Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi



Maoni ya Wasomaji

Hakuna cha mahakama ya kadhi wala OIC hapa. Hayo ndiyo yanayoleta chokochoko za kidini nchini. ni bora Serikali isijiingize kabisa katika masuala hayo ya kidini. Iwaache waislamu wenyewe wajiunge kupitia Taasisi zao za kidini.

na OLE LOITOKTOK, Tanzania, - 12.03.09 @ 12:15 | #14467

Mimi nashangaa,BAKWATA wamekatazwa na nani kujiunga na OIC?Serikali iingie humo kutafuta nini?Wanalo jambo hawa!Mahakama ya Kadhi itakayo kuwa chini ya Mahakama Kuu ya Nchi kawakataza nani?Vipi Kadhi ateuliwe na Rais WA Nchi na asiteuliwa na MUFTI MKUU WA WAISLAMU?Tanzania ina Katiba Moja kwa watu wa madhehebu yote.Atakaye taka kuwa na mahakama yake basi iwe chini ya Jumuia yao ya kidini lakini Serikali ya Wote isihusishwe kabisa!TUNATAKA AMANI IDUMU HAPA NCHINI.Ya DINI yaachiwe Mungu,na ya SIASA yaachiwe Binadamu!

na masharubu, tandale,DSM., - 12.03.09 @ 12:39 | #14477

jamani mmeanza tena kwanini wasijiunge wao wenyewe, ona sasa mwinyi alipogusia kuhusu ushirikiano kati ya waislam na wakristo wameibuka watu kumzabaa vibao mzee wa watu, haya tutakapojiunga si ndo wataibuka watu wengine kama hao kinaa said kusumbua wakristo. hii inawezekana kwa jumuia ya kiislam kujiunga na si kwa taifa lote, try to understand this.

na mwanakisenza, dar, - 12.03.09 @ 12:43 | #14480

MUSLIMS are very strange animals,instead of contributing something constructive to the nation they are only thinking about very stupid things like joining OIC and KADHI court,they just don't like living in peace they are looking for the excuse to cause chaos,it's tough to live with MUSLIMS in the same country,they don't do anything but to find excuse to disturb peace,i have question for you MUSLIMS,if you get your wish and then what?personally i find it ridiculous to demand these things as if the constitutional framework we have it's for the other religion!may be OSAMA BIN LADEN will help us by recruiting these brainless drones to participate in suicide-bombing acts somewhere like in the middle east so that we can have non Muslims left in this country,now i see why AMERICANS don't like MUSLIMS it's because of this,they are the reason why we are in such a political and social disorders today!

na mike - 12.03.09 @ 14:17 | #14504

embarrassing the former president of this country because of his wise opinion on this very sensitive issue really shows the poverty of wisdom and intelligence our brothers MUSLIMS have,like i said weeks ago these guys can never participate in the intellectual debates on the scores of topics because they always raising issue with rational stuffs to back up,when you call them out on that they will resort to beating or insulting you,so sad,what happened to MUSLIMS?any MUSLIM who can justify this despicable behavior,if you come to the point of hitting your president with no shame at all why should we trust your quest for joining OIC as a sincere and honest thing?not!

na mike - 12.03.09 @ 14:28 | #14512

Hata mimi sikubaliani na mambo hayo mawili, yaani mahakama ya kadhi na kujiunga na OIC.

Lakini kuelezea hoja kama alivyofanya Mike hapo ndiyo kunaweza kuleta chuki na vita baina ya waislamu na wakristu. Hivi ndugu yangu utakosa nini kama utaeleza hoja zako bila kuwatukana watu?

Anayekosa hoja za msingi ndiyo kukimbilia ****** na kasfa.

Sasa namkumbuka marehemu Dr Omar Ali Juma. Alikuwa na kawaida ya kukutana na ma Sheikh na Maaskofu. Sina uhakika kama ni wote kwa pamoja au kila kundi kwa wakati wake. Safari hii angelihitaji kukaa nao pamoja au angalau kuwezesha hayo makundi mawili kukaa pamoja na kujadili suala hili. Baada ya hapo, nahisi tungepata ufumbuzi wa masuala haya.

Bado hatujachelewa. Mufti anaweza kukaa na Cardinal Pengo wakiwa na wasaidizi wao ili wabadilishane mawazo kuhusu haya. Najua kuna jumuiya nyingi za waislamu na wakristo. Niliowataja ni mfano tu lakini naamini twaweza kuanzia hapo.

na ngetes, Dar, - 12.03.09 @ 14:37 | #14521

Mike said Muslims are strange people and hard to live with are u suggesting to kill all of them? so that we have only christians in tanzania...shame on you! you get to respect other peoples believe and agree to disagree

na joel, tz, - 12.03.09 @ 15:13 | #14539

HIVI NYIE WAISLAMU MBONA MNAPENDA SANA SHARI? MAHAKAMA YA KADHI SISI WAKRISTO NA WAPAGANI INATUHUSU NINI MPAKA MUIINGIZE KWENYE KATIBA YETU YA NCHI? WABUNGE WETU ******** WA KIKRISTO NA WAPAGANI WAKAE KUJADILI MAMBO YA WAISLAMU PEKEE!! KAMA MNATAKA KADHI SI MUANZISHE KWENYE MISIKITI YENU? HALAFU MNADAI KADHI ATAKUWA AKIHUKUMU MAMBO YA NDOA NA MIRATHI. HIVI KWA MUJIBU WA KURAANI NI HAYO TU AMBAYO KADHI ANATAKIWA KUHUKUMU AU KUSIMAMIA? NA KUHUSU WEZI MACHAGUDOA JE? KADHI ANATAKIWA AFANYE NINI? KAMA KUWA NA KADHI NI IBADA KWA WAISLAM KWANINI IBADA HIYO IHARIRIWE AU IFANYWE NUSUNUSU? NA KUHUSU OIC HIVI INAINGIA AKILINI NCHI YENYE DINI TOFAUTI INGIZWE KWENYE UMOJA WA NCHI ZA KIISLAMU? ETI KWA FAIDA ZA KIUCHUMI, NCHI YETU SASA HIVI IPO KWENYE JUMUIA YA AFRIKA MASHARIKI, JUMUIA YA NCHI ZA COMMONWEALTH, JUMUIA YA NCHI ZISIZOFUNGAMANA NA UPANDE WOWOTE TUNAPATA FAIDA ZIPI? TAABU YA NYIE WAISLAMU MNAPENDA SANA MALUMBANO YASIYOLETA TIJA NA AMBAYO YANALETA UGOMVI. PIA UVIVU NDIO UNAOWASUMBUA SANA NYIE NDUGU ZETU. KWASABABU HATA UISLAMU WENYEWE ULIVOENEZWA KWA KUNYANG'ANYA MALI ZA WATU,INAONYESHA KWA ASLI MNAPENDA SANA DEZO.

na NDANUSU KAPINGA, masasi tanzania, - 12.03.09 @ 15:24 | #14541

HAPA SINA SANA LA KUJADILI MAANA MAHAKAMA YA KAZI HAINIHUSU MTAFUTENI RAFIKI YANGU CHINGA ACHANGIE!

na OLE LETIPIPI, TANZANIA, - 12.03.09 @ 16:15 | #14554

Those who slap old respected persons,can they have brains?
Wale wanaokaribisha wageni na baadae kuwachapa makofi,wana akili??

Walimkaribisha Bush wakampiga viatu,leo hapa wamemkaribisha Mzee wetu mpendwa ruksa,pamoja na kuwa ni mwenzao wamemchapa vibao----takbiiiirrr.
Oya acha waswagane,lakini OIC=OSAMA hapa Great no!!
Mahakama ya kadhi??!!!Anzieni kwa huyo tuone inavyofanya kazi-huyo mwenye majini maana ni ndugu yenu.

Cristians amani,amani,amani ameeen.

na lionel, usa, - 12.03.09 @ 17:18 | #14567

Tuiache Serikali ibakie serikali ya wote bila kubagua imani za kidini.Wakristo wakitaka kuwa na mahakama yao ya kristo basi "Kadhi"wao ateuliwe na Mkuu wa Maaskofu wa Tanzania au Papa Mtakatifu wa Roma.Lakini wasije wakatuambia eti huyo "Kadhi"wao ateuliwe na Rais wetu wa Jamhuri ya Tanzania.No,Hapana.Wakristo wakitaka kujiunga na jumuia yoyote ile ya kimataifa ya Kikristo basi wawe huru kufanya hivyo lakini wasithubutu kuishinikiza eti nchi nzima au serikali ya Tanzania iwe mwanachama wa jumuia hiyo ya kikristo!Vivyo hivyo kwa madhehebu mengine.Waislamu wakitaka kuwa na mahakama yao ya Kadhi,basi wawe huru kufanya hivyo LAKINI Kadhi wao ateuliwe na Mufti Mkuu wa Waislamu.Wasijaribu kuishinikiza serikali eti Kadhi huyo shurti ateuliwe na Rais wa Jamhuri.No,Hapana!Nani aliyemteua MUFTI MKUU WA WAISLAMU?Je,Mufti aliteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Tanzania?Kama sivo,iweje leo Kadhi alazimike kuteuliwa na Rais wa Nchi?Hapana,haitawezekana Tanzania.Labda kama tumechoka kuishi kwa amani hapa nchini.Tunajua nini kitakachotokea huko mbeleni.Nchi yetu haiendeshwi kwa "Sharia Law'.Hatuwezi kuwa na kifumo miwili tofauti ya kisheria sambamba kwa wakati mmoja hapa nchini!Waislamu wakitaka kujiunga na OIC,wawe huru kufanya hivyo,lakini wasishinikize nchi nzima au serikali ya Jamhuri ijiunge kuwa mwanachama wa OIC.No,Hapana.Tusije tukajaribu kuchanganya masuala ya imani za kidini na masuala ya uendeshaji wa serikali ya nchi!Hicho ndicho kilichotunusuru Watanzania hadi hii leo tumeweza kushikamana kama Taifa moja na kuishi kwa amani na upendo wa hali ya juu bila kubaguana kidini,kikabila,kwa rangi ya ngozi ya mwili,kwa ujinsia na kwa tofauti za Kipato!Tusikubali chokochoko hizi za kujaribu kuturejesha huko nyuma tulikotoka!Na tukisha paraganyika MAFISI WAITAFUNE VIZURI NCHI YETU NZURI!viva la muzik!

na habibu punja kandasar, Pangani,Tanzania, - 12.03.09 @ 17:32 | #14570

Mike inaonyesha vp akili finyu uliyo nayo. just because u know english doesn't mean u r smart...usitubbabishe na kizungu chako, kwanza hiyo ni inferiority complex...andika kiswahili jamii yote ielewe. kwanza hujui misingi ya uislamu inaoonyesha hujawahi kusihi na waislamu mpaka ukawaita wanyama.
kabla hujazungumza...elewa unachozungumzia

na imran - 12.03.09 @ 17:37 | #14572



 
Kama hata hiyo Kadhi haijapatikana washaanza kuwachapa watu vibao. Tena kwenye shere ya mungu wao mwamedi, je, kadhi wakipewa watu si watakatwa vichwa barabarani.

Kazi kweli kweli.
 


Maoni ya Wasomaji

Hakuna cha mahakama ya kadhi wala OIC hapa. Hayo ndiyo yanayoleta chokochoko za kidini nchini. ni bora Serikali isijiingize kabisa katika masuala hayo ya kidini. Iwaache waislamu wenyewe wajiunge kupitia Taasisi zao za kidini.

na OLE LOITOKTOK, Tanzania, - 12.03.09 @ 12:15 | #14467

Mimi nashangaa,BAKWATA wamekatazwa na nani kujiunga na OIC?Serikali iingie humo kutafuta nini?Wanalo jambo hawa!Mahakama ya Kadhi itakayo kuwa chini ya Mahakama Kuu ya Nchi kawakataza nani?Vipi Kadhi ateuliwe na Rais WA Nchi na asiteuliwa na MUFTI MKUU WA WAISLAMU?Tanzania ina Katiba Moja kwa watu wa madhehebu yote.Atakaye taka kuwa na mahakama yake basi iwe chini ya Jumuia yao ya kidini lakini Serikali ya Wote isihusishwe kabisa!TUNATAKA AMANI IDUMU HAPA NCHINI.Ya DINI yaachiwe Mungu,na ya SIASA yaachiwe Binadamu!

na masharubu, tandale,DSM., - 12.03.09 @ 12:39 | #14477

jamani mmeanza tena kwanini wasijiunge wao wenyewe, ona sasa mwinyi alipogusia kuhusu ushirikiano kati ya waislam na wakristo wameibuka watu kumzabaa vibao mzee wa watu, haya tutakapojiunga si ndo wataibuka watu wengine kama hao kinaa said kusumbua wakristo. hii inawezekana kwa jumuia ya kiislam kujiunga na si kwa taifa lote, try to understand this.

na mwanakisenza, dar, - 12.03.09 @ 12:43 | #14480

MUSLIMS are very strange animals,instead of contributing something constructive to the nation they are only thinking about very stupid things like joining OIC and KADHI court,they just don't like living in peace they are looking for the excuse to cause chaos,it's tough to live with MUSLIMS in the same country,they don't do anything but to find excuse to disturb peace,i have question for you MUSLIMS,if you get your wish and then what?personally i find it ridiculous to demand these things as if the constitutional framework we have it's for the other religion!may be OSAMA BIN LADEN will help us by recruiting these brainless drones to participate in suicide-bombing acts somewhere like in the middle east so that we can have non Muslims left in this country,now i see why AMERICANS don't like MUSLIMS it's because of this,they are the reason why we are in such a political and social disorders today!

na mike - 12.03.09 @ 14:17 | #14504

embarrassing the former president of this country because of his wise opinion on this very sensitive issue really shows the poverty of wisdom and intelligence our brothers MUSLIMS have,like i said weeks ago these guys can never participate in the intellectual debates on the scores of topics because they always raising issue with rational stuffs to back up,when you call them out on that they will resort to beating or insulting you,so sad,what happened to MUSLIMS?any MUSLIM who can justify this despicable behavior,if you come to the point of hitting your president with no shame at all why should we trust your quest for joining OIC as a sincere and honest thing?not!

na mike - 12.03.09 @ 14:28 | #14512

Hata mimi sikubaliani na mambo hayo mawili, yaani mahakama ya kadhi na kujiunga na OIC.

Lakini kuelezea hoja kama alivyofanya Mike hapo ndiyo kunaweza kuleta chuki na vita baina ya waislamu na wakristu. Hivi ndugu yangu utakosa nini kama utaeleza hoja zako bila kuwatukana watu?

Anayekosa hoja za msingi ndiyo kukimbilia ****** na kasfa.

Sasa namkumbuka marehemu Dr Omar Ali Juma. Alikuwa na kawaida ya kukutana na ma Sheikh na Maaskofu. Sina uhakika kama ni wote kwa pamoja au kila kundi kwa wakati wake. Safari hii angelihitaji kukaa nao pamoja au angalau kuwezesha hayo makundi mawili kukaa pamoja na kujadili suala hili. Baada ya hapo, nahisi tungepata ufumbuzi wa masuala haya.

Bado hatujachelewa. Mufti anaweza kukaa na Cardinal Pengo wakiwa na wasaidizi wao ili wabadilishane mawazo kuhusu haya. Najua kuna jumuiya nyingi za waislamu na wakristo. Niliowataja ni mfano tu lakini naamini twaweza kuanzia hapo.

na ngetes, Dar, - 12.03.09 @ 14:37 | #14521

Mike said Muslims are strange people and hard to live with are u suggesting to kill all of them? so that we have only christians in tanzania...shame on you! you get to respect other peoples believe and agree to disagree

na joel, tz, - 12.03.09 @ 15:13 | #14539

HIVI NYIE WAISLAMU MBONA MNAPENDA SANA SHARI? MAHAKAMA YA KADHI SISI WAKRISTO NA WAPAGANI INATUHUSU NINI MPAKA MUIINGIZE KWENYE KATIBA YETU YA NCHI? WABUNGE WETU ******** WA KIKRISTO NA WAPAGANI WAKAE KUJADILI MAMBO YA WAISLAMU PEKEE!! KAMA MNATAKA KADHI SI MUANZISHE KWENYE MISIKITI YENU? HALAFU MNADAI KADHI ATAKUWA AKIHUKUMU MAMBO YA NDOA NA MIRATHI. HIVI KWA MUJIBU WA KURAANI NI HAYO TU AMBAYO KADHI ANATAKIWA KUHUKUMU AU KUSIMAMIA? NA KUHUSU WEZI MACHAGUDOA JE? KADHI ANATAKIWA AFANYE NINI? KAMA KUWA NA KADHI NI IBADA KWA WAISLAM KWANINI IBADA HIYO IHARIRIWE AU IFANYWE NUSUNUSU? NA KUHUSU OIC HIVI INAINGIA AKILINI NCHI YENYE DINI TOFAUTI INGIZWE KWENYE UMOJA WA NCHI ZA KIISLAMU? ETI KWA FAIDA ZA KIUCHUMI, NCHI YETU SASA HIVI IPO KWENYE JUMUIA YA AFRIKA MASHARIKI, JUMUIA YA NCHI ZA COMMONWEALTH, JUMUIA YA NCHI ZISIZOFUNGAMANA NA UPANDE WOWOTE TUNAPATA FAIDA ZIPI? TAABU YA NYIE WAISLAMU MNAPENDA SANA MALUMBANO YASIYOLETA TIJA NA AMBAYO YANALETA UGOMVI. PIA UVIVU NDIO UNAOWASUMBUA SANA NYIE NDUGU ZETU. KWASABABU HATA UISLAMU WENYEWE ULIVOENEZWA KWA KUNYANG'ANYA MALI ZA WATU,INAONYESHA KWA ASLI MNAPENDA SANA DEZO.

na NDANUSU KAPINGA, masasi tanzania, - 12.03.09 @ 15:24 | #14541

HAPA SINA SANA LA KUJADILI MAANA MAHAKAMA YA KAZI HAINIHUSU MTAFUTENI RAFIKI YANGU CHINGA ACHANGIE!

na OLE LETIPIPI, TANZANIA, - 12.03.09 @ 16:15 | #14554

Those who slap old respected persons,can they have brains?
Wale wanaokaribisha wageni na baadae kuwachapa makofi,wana akili??

Walimkaribisha Bush wakampiga viatu,leo hapa wamemkaribisha Mzee wetu mpendwa ruksa,pamoja na kuwa ni mwenzao wamemchapa vibao----takbiiiirrr.
Oya acha waswagane,lakini OIC=OSAMA hapa Great no!!
Mahakama ya kadhi??!!!Anzieni kwa huyo tuone inavyofanya kazi-huyo mwenye majini maana ni ndugu yenu.

Cristians amani,amani,amani ameeen.

na lionel, usa, - 12.03.09 @ 17:18 | #14567

Tuiache Serikali ibakie serikali ya wote bila kubagua imani za kidini.Wakristo wakitaka kuwa na mahakama yao ya kristo basi "Kadhi"wao ateuliwe na Mkuu wa Maaskofu wa Tanzania au Papa Mtakatifu wa Roma.Lakini wasije wakatuambia eti huyo "Kadhi"wao ateuliwe na Rais wetu wa Jamhuri ya Tanzania.No,Hapana.Wakristo wakitaka kujiunga na jumuia yoyote ile ya kimataifa ya Kikristo basi wawe huru kufanya hivyo lakini wasithubutu kuishinikiza eti nchi nzima au serikali ya Tanzania iwe mwanachama wa jumuia hiyo ya kikristo!Vivyo hivyo kwa madhehebu mengine.Waislamu wakitaka kuwa na mahakama yao ya Kadhi,basi wawe huru kufanya hivyo LAKINI Kadhi wao ateuliwe na Mufti Mkuu wa Waislamu.Wasijaribu kuishinikiza serikali eti Kadhi huyo shurti ateuliwe na Rais wa Jamhuri.No,Hapana!Nani aliyemteua MUFTI MKUU WA WAISLAMU?Je,Mufti aliteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Tanzania?Kama sivo,iweje leo Kadhi alazimike kuteuliwa na Rais wa Nchi?Hapana,haitawezekana Tanzania.Labda kama tumechoka kuishi kwa amani hapa nchini.Tunajua nini kitakachotokea huko mbeleni.Nchi yetu haiendeshwi kwa "Sharia Law'.Hatuwezi kuwa na kifumo miwili tofauti ya kisheria sambamba kwa wakati mmoja hapa nchini!Waislamu wakitaka kujiunga na OIC,wawe huru kufanya hivyo,lakini wasishinikize nchi nzima au serikali ya Jamhuri ijiunge kuwa mwanachama wa OIC.No,Hapana.Tusije tukajaribu kuchanganya masuala ya imani za kidini na masuala ya uendeshaji wa serikali ya nchi!Hicho ndicho kilichotunusuru Watanzania hadi hii leo tumeweza kushikamana kama Taifa moja na kuishi kwa amani na upendo wa hali ya juu bila kubaguana kidini,kikabila,kwa rangi ya ngozi ya mwili,kwa ujinsia na kwa tofauti za Kipato!Tusikubali chokochoko hizi za kujaribu kuturejesha huko nyuma tulikotoka!Na tukisha paraganyika MAFISI WAITAFUNE VIZURI NCHI YETU NZURI!viva la muzik!

na habibu punja kandasar, Pangani,Tanzania, - 12.03.09 @ 17:32 | #14570

Mike inaonyesha vp akili finyu uliyo nayo. just because u know english doesn't mean u r smart...usitubbabishe na kizungu chako, kwanza hiyo ni inferiority complex...andika kiswahili jamii yote ielewe. kwanza hujui misingi ya uislamu inaoonyesha hujawahi kusihi na waislamu mpaka ukawaita wanyama.
kabla hujazungumza...elewa unachozungumzia

na imran - 12.03.09 @ 17:37 | #14572




Nadhani maoni haya yanatosha kabisa kwa mwenye akili nzuri kubadili approach
 
Mike massage yako haiko sahihi coz people like you ndio mnaosababisha hayo matatizo,inaelekea una chuki na uislamu ndio maana umeandika rubbish words,kwa kukusaidia mahakama ya kadhi ni sehemu ya maelezo ya kwenye kitabu kitakatifu cha qur aan,kama ilivyo bible na wakristo wanafuata miongozo kutoka kwenye biblia pia na waislamu nao wanafuata miongozo kutoka kwenye qur aan kwahiyo ni sehemu ya ibada yao.na mambo yatakayo kuwa yanaamuliwa kwenye mahakama ya kadhi yanawahusu waislamu wenyewe si kuhusu criminal cases,hizo zitaendelea kuamuliwa na public courts,na kuhusu OIC hyo si lazima ni ombi sababu OIC haipo kwenye qur aan ila ni ombi ambalo serikali inaweza kulikubali au kulikataa.kwahiyo waislamu si waenda wazimu kama unavyofikiri ni binadamu wenye akili timamu lakini si kama wewe sababu unaonekana ni mtu mwenye chuki.Next time tumia busara kujibu hoja si kuwa na jazba na dharau kama ulivyoonyesha.
 
Claus barbie Mohamed si mungu bali ni mjumbe/mtume aliyetumwa na mwenyezi mungu kwa ajili ya kueneza dini,mungu ni mmoja ambaye hajazaa wala kuzaliwa na wala hakuna afananaye so have some respects on that.
 
Nadhani maoni haya yanatosha kabisa kwa mwenye akili nzuri kubadili approach

Hivyo wewe binafsi unaweza ukayaona haya maoni ya maana? Je unaungana na Waislamu kuitwa wanyama?.
Ikiwa mtu na akili yako kwenda kutuokotea vitu visivyostahiki kwenye ukumbi wetu nachelea nawe huna budi kurudi kwenye watu hao hapa si nafasi yako. Hapa tunapingana kwa hoja na sio kutusiana kama huu upuuzi uliotuletea. Inafaa uiheshimu hii FORUM.
 
Mahakama ya Kadhi Constructional Amendment in Sukumaland

Let us have freedom of worship. Let people be allowed to set up structures which enable them to manage their worship effectively and within the law of the country.

Let us not set up micro governments to govern peoples of a certain worship group according to laws based on their religious beliefs. If we do we will have a very complex federal government whose ideal structure would be that every definable society should have their own geographic area which can be governed according to laws and rules based on their faith.

Let's take a sample, Sukumas. This consists of two principal groups. Un adulterated Sukumas, that is those who are pure Sukumas, no education, no new religion such as Islam, Christianity, Buddhism, etc. Of course they believe in god that is why they called him "Mulungu". They believe in witchcraftry, which the Christians also do, but they differ in how to deal with it. The un adulterated Sukumas believe in instant justice; killing the red eyed old women witches. The adulterated Sukumas who are Sukumas converted to Christianity have a way of dealing with witch-craftry, they call it spiritual warfare, they have spiritual weapons which can deal with any power of witchcraftry. They use the name of Jesus and they send the evil spirit running ultra Olympic style. In Christian terminology they have authority over all evil powers and nothing is supposed to harm them.

For each of these two principal groups to live peacefully each administering their laws, rules and regulations according to their faiths, Sukumaland would have to be divided into two areas one for Sukumapure, and Sukumachrist.

But hardly each group would have moved into their area would they realise a problem; in these two areas there would be, alas, though not so many, some Moslems and some Buddhists. So some areas would have to be created for these and any other similar groups to be settled into.

But there would be further complications. Firstly the Sukumapure would realise that they themselves have different denominations also; the bagika, bagalu, bazwilili, bachweji, etc. Each would have to live in their own sub district to be able to administer their laws effectively.

Suckumachrist would face a similar problem. Groupings would differ in doctrine and they would like not only to worship differently but also govern themselves accordingly.

So there would be the SDA area where meat of animals whose hooves are not split and fish without scales would not touch the markets. Also cars, cookers, fridges, air conditioners, trains, aircrafts, heart pacemakers etc would be programmed not work on Sabbath (known as Saturday in Tanzania). All hospitals would be closed because healing is not supposed to be done on Sabbath.

Then in Sukumachrist you would have the Protestants. Many of them are not supposed to drink, smoke, use snuff, etc. Priests have to be married as a rule.

The job of creating the districts and tarafas and katas and vijijis is really complicated in this new constitution. In Protestantsshire you would have the mainliners, i.e. the Moravians, Anglicans, Methodists, Lutherans. Actually although these could co exist in an area called CCT it would be better that each would be in their own sub district .

Then you would have the Charismatics, groupings in this areas have very subtle differences, amazingly these may not need only distinct areas; each area may have to be fenced.

Time up to describe Protestansshire. Then there would also be the Catholicshire. This is an area where priests are not allowed to marry but can mingle with women at will. Liquor can be absorbed in any quantities provide it does not show. Please confirm the following with the nearest Paroko otherwise treat it as hear say: if you are rich and are not living right to the mark and die and get consigned to pulgatory, some district in hell, your relatives can incur the cost of a mass in which you can be prayed out of hell. In Charismaticshire you would qualify persona non grataship if you were caught praying for salvation of the dead.

Tired of Sukumapure and Sukumachrist? Sample the Sukumaslamic. Here you would find quite some diversity of laws. Start with the really marketable ones. You can marry a reasonable number of wives. Difficult part about this is you would be required to treat them impartially. Consolation though is that partiality is not punishable here on earth. Something also pleasant in the marriage set of laws is that you can divorce any time provided you have pen and paper at your disposal.

Now the more serious laws of the Sukumaslamic. An eye for an eye, a tooth for a tooth. Difficult to imagine the sub section of the law which prescribes appropriate punishment for the lady who tempers with a man's generator; Kadhi wouldn't be the job for me.

If you consulted chronicles or Hon retired president Mwinyi on Moslems in Bukoba, I suspect he would strongly advise that even Sukumaslamic should be divided into at least two sub areas.

A very interesting subject under the sun is marketing. I have evidence it is like electricity, it can be switched on and off. You cannot understand until you visit the tiny districts of Buddhashire and Hindushire in restructured Sukumaland. The people here are serious business men. They can market anything and they can enter into any business and succeed. If the restructured Sukumaland will allow intershire trade Buddhashire and Hindushire will be manufacturing and supplying most of these areas. But I doubt if the laws will permit. Even high marketing skills may not succeed under this regime. This will not be the first time though when marketing skills could not be exploited in existing Sukumaland by these groups. They have been so poor at marketing their religion to anybody to the extent that people have come to believe that in this sector marketing has been banned or switched off like electricity.

Because other people are not evangelised into these sects and therefore cannot report openly proceedings of these societies, people have come up with all sorts of unbelievable stories which one can only print to demonstrate how unbelievable they are. You cannot believe this can you? That a girl from these communities gets deported from under the sun should she conceive foreignly. I am not a lawyer by the way, but the approximate absolute absence of mixed marriages with these sects in current Sukumaland is not legal evidence of anything, I should caution!

By the way, if you are close to President Karume, I advise you chat with him. One of his regrets may be that his Oldman was made to leave too early, otherwise President Karume may perhaps by now have in his family a mixed marriage.

Under these circumstances if Sukumaland will remain a unit it will have to have an overall federal government so that all these districts are governed together as a unit.

Of course there may be a grouping which will be happy to adopt federal laws only. Such a group will have also to be allocated a district too.

This is far from the whole treatise on the issue, but considering it is the small hours of the morning and I need to turn in I should stop by observing as follows:

In the olden times there was the Sukumaland Federation which consisted of nine chiefdoms. Its seat was initially at Usagara some 18 km from Mwanza on the way to Shinyanga. Later this was shifted to Malya. I believe the current District Council there is housed in the old federation premises. It was headed by a Paramount Chief, the last Paramount Chief being Majebele. This Federation was not without problems. Will federating the above areas under the restructured Sukumaland pursuant to Mahakama ya Kadhi Constructional Amendment which will give equal rights to every society to govern themselves according to laws based on their religious beliefs be easy
 
jk aende kisha awaeleze idadi ya watanzania wakatoliki ambao wamekufa kwa sababu ya msimamo wa vatican kuwaambia wafuasi wao wasitumie condom hilo la mapadre walawiti awaahie hao waamerika watadela na vatican

mwinyi amesema tumieni condom mtu anampiga kibao mimi sikujua kuwa waislam wanakatazwa kutumia condom
 
Nadhani maoni haya yanatosha kabisa kwa mwenye akili nzuri kubadili approach
Hapana, hizi ndo akili za kisisiemusiemu kuwa "zidumu fikra za mw'kiti" japo upuuzi, itakuwaje maoni ya watu wawili wa tatu tu yatoshe kubadili mtazamo wa maelfu ya watz ndani na nje yake wanafuatilia JF? kwani hao walioibua hoja ya mahakama ya kadhi ni waislamu? si ushambenga wa sisi emu wenyewe wameiweka katika ilani yao ya uchaguzi na kuinadi pamoja na mgombea wao? na wengi wakashawishika kuwachagua mafisadi hawa kwa kuwa waliwaahidi kuwa watawapatia chombo cha kuamua mambo yao ya kiimani wakiwapa kura zao! leo waislamu wakikumbusha utekelezaji wa ilani hiyo inakuwa nongwa, kwanini nyinyi ndugu zetu msiwaambie sisi emu tokea siku zile kuwa "kuingiza mahakama ya kadhi katika ilani ya uchaguzi ni wrong approach ya kuombea kula?" wache liwaandame bwana na kama wasipo ileta hiyo mahakama ya kadhi kura za waislamu 2010 zitabak hadith..........
 
halaf Mike kingereza chako kina matatizo ya sarufi na sentensi zako haziko sawa sawa, nina mashaka sana kama ulihudhuria vyema vipindi vya kiingereza darasani
 
This matter is simpler than it is made out to be. Waislamu waanzishe tribunal zao, ambazo zinaweza kuwa integrated into the legal system na ziwe voluntary. Obviously they will deal with Civil issues such as probate, marriage and family which after all is the bulk of Sharia juris. I think it will however require an Act of Parliament to solidify this system and formally integrate it into legal system and for the purposes of shutting people up. Another important thing that must be understood by skeptics here is that this new jurisdiction will be voluntary and for Muslims (I am a muslim but would never submit to such a tribunal) simply because I am also a lawyer and know the pros and cons of Sharia jurisprudence[iffy sources].. albeit I am obliged to accept its core principles as required by my system of faith and to which my morality attests.

And the Act should not even mention any particular faith but rather just make provision for the existence of faith tribunals for any faith that is 5 or more% of the population.
Then the Hindus can breed to the point that they attain that percentage then start their own court. Perhaps distasteful a joke, but it serves its purpose in demonstrating that every faith, be it Catholic, Protestant etc as long as it's more than 5% of the population, it can have its own court.

This would ensure 'the waislamu' as they are grouped to have what they are whining about and to ensure that everyone else has the chance to do the same, should they so wish.

On the issue of the OIC, its contrary to the secular constitution that we have. But at the same time, it seems the literate amongst us are not that contempt with it anyway. But as it suits them to quote from it in faivour of their arguments, its well and good. I guess its comforting to know that the hypocrisy of our politicians is reflected from the society that put them in power. And who says democracy is not representative!? haha

Notwithstanding that, the OIC is a specifically Muslim community of nations and Tanzania is not an Islamic nation nor does it make sense for it to be one. The reason is believe it or not, Islam would consider 35% of the epeople that part-take in traditional beliefs as Heratics, infidels and somehow inferior to its core ideology. Probably just what Catholicism would consider, let me think, everything else if Tanzania was a Catholic country. My point being, it makes no sense whatsoever to disregard the 35% indeginous believers plus the 30% Christian aggregate which makes 65% against 35% muslims.

The collective majority is non-muslims and thus making it impractical for all purposes to join an essentially Islamic organization with no other intention that the propagation of Islamic ideas and the eventual re-establishment of the caliphate.

One person recently asked me, what would happen at a time when we have a non-muslim Head of State and there is a summit. Will he go? And will the OIC be interested in having an 'infidel' or let me say 'Kafir' kabisa because I think its such a funny word, at their table? It is impractical for us and them as well. As a matter of fact, if they were not such an expansionist community (OIC members i.e) they would see more sense in denying us membership.

Nonetheless my objective approach obliges me to consider another angle. Zanzibar could be granted membership (of course it would require perhaps Parliament again to enact a law that would declare this) since they are a semi-autonomous government, the constitution could be amended to enable them to join [with no voting rights, or perhaps with voting rights] so long as it does not affect the United Republic's overall interests. However there will be a problem with union and non-union matters as international relations is in the former category.

All that trouble weighed against the virtually limited benefits of joining the OIC, I find that it is an irrelevant move and discussion altogether, here, on the streets, even in Parliament. We should close it and deal with the mountain of problems that we have. Thid matter is disgustingly trivial compared to the problems that we face as a nation.

I think Islam, Christianity and all the rest of the faiths that we have in Tanzania are by and large unrelated beyond a certain minimal level to the development of the nation as a whole, at least not beyond their importance to our social and spiritual life on a personal and perhaps family level.

In inference I am convinced that the Sharia courts could be established as independent tribunals, perhaps without state funding so that other faiths are do not have to bare the burden of paying for them. Lakini at the same time, provisions should be made to ensure that other faiths have the opportunity to establish their own civil courts.

The joining of the OIC is unconstitutional in a major way and would serve no purpose to be honest, therefore I hold that we should refrain from it.

Lastly, it has come to my mind that the great legal uncertainty that will be created by adding another legal system to the already strange amalgam would destabilize our country's systems and reduce overall clarity of matters. Based on that I still hold that Kadhi could be done in a non-conflict arising way but I am not sure what should be done as it is after all up to the majority. That is my official position on this matter.
 
Bikra, hili la kujiunga na OIC limeshajadiliwa sana hapa. Binafsi, napata ugumu kuona hoja mpya kwenye hiyo makala.
 
Bikra, kwani hatuwezi kusonga mbele bila misaada/mikopo? Mbona tangiu 1960s tunakopa tu na kila siku hali inakuwa heri ya jana? Sual la OIC limezungumziwa sana hapa JF hebu jaribu ku-search utapata maoni na majibu yaliyoutolewa na ongeza maoni yako huko.
 
Mzee Mwanakijiji,
Mkuu una hakika?...
Mkuu wangu hivi nikuulize wewe unayeishi nje..
Obama aliwaahidi Wamarekani kuleta mahusiano mazuri kati ya Marekani na nchi za Kiislaam na wakampa kura, Je, anapofanya hivyo ni makosa?...
Iweje leo Kikwete ambaye katika ahadi zake (kabla ya Uchaguzi) zilikuwa ni pamoja na haya, nyie wenyewe mkamchagua tena kwa aslimia 80... Leo atake kutimiza ahadi zake mnaanza kusema anatumia Udini..
Hivi alipotangaza haya hamkusikia?.. kwa nini Wakristu wasimpigie kura kwa sababu hiyo tu..Mbowe was against, Mrema was against,Cheyo was against - sasa ilikuwaje mkamchagua Kikwete ambaye atawaletea msiyoyataka!

Kwa nini msifanye midahalo kupinga mapendekezo hayo kabla, badala yake mkayapa nguvu ya utume leo mtume wenu afanye mnaanza habari zingine... Kusema kweli nashindwa sana kuwaelewa nyie ndugu zangu..
 
Back
Top Bottom