Juma Nature ni Genius: Fahamu kwanini Juma Nature hujibu maswali tofauti na alivyoulizwa na Sababu za kiroho kwanini Juma Nature alianzisha TMK

Badae ulete na ya chidy benzi 🤓🤓🤓🤓🤓
 
Mtu anajibu tofauti na ulivyomuuliza Sasa unaendelea Nini kumuuliza maswali?

Hapo Sasa atakayekuwa mjinga Ni yule anayeuliza maswali Wala sio anayejibu.
 
Genius. Hatakagi usnitch
Nimesoma sijaelewa

MTANGAZAJI: Juma Nature juzi tulisikia umesema umegoma kufanya show wasafi kwa laki tano kwa sababu wasafi wamedharau brand yako kwa kukulipa malipo ya kukufedhehesha. Je unadhani Diamond hathamini wasanii wakongwe?

NATURE: Tunachoma mahindi kwa tochi tunapiga mapokopoko manjari na wanangu Doro Kr yani hapa wanao miss ni MWANANGU Chege na Temba.
 
Ni majibu ya Juma Nature hayo kupotezea maswali ya kiwaki
 
Kuyumba kwa dishi si akili nyingi.
Huyu hayuko sawasawa. Afya ya akili haiko sawa. Huenda chanzo kikawa kale moshi keupe
 
Mimi Chidy Benz namkubali mpaka kesho, Kuanzia muziki verse zake za Mahaba ya kibabe anaposhirikishwa na mwanabongo fleva mfano kiba,momd,spark.
Na hata anavowatreat mafala mtaani anawamaliza kibingwa sana.

Eg. Ushauri wa Chidy kwa wasanii Mabishow👇🤣

"Wapate Mademu"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…