measkron
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,782
- 2,418
Husband Jamani yuko busy anasaka noti wala hana Muda wakuhangaika na hawa watoa povu huku,and he is soproud of me Binti wa Shonza.
Kwanza nikupe hongera kwa hatua muhimu na nikukaribishe rasmi kwenye ndoa, mume anasaka noti sasa umsaidie na hizi Siasa za bongo za maji taka achana nazo kwa sasa jenga familia kwanza just an advice you are young and beautiful and ready to build a family of your own... Give it a priority.... Nategemea kuitwa kitchen party