Gurty Yuda
Member
- Dec 4, 2012
- 71
- 12
Safi sana form felias,na kelele za propaganda.Wew unategemea atashauri nin watoto kufeli hv wakt yey ni miongoni mwa waliofeli?
Aaah, mkuu umenishtua kweli!, Unamaanisha BAN?, mi nikajua selo ya ukweli kama ponda.Nafikili katika ile thread ya Juliana Shonza
Aaah, mkuu umenishtua kweli!, Unamaanisha BAN?, mi nikajua selo ya ukweli kama ponda.
Teh, teh,teh acha mzaha bwana nimeshtuka kweli mkuu.ah ah..! ni Ban, ila akijichanganya leo ataenda selo ya kweli nilimuona kisutu
Hana lolote huyu.Nani alikuwa na nguvu kama Walid Kaborou?
Jamani, huyu Shonza ni mtu wa kumdharau na kuachana nae. Hawa magamba wamebuni hiki kitengo kisicho rasmi kwa ajili ya kuleta propaganda ili watu waanze ku-discuss mambo ambayo hayana tija kwa taifa na kuacha issues za maana.
Kama hamjagundua kuna Shonza, TandaleOne, Zemarcopolo na wapuuzi wengine wachache wameanzisha ka-mtindo ka-kuanzisha maada za kipuuzi kuhusu viongozi wa CDM hususan kuhusu Elimu zao ili watu tuhamie huko na kuacha kufatilia issues za maana kama shida ya maji, Gesi etc.Na bahati mbaya ndugu zangu mmekuwa mstari wa mbele kumjibu huyu mpumbavu......ni kajitu kakukadharau tu.....who is Juliana shonza to distrurb CDM????
Huyu binti kwa sasa anatapata tu, ni kama hajui alifanyalo..... na kwa taharifa tu, huu upuuzi wote anaoanzisha una baraka za Nape na Mwigulu............please let's stop to respond on whatever nonsense she posts.....kwa sababu tunajua elimu, mwamko na utendaji kazi wa viongozi wa CHADEMA, na hata yeye anajua, sasa ya nini kubishana na haka ka-ajuza???
Jamani, huyu Shonza ni mtu wa kumdharau na kuachana nae. Hawa magamba wamebuni hiki kitengo kisicho rasmi kwa ajili ya kuleta propaganda ili watu waanze ku-discuss mambo ambayo hayana tija kwa taifa na kuacha issues za maana.
Kama hamjagundua kuna Shonza, TandaleOne, Zemarcopolo na wapuuzi wengine wachache wameanzisha ka-mtindo ka-kuanzisha maada za kipuuzi kuhusu viongozi wa CDM hususan kuhusu Elimu zao ili watu tuhamie huko na kuacha kufatilia issues za maana kama shida ya maji, Gesi etc.Na bahati mbaya ndugu zangu mmekuwa mstari wa mbele kumjibu huyu mpumbavu......ni kajitu kakukadharau tu.....who is Juliana shonza to distrurb CDM????
Huyu binti kwa sasa anatapata tu, ni kama hajui alifanyalo..... na kwa taharifa tu, huu upuuzi wote anaoanzisha una baraka za Nape na Mwigulu............please let's stop to respond on whatever nonsense she posts.....kwa sababu tunajua elimu, mwamko na utendaji kazi wa viongozi wa CHADEMA, na hata yeye anajua, sasa ya nini kubishana na haka ka-ajuza???
Na mwigulu anavyopenda ivo vi2 atampiga mimba kama yule wa igunga, wakati wa uchaguzi mdogo igunga mwigulu alifanya kweli tandika mimba mke wa m2, lakn huyu malaya shonza hana tatz mana hata akibebeshwa bendi ya ccm atapata kula,tatz itakuwa kwa mke wa mwigulu ,,mbn shonzo ndo zake,alitembea na ma lecturers udsm mpk akatepeta,so ndo mambo yake hata msishangae ! Mkisikia kmy mjue tayr mdudu kaingia tumboni kwa kiburudisho cha ccm !Mimba mimba mimba mimba! Shenzi shenzi shenzi/shonza.
I can see it.
Na sasa wameanza na Mnyika na sualanla elimu, na badluck it is true, kuwa kulikuwa na uongo kwa wananchi juu ya elimu ya Mnyika.
Mungu saidia chama chetu Chadema, hawa mashetani washindwe.
Sijawahi ona mwenyekiti anamfukuza uachana makamu mwenyekiti hii sio demokrasia kuna ubaguzi nyuma yake ccm wanahubiri ubaguzi cdm wanatenda ubaguzi hii ni hatari sana kwa taifa letu.
Amebakia Grayson Nyakarungu and also i dont trust Gwakisa Burton Mwakasendo!