Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,329
Uanzishwaji wa mahakama ya kadhi una uhalali wowote kua na usimamizi wa serikali wakati huo huo serikali haina dini? Mi sijaelewa hapa uhalali wake mwenye kujua zaidi afunguke basi nimuelewe vizuri
Mbona imeanzishwa mahakama ya Ardhi na mahakama ya Biashara. Sasa kwanini isiwe hii ya kadhi?
Na mbona hata Mabenk yenu wameanzisha utaratibu wa Bank kufuata utaratibu wa kuhifadhi pesa wa Kiislam ( Islamic banking) na sasa zina wateja wengi sana na wanazidi siku hadi siku. Lazima Serikali yenu iwe flexible kukubali changes.
Jiulizeni watakao pata huduma hapo watakuwa sio wa TZ. Je Serikali itaweza lipia watu wake watakao peleka masuala yao pale na kuhudumiwa? Lazima mjua kila mtanzania ana haki sawa na hakuna first citizen na second citizen. Wote mpo daraja moja nawashangaa wanaopinga?
Kuna namna hapo.