuma ya pazi wapo wanasiasa wetu tunaowaona kila siku mabungeni na serikalini. Kiufupi jinamizi la UFISADI NDIO KIKWAZO CHA MAENDELEO TANZANIA.

Ila ukweli unabakia OIC members alot of them have massive trade surplus, technology and willing to help. If we know how to play our cards right tutafaidika but if we do not know how to play them right tutabakia kulia kila siku. OIC tunaweza kufaidika kimaendeleo, kiuchumi shida kubwa miongoni mwenu ndugu zetu ni neno Muslim Countries.
 
Mdondoaji said:
Ila ukweli unabakia OIC members alot of them have massive trade surplus, technology and willing to help. If we know how to play our cards right tutafaidika but if we do not know how to play them right tutabakia kulia kila siku. OIC tunaweza kufaidika kimaendeleo, kiuchumi shida kubwa miongoni mwenu ndugu zetu ni neno Muslim Countries.

Mdondoaji,

..Tanzania tuna mahusiano ya moja kwa moja na wanachama mbalimbali wa OIC kama Oman,Malaysia,Saudia Arabia, Iran, etc etc.

..hizo "favourable investment terms" unazozizungumzia haziwezi kupatikana kupitia bilateral relationships ni lazima tujiunge na OIC?

..pia napenda kujua kama nchi za Kiafrika wanachama wa OIC kama Uganda,Mozambique, etc, zinatuzidi ktk kupokea investments na misaada toka nchi wanachama wa OIC na mashirika kama Saudi Fund, Kuwait Fund, etc.

..nakuunga mkono hapo uliposema " we need to play our cards right ". hilo ndilo tatizo letu kubwa ninaloliona, and if we dont fix that tunaweza kuingia huko OIC halafu tukakaribisha IPTL na DOWANS wengi zaidi.
 
Joka Kuu,

OIC ina members who kama viongozi wana azma ya dhati ya kutukwamua kiuchumi tunaweza kufaidika. Uchumi wa dunia mkuu unahama kwenda Asia na South America. South America Marekani amejipanga kimkakati kama unafahamu NAED (North American Alliance for Economic Development) na zenginezo pia. Africa is a continent to scramble sasa hivi kwa kuwa Europe wameshafilisika kwa sasa.

Hoja yako ya IPTL na Dowans nikuulize akina nani waliandikishana mikataba na kiini cha tatizo kiko wapi? Dowans kampuni ya mfukoni iliyotoka Richmond huyo raia wa Oman sijui zanzibar nyuma ya pazi wapo wanasiasa wetu tunaowaona kila siku mabungeni na serikalini. Kiufupi jinamizi la UFISADI NDIO KIKWAZO CHA MAENDELEO TANZANIA.

Ila ukweli unabakia OIC members alot of them have massive trade surplus, technology and willing to help. If we know how to play our cards right tutafaidika but if we do not know how to play them right tutabakia kulia kila siku. OIC tunaweza kufaidika kimaendeleo, kiuchumi shida kubwa miongoni mwenu ndugu zetu ni neno Muslim Countries.


Mdondoaji!
Tukiweka hisia za kidini pembeni, nafikiri suala la OIC, kitaifa, tunatakiwa kulichukulia kiuchumi zaidi badala ya kidini.
Lakini cha kushangaza ni pale ambapo kujiunga na OIC kumechukuliwa kuwa ni swala la kidini, na ni kundi moja la dini fulani ndio linang'ang'ania. Nafikiri hapa ndipo tulipokosea. From the beginning, sababu za kiuchumi zingetiliwa mkazo zaidi badala ya za kidini, labda bunge na serikali wangekuwa wameisharidhia. Lakini sasa hivi wote tunaona, kwamba hii ni ajenda ya "waislam" badala ya kuwa ajenda ya Taifa.

Kwa upande mwingine, kwa uzoefu wangu wa kuwa karibu sana ndugu na rafiki waislam, sioni sababu ya "kutofanikiwa kujiunga na OIC" iwe kikwazo kwa maendeleo ya muislam yeyote. Uislam upo tu na utaendelea kuwepo whether or not kuna OIC. OIC inaweza kufa, uislam upo tu. Kwa hiyo, suala la OIC halitakiwi litugawe kama Watanzania. Nchi ni yetu wote wakati wa amani na hata wakati wa vurugu.

Madai ambayo nayaona ni ya msingi zaidi kwa waislam, ni suala la mahakama ya kadhi, kwa sababu kadhi courts zina husiana moja kwa moja na imani ya kiislam. Na hata hivyo, madai haya nayo si lazima sana kuyafanyia debate- kwa sababu katiba tayari inatambua kuwepo kwa wananchi wenye imani zao, na watu wanaruhusiwa kufanya mambo ambayo imani zao zinataka. Kwa maana nyingine ni kwamba, Waislam WAKIJIANZISHIA MAHAKAMA YA KADHI kimya kimya, hawatakuwa wamevunja katiba.
Sasa badala ya kupoteza muda kubishania kuwa Kadhi courts zitajwe kwenye katiba (ambacho sio rahisi kutokea) ingekuwa vizuri Waislam waanzishe na waziendeshe mahakama hizo. Mambo mengine inabidi kufanya taratibu, hatua kwa hatua na uvumilivu...
Miaka ya baadaye, si ajabu ikawa rahisi zaidi kuingiza kipengele hicho mnachotaka kutokana na kubadilika kwa nyakati pamoja na mazingira. Cha msingi tukubali kuwa , Katiba haijawakataza kuanzisha kadhi courts.
 
Mdondoaji,

..Tanzania tuna mahusiano ya moja kwa moja na wanachama mbalimbali wa OIC kama Oman,Malaysia,Saudia Arabia, Iran, etc etc.

..hizo "favourable investment terms" unazozizungumzia haziwezi kupatikana kupitia bilateral relationships ni lazima tujiunge na OIC?

..pia napenda kujua kama nchi za Kiafrika wanachama wa OIC kama Uganda,Mozambique, etc, zinatuzidi ktk kupokea investments na misaada toka nchi wanachama wa OIC na mashirika kama Saudi Fund, Kuwait Fund, etc.

..nakuunga mkono hapo uliposema " we need to play our cards right ". hilo ndilo tatizo letu kubwa ninaloliona, and if we dont fix that tunaweza kuingia huko OIC halafu tukakaribisha IPTL na DOWANS wengi zaidi.

Mkuu,

Bilateral relatioship na multilateral relationship are two different things. Tuna bilateral relationship with Kuwait, Saudi Arabia, UAE na Malaysia but zingatia kwamba our negotiation power as country inakuwa ndogo ukilinganisha na tukiwa katika jumuiya mfano Turkey Industrial growth imechangiwa zaidi na relaxation of EU members that led to a growth of foreign companies in the country that are looking for a cheap labour.

Our negotiation power grows when we are in a team na sio peke yetu. Umeniuliza kama Uganda Mozambique wanatuzidi kwa kupokea uwekezaji kushinda sisi . Figures za World Bank zinaonyesha sisi kama Tanzania the amount of Investments in our country $414, 544, 625 until 2010. Uganda has $603,749,197, Mozambique $881,229,333. Ukiangalia trend of investments in country Uganda and Mozambique have an upward rise of investments in the country. OIC has set up $10 bn fund for poverty alleviation for its members state.

We are the largest receiver of foreign aid in sub-saharan countries but most of the aid ended up in the pockets of political leaders, donors themselves mtu wa kawaida hazimfikii. Ndio maana maendeleo hakuna isipokuwa wachache wanakuwa matajiri na mabilionea (donor funds). Uwekezaji unanyanyua tabaka la kati ambalo linasaidia kunyanyua uchumi.
 
Mdondoaji!
Tukiweka hisia za kidini pembeni, nafikiri suala la OIC, kitaifa, tunatakiwa kulichukulia kiuchumi zaidi badala ya kidini.
Lakini cha kushangaza ni pale ambapo kujiunga na OIC kumechukuliwa kuwa ni swala la kidini, na ni kundi moja la dini fulani ndio linang'ang'ania. Nafikiri hapa ndipo tulipokosea. From the beginning, sababu za kiuchumi zingetiliwa mkazo zaidi badala ya za kidini, labda bunge na serikali wangekuwa wameisharidhia. Lakini sasa hivi wote tunaona, kwamba hii ni ajenda ya "waislam" badala ya kuwa ajenda ya Taifa.

Kwa upande mwingine, kwa uzoefu wangu wa kuwa karibu sana ndugu na rafiki waislam, sioni sababu ya "kutofanikiwa kujiunga na OIC" iwe kikwazo kwa maendeleo ya muislam yeyote. Uislam upo tu na utaendelea kuwepo whether or not kuna OIC. OIC inaweza kufa, uislam upo tu. Kwa hiyo, suala la OIC halitakiwi litugawe kama Watanzania. Nchi ni yetu wote wakati wa amani na hata wakati wa vurugu.

Madai ambayo nayaona ni ya msingi zaidi kwa waislam, ni suala la mahakama ya kadhi, kwa sababu kadhi courts zina husiana moja kwa moja na imani ya kiislam. Na hata hivyo, madai haya nayo si lazima sana kuyafanyia debate- kwa sababu katiba tayari inatambua kuwepo kwa wananchi wenye imani zao, na watu wanaruhusiwa kufanya mambo ambayo imani zao zinataka. Kwa maana nyingine ni kwamba, Waislam WAKIJIANZISHIA MAHAKAMA YA KADHI kimya kimya, hawatakuwa wamevunja katiba.
Sasa badala ya kupoteza muda kubishania kuwa Kadhi courts zitajwe kwenye katiba (ambacho sio rahisi kutokea) ingekuwa vizuri Waislam waanzishe na waziendeshe mahakama hizo. Mambo mengine inabidi kufanya taratibu, hatua kwa hatua na uvumilivu...
Miaka ya baadaye, si ajabu ikawa rahisi zaidi kuingiza kipengele hicho mnachotaka kutokana na kubadilika kwa nyakati pamoja na mazingira. Cha msingi tukubali kuwa , Katiba haijawakataza kuanzisha kadhi courts.

Nanren!

Tukiweka pembeni unazi wa dini zetu OIC haina umuhimu sana kulinganisha Mahakama ya kadhi. Hilo unalonyambulisha hapo juu kwa wekundu linakuwa gumu kwasababu Tanzania ni nchi inayofata sheria. Ukiniambia waislamu waanzishe mahakama ya kadhi kimya kimya inakuwa sio mahakama bali ni taasisi fulani ya waislamu hivyo basi INAKOSA NGUVU YA KISHERIA KUHUKUMU WATUHUMIWA WA MAKOSA MBALIMBALI KWA MUJIBU WA MIPAKA YA MAHAKAMA HUSIKA. Hili linapoteza mantiki ya kuwapo mahakama husika kwani kama ni taasisi tu heshima ya kuwapo mahakama inapotea.

Mie nachokipendekeza ni kuwapo na parallel judicial system kama kenya na Nigeria. Hili litasaidia kuipa mahakama ya kadhi nguvu ya kisheria. Mahakama ya kadhi haiwezi kuwa kama taasisi kwani ni sheria kama sheria zengine duniani. La msingi kuwe na mipaka ya mahakama ya kadhi mfano waingereza walivyofanya kipindi kabla Nyerere hajaifuta kimya kimya.

Ukisema sio rahisi kutokea ni kudharau waislamu kwani according to CIA facts we are 36% of the population. Wakristo ni 33% na dini nyenginezo ni 35%. Kenya waislamu are 10% of the population lakini wana mahakama ya kadhi.

Mahakama ya kadhi is a CONSTITUTIONAL RIGHT ya waislamu Tanzania mkuu. OIC is an organisation mkitaka kujiunga vema msipotaka wao wataendelea kuwepo it is up to us .
 
Nanren!

Tukiweka pembeni unazi wa dini zetu OIC haina umuhimu sana kulinganisha Mahakama ya kadhi. Hilo unalonyambulisha hapo juu kwa wekundu linakuwa gumu kwasababu Tanzania ni nchi inayofata sheria. Ukiniambia waislamu waanzishe mahakama ya kadhi kimya kimya inakuwa sio mahakama bali ni taasisi fulani ya waislamu hivyo basi INAKOSA NGUVU YA KISHERIA KUHUKUMU WATUHUMIWA WA MAKOSA MBALIMBALI KWA MUJIBU WA MIPAKA YA MAHAKAMA HUSIKA. Hili linapoteza mantiki ya kuwapo mahakama husika kwani kama ni taasisi tu heshima ya kuwapo mahakama inapotea.

Mie nachokipendekeza ni kuwapo na parallel judicial system kama kenya na Nigeria. Hili litasaidia kuipa mahakama ya kadhi nguvu ya kisheria. Mahakama ya kadhi haiwezi kuwa kama taasisi kwani ni sheria kama sheria zengine duniani. La msingi kuwe na mipaka ya mahakama ya kadhi mfano waingereza walivyofanya kipindi kabla Nyerere hajaifuta kimya kimya.

Ukisema sio rahisi kutokea ni kudharau waislamu kwani according to CIA facts we are 36% of the population. Wakristo ni 33% na dini nyenginezo ni 35%. Kenya waislamu are 10% of the population lakini wana mahakama ya kadhi.

Mahakama ya kadhi is a CONSTITUTIONAL RIGHT ya waislamu Tanzania mkuu. OIC is an organisation mkitaka kujiunga vema msipotaka wao wataendelea kuwepo it is up to us .
36% + 33% + 35% = 104% CIA MATHS. nafikiri hapa tunabidi tutumie hesabu za Set... hawa 4% ni wafuasi wa dini zote.
 
36% + 33% + 35% = 104% CIA MATHS. nafikiri hapa tunabidi tutumie hesabu za Set... hawa 4% ni wafuasi wa dini zote.

Reference hii hapo isiwe shida:-


[TABLE="align: left"]
[TR="class: afr_light"]
[TD]Religions:[/TD]
[TD="align: right"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]mainland - Christian 30%, Muslim 35%, indigenous beliefs 35%; Zanzibar - more than 99% Muslim[/TD]
[/TR]
[/TABLE]




Source: CIA
 
Reference hii hapo isiwe shida:-


[TABLE="align: left"]
[TR="class: afr_light"]
[TD]Religions:[/TD]
[TD="align: right"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]mainland - Christian 30%, Muslim 35%, indigenous beliefs 35%; Zanzibar - more than 99% Muslim[/TD]
[/TR]
[/TABLE]





Source: CIA
Ahsante kwa source ambayo siwezi kuiamini,ulitakiwe uitoe kwanza hiyo source then udadavue,umetoa figure tofauti na unazoonyesha kwenye SOURCE yako then unataka uaminiwe na data zako,hata kama mko 99% bado swala la kuabudi litabaki kuwa binafsi. Uhuru wa kuabudu ni pamoja na uanzishaji wa Mahakama ya kadhi kama ni sehemu ya ibada yenu,Mbona wakristo wanaanzisha vituo vya kulea yatima n.k bila kuomba viingizwe kwenye katiba ?
 
Ahsante kwa source ambayo siwezi kuiamini,ulitakiwe uitoe kwanza hiyo source then udadavue,umetoa figure tofauti na unazoonyesha kwenye SOURCE yako then unataka uaminiwe na data zako,hata kama mko 99% bado swala la kuabudi litabaki kuwa binafsi. Uhuru wa kuabudu ni pamoja na uanzishaji wa Mahakama ya kadhi kama ni sehemu ya ibada yenu,Mbona wakristo wanaanzisha vituo vya kulea yatima n.k bila kuomba viingizwe kwenye katiba ?
Acha uvivu soma thread zilizopita what you are saying is absolutely crap!!!
 
Mdondoaji ulikuwa unatiririka vizuri lakini ulipoweka hii coment hii hapa chini ndo nkajua akili imerudi kule kule kwenye nikao vya kahawa: eti

Ukisema sio rahisi kutokea ni kudharau waislamu kwani according to CIA facts we are 36% of the population. Wakristo ni 33% na dini nyenginezo ni 35%. Kenya waislamu are 10% of the population lakini wana mahakama ya kadhi.

Sasa wingi wenu una uhusiano gani na hoja ya kisheria? Kama mnataka kuanzisha BOKO HARAM hapa tanzania labda utakuwa una point. Katiba yetu kwenye jambo hili iko vizuri. Kwamba taasisi zote za dini hazitaingizwa kwenye mfumo wa serikali. Hii ni logic rahisi tunawaomba muikubali endeleeni na ibada yenu ila nachojua wengi mtakimbilia mahakama za kirahia maana kusema rahisi lakini kukubali kuifuata sheria yenyewe ni ngumu.
 
crome20, umetaja point yingi zenye weight kubwa lakini umesahau kwamba serikali kazi yao kubwa ni kuboresha maisha ya wananchi kwa kutunga na kurekebisha sheria kutokana na wakati, jamii ya waislam ni miongoni ya wananchi wa tanzania, sheria za nchi ziboreshe maisha ya kundihili pia, kwa maoni yangu majibu ya mahakama ya kadhi inafaa au haifai yatolewe na serikali ndio iliyoombwa na si kundi la wahuni ambalo halihusiki wala halitaitumia mahakama hiyo, ukipinga mahakama wakati wewe huusiki ni kusema una
 
we acha uongo kama mambo huyajui usijisemee tu na kupotosha watu. Iran haitaki kutengeneza silaha za nyuklia na wala haina mpango wa kufanya hivyo bali inataka kunufaika na teknolojia ya kisasa ya nishati ya nyuklia. Kuna rofauti baina ya silaha za nyuklia na nishati ya nyuklia.
 
waislamu wanataka mahakama yao iidhinishwe na bunge ili iweze kuhudumiwa na serikali kama kulipa mishahara ya watendaji kazi wake kama sivyo na ubalozi wa vatican uondoke kwani unaendeshwa kwa kodi zetu waislamu na wakristo si nchi haina dini
 
we acha uongo kama mambo huyajui usijisemee tu na kupotosha watu. Iran haitaki kutengeneza silaha za nyuklia na wala haina mpango wa kufanya hivyo bali inataka kunufaika na teknolojia ya kisasa ya nishati ya nyuklia. Kuna rofauti baina ya silaha za nyuklia na nishati ya nyuklia.
naona unataka unataka kujilazimisha kuwa msemaje wa serikali ya iran-cha ajbu unazungumza mambo usioyajua-kwa kukusaidia tafuta documentary inayoitwa countdown to 2010-sio kuzungumza mambo usioyajua hapa
 
waislamu wanataka mahakama yao iidhinishwe na bunge ili iweze kuhudumiwa na serikali kama kulipa mishahara ya watendaji kazi wake kama sivyo na ubalozi wa vatican uondoke kwani unaendeshwa kwa kodi zetu waislamu na wakristo si nchi haina dini
Tanzania inaendesha ubalozi wa VATICAN? Ujinga gani unaleta humu jamvini? au umesomea chuo kikuu cha Alshababu nini? Toka lini nchi ikaendesha ubalozi wa nchi nyingine? jamani uma amuma wa mashehe wako unashindwa kutumia hata akili yako? Serikali inasema haina dini, Je Serikali kuendesha taasisi ya dini ITASEMA HAINA DINI? mnapenda vya bure ndio maana mnakuwa walalamishi kwa mambo ya kijinga.
 
Back
Top Bottom