Kitila Mkumbo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2006
- 3,353
- 1,935
Kama kawaida ya serikali ya CCM-kutoa majibu rahisi kwa maswail magumu, dakika chache zilizopita, vijana wetu wa mlimani wameambiwa wafungaishe vilivyo vyao warudi nyumbani.
Haya Kikwete huyu aliyeahidi kuwa yeye asingefunga vyuo vikuu kwa sababu ya migomo imekuwaje tena?!
Haya Kikwete huyu aliyeahidi kuwa yeye asingefunga vyuo vikuu kwa sababu ya migomo imekuwaje tena?!