Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Sasa mimi nitasema nini ? Maana tulisikia maneno meengi hapa mara Muungwana anatisha nk ndiyo maana walivaa magwanda ya hamas na Hezbollah , mara CCM ina chapa kazi , Mara kitengo cha CCM kimefunguliwa na CCM kusemwa kuwa ndiyo jibu pekee .Leo nitasema nini ? Poleni sana watoto wa wadanganyika .
Yaani Tanzania kila kitu cha maendeleo lazima kuna maamuzi ya ki CCM .Nasema Serikali inaweza kulipa 100% na kwa kuwa ni mkopo ni sawa mbona Malima katumia 100m mwenyewe ? Mbona ikulu imetumia kibao kwa kuzunguka kwa jina la kujitambulisha na kuomba omba ?
Yaani Tanzania kila kitu cha maendeleo lazima kuna maamuzi ya ki CCM .Nasema Serikali inaweza kulipa 100% na kwa kuwa ni mkopo ni sawa mbona Malima katumia 100m mwenyewe ? Mbona ikulu imetumia kibao kwa kuzunguka kwa jina la kujitambulisha na kuomba omba ?