Juliana Shonza Achumbiwa...

Juliana Shonza Achumbiwa...

Michadema huwa inanishangaza sana, kwenye yao lazima wasifie , nakumbuka ya yule kijana wao waliamua mpaka kususia msiba wa kada wao maarufu, kisa mpunga, cha kushangaza zaidi mpunga wenyewe ulikuwa kwa juhudi za wale wanaowapigia kelele kila siku, inanishangaza sana hii michadede
 
asa mnatakaje? mtu asipoolewa shida akiolewa shidaaa mmmmhhhh ila huyu khaaaaaa andamaneni basi
 
loh! mrejesho hakuleta mipicha ya harusi
 
Huyo dawa ni kummega na kumwacha. Dhambi ya usaliti itamwandama mpaka kwenye ndoa yake
 
Duh, natumaini mchumba wa Juli hatasoma hapa.

Hata kama atasoma bcoz ameshapenda haina tabu. Kikubwa amshukuru Mungu ,sisi wengine Umri unaenda vijana wanaishia kututumia tu. Sijui itatokea lini kama ya mwenzetu. Hongera Sana Juliana Shonza
 
asa mnatakaje? mtu asipoolewa shida akiolewa shidaaa mmmmhhhh ila huyu khaaaaaa andamaneni basi
Kikubwa amshukuru Mungu ,sisi wengine Umri unaenda vijana wanaishia kututumia tu. Sijui itatokea lini kama ya mwenzetu. Hongera Sana Juliana Shonza
 

Attachments

  • 1434625437015.jpg
    1434625437015.jpg
    46.4 KB · Views: 520
Last edited by a moderator:
hongera bidada umuombe Mungu akutunzie hadi mkamilishe hatua ile muhimu ya kuwa mke na mume. unaitaji sana kuomba kipindi hiki kwani mafanikio huwa yakianza kujitokeza shetani huingilia kati. ukawe mke mwema siku ikifika mumeo awe anaimba sifa zako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom