Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,126
- 4,168
Maeneo ya Kirumba, Ilemela, Igogo na sehemu za Igoma uhalifu ulikuwa mwingi kiasi cha wananchi kuchukua sheria mkononi na kuanza kuua vibaka kwenye ofisi za serikali. Hii ni sababu Jumanne Muliro huwa hana mikakati ya kudhibiti uharifu kwa kutumia jamii zaidi ya nguvu za kipolisi ambazo hazina matunda dunia ya leo.
Askari kama huyu astaafiswe na kuwekwa kando jeshi la polisi la leo linatakiwa na Rpc anayejitambua kama Wankyo Nyigesa na kutumia jamii kukabili uharifu.
Muliro acha kutumia nguvu dunia hii ya leo.
Askari kama huyu astaafiswe na kuwekwa kando jeshi la polisi la leo linatakiwa na Rpc anayejitambua kama Wankyo Nyigesa na kutumia jamii kukabili uharifu.
Muliro acha kutumia nguvu dunia hii ya leo.