Augustine Moshi
JF-Expert Member
- Apr 22, 2006
- 2,556
- 1,394
Mkandara,
Kikwete did not run on introducing sharia law into Tanzania. Alificha sana msimamo wake.
Can a wrong become a right "because Kikwete espoused it while he was running"? Kwani ni lazima Wislamu wasimike mahakama yao serikalini? Kwanini wasianzishe tu bila kuifanya sehemu ya serikali?
Waislamu wanataka mahakama ya kadhi iwafunge wakosaji Keko? Wanataka mahakama hiyo itumie polisi wa serikali? Wanataka mahakimu wake walipwe na seriakali? Kwa nini wanataka kulazimisha asasi ya kidini iwe sehemu ya serikali?
Wanadini wapeleke mashitaka ya kidini kwenye mahakama za kidini bila kutumia serikali au kupitia serikalini.
Serikali ya Tanzania si ya dini na haina dini. Litakuwa kosa baya kama serikali italazimishwa, na Rais wake pamoja na mabwana ndio wachache, kuikubali mahakama ya kidini iwe mahakama ya kiserikali
Kikwete did not run on introducing sharia law into Tanzania. Alificha sana msimamo wake.
Can a wrong become a right "because Kikwete espoused it while he was running"? Kwani ni lazima Wislamu wasimike mahakama yao serikalini? Kwanini wasianzishe tu bila kuifanya sehemu ya serikali?
Waislamu wanataka mahakama ya kadhi iwafunge wakosaji Keko? Wanataka mahakama hiyo itumie polisi wa serikali? Wanataka mahakimu wake walipwe na seriakali? Kwa nini wanataka kulazimisha asasi ya kidini iwe sehemu ya serikali?
Wanadini wapeleke mashitaka ya kidini kwenye mahakama za kidini bila kutumia serikali au kupitia serikalini.
Serikali ya Tanzania si ya dini na haina dini. Litakuwa kosa baya kama serikali italazimishwa, na Rais wake pamoja na mabwana ndio wachache, kuikubali mahakama ya kidini iwe mahakama ya kiserikali