Jasho la Damu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 956
- 120
Hakika waislamu bado wanasafari ndefu sana ya kuerevuka.
Kwamba hapa unatuamini mkristo nae aende kwenye mahakama ya kadhi? too low to me,..........Ttatizo nililolibaini huko Tanganyika kwa wakristo ni CHOYO na CHUKI dhidi ya haki za waislam. Ikiwa pamoja na kujiona wao ni first citizen na waislam ni second citizen.
Sioni sababu yoyote ya msingi na khasa ukiangalia hata wenzenu Kenya wameanzisha hivyo na ukitazama Kenya ina zaidi ya 75% ukristo ukilinganisha na tanganyhika ambao mnakaribiana kiidadi.
Kama JMT ina nia ya kweli kuanzishwa kwa mahakama hizo basi ni wajibu wao kuzifanya Ruling zake ziwe binding katika sheria za nchi ili zisilete mgongano na mahakama za kawaida.
na lazima muelewe mahakama hizo zitakuwa huru kwa kila mwenye kutaka kutuzitumia katika kutafuta haki yake na zitakuwa kwa raia wote wa TZ wanaotaka.
Poleni sana
<br />Kwamba hapa unatuamini mkristo nae aende kwenye mahakama ya kadhi? too low to me,..........<br />
Nafikiri kuna haja ya kutoa upendeleo wa kielimu kwa waislamu, nadhani ndio njia pekee ya kuondowa fikra mgando kwenye jamii hii.<br />
Hivi naomba kuuliza tu, kutokuwepo kwa vyuo vikuu vingi vinavyomilikiwa na taasisi za kiislamu kunatokana na kutokuwa na mahakama ya kadhi?
Tatizo la Tanganyika ni vita baridi za Kidini. Wakristo wana kila mkakati wa kuhakikisha waislam hawaendelei na kuwa tegemezi dhidi yao.<br />
<br />
Hakika Choyo na Husda za Wakristo huko TNG zinaipeleka pabaya sana na matokeo na dalili zake sasa ndio zimeshajitokeza.
Poleni sana
<br /><span style="font-family: arial black">Nafikiri soma mzizi wa khoja yangu.<br />
<br />
Je waislam wakizianzisha. Je Serikali ya Muungano ipo tayari ruling zake ziwe binding na sheria za Muungano? kwani kama hawako tayari kuziweka kisheria mahakama hizo basi itakuwa ni useless na kupoteza muda kwa waislam kuanzisha chombo hicho ambacho kitakuwa hakina meno.<br />
<br />
Kenya zimebainishwa wazi katika sheria zao za nchi yao na zimewekewa mipaka yake. Vipi Tanganyika mpo tayari. Hilo ndio suala la waislam kwa Serikali ya JMT</span>
<br />Kinachobainishwa hapo ni kuingiza mfumo wa mahakama ya kadhi ndani ya mfumo wenu wa Mahakama ili kusilete mgongano wa maamuzi yake na mahakama za kawaidia kama walivyoweka hata wenzenu Kenya.<br />
<br />
Nitakupa mfano mdogo sana wa mabaraza ya ardhi ya kata na mahakama za mwanzo. haya hayaingiliani katika mamuzi sababu yamewekwa pale kisharia. Sasa kwanini unakwepa mahakama ya kadhi.<br />
<br />
Mimi naamini wazi watakao pata hudima kwenye mahakama hizi ni raia wa Tanzania kama walivyo raia wengine wa Tz na hivyo kupunguza msongamano wa kesi nyyingi sana za madai kama talaka na miradhi katika mahakama zenu.<br />
<br />
Suala langu hapa. Je Serikali ya JMTz ipo tayari kuwalipia wa TZ kama raia wake watakaoamua kutumia mahakama hizi kutafuta haki zao?<br />
<br />
Fungukeni kiakili na mjitoe katika mental slavery.
lol, haki hiyo inakuwa determined na mazuzu kama Ponda. Imekula kwenu.
Tatizo la Tanganyika ni vita baridi za Kidini. Wakristo wana kila mkakati wa kuhakikisha waislam hawaendelei na kuwa tegemezi dhidi yao.
Hakika Choyo na Husda za Wakristo huko TNG zinaipeleka pabaya sana na matokeo na dalili zake sasa ndio zimeshajitokeza.
Poleni sana
Nyie hamjajua nia ya mashekh. What they need is that jambo la mahakama ya kadhi itambulike kisheria na kikatiba ilikwamba government funding iwe justified!!! Muslims know for sure that they won't be able to fund KADHI COURTS using their own sources of money.
Ardhi ni ya serikali na bank ni taasisi zinazojitegemea. Tanzania ni nchi isiyo na dini(consult ur katiba). Alafu wewe kama umeshapata mwenza na kuwekwa ndani huko uarabuni na kubadili uraiya hupaswi kuchangia jambo ambalo halikuusu. Au Jihad ndo popote??Mbona imeanzishwa mahakama ya Ardhi na mahakama ya Biashara. Sasa kwanini isiwe hii ya kadhi?
Na mbona hata Mabenk yenu wameanzisha utaratibu wa Bank kufuata utaratibu wa kuhifadhi pesa wa Kiislam ( Islamic banking) na sasa zina wateja wengi sana na wanazidi siku hadi siku. Lazima Serikali yenu iwe flexible kukubali changes.
Jiulizeni watakao pata huduma hapo watakuwa sio wa TZ. Je Serikali itaweza lipia watu wake watakao peleka masuala yao pale na kuhudumiwa? Lazima mjua kila mtanzania ana haki sawa na hakuna first citizen na second citizen. Wote mpo daraja moja nawashangaa wanaopinga?
Kuna namna hapo.
Ardhi ni ya serikali na bank ni taasisi zinazojitegemea. Tanzania ni nchi isiyo na dini(consult ur katiba). Alafu wewe kama umeshapata mwenza na kuwekwa ndani huko uarabuni na kubadili uraiya hupaswi kuchangia jambo ambalo halikuusu. Au Jihad ndo popote??