Juliana Shonza Achumbiwa...

Juliana Shonza Achumbiwa...

Hongera sana dada! Mungu awatangulıe ktk safar ya maısha.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
baba kapata mama mama kapata baba hongereni sana.July bora upo ccm ndio kwenye heshima sio chagga dev.manfesto
 
baba kapata mama mama kapata baba hongereni sana.July bora upo ccm ndio kwenye heshima sio chagga dev.manfesto a.k.a chadema
 
Hongera sana Juliana shonza kumbuka tu wajibu wako kama mke wa mtu mambo mengine iachie dunia maana hakuna msafi hapa duniani. Kila la kheri mke mtarajiwa na mme mtarajiwa
 
Afadhali kapata mume sasa, alikuwa hatulii kama vile kachanganyikiwa!

Nimeamini kutokuwa na mwenzi waweza kuwa hata Chizi.



Mkuu umenimaliza kauli! Nafuu bhana amepata mwenza na ingependeza kama angempata Kamanda mpiganaji kama sisi!
 
Hongera sana karibu katika ulimwengu wa familia ya mke na mume, nasikitishwa na maneno ya kishenzi mnayoandika watu wazima namna hiyo kisa siasa.
 
Hongera Juliana Shonza...kumbe ndo maana kelele zimepungua ee...Halafu mmmmh!!! mbona hujaniaga,? by the way tangu mwaka 2011 pale hall five...nimekumiss mwe.!! Nenda salama July jamaa namfahamu ni mpole sana..! Ngoja nikatoe umbea kwa Amin kwamba... July kimenuka 'siyo msela tena' hivyo tupite mbaliiiiii! au..................
 
Last edited by a moderator:
Hongera Juliana Shonza...kumbe ndo maana kelele zimepungua ee...Halafu mmmmh!!! mbona hujaniaga,? by the way tangu mwaka 2011 pale hall five...nimekumiss mwe.!! Nenda salama July jamaa namfahamu ni mpole sana..! Ngoja nikatoe umbea kwa Amin kwamba... July kimenuka 'siyo msela tena' hivyo tupite mbaliiiiii! au..................
Duh, natumaini mchumba wa Juli hatasoma hapa.
 
Last edited by a moderator:
Huyo mme mtarajiwa sijui anajisikiaje akisoma hizi comments, regardless ni kweli ama uongo lazima atakuwa disappointed!
 
duu...hivi mfano jamaa akisoma hizi koments inakuaje hata kama zaweza kuwa za uongo ati
 
nimeshiapata picha kidogo atakua mwanasiasa via ccm...wengine sekta hiyo ilitutupa mkono


Nami nilijiuliza ni nani huyu?! Kwa maana hiyo hii ni new technic ya ku recruit wanachama
 
HONGERENI SANA WOTE WAWILI na nawatakia kila la kheri katk matayarisho ya harusi yenu. Bi mtarajiwa acha kubishana na watu usiowajua wengi wao wana faili ktk taasisi moja iliyoko kanda ya kati na pia wengine ni frustration za maisha. Lakini kwa kujibizana nao nawe tutakuweka ktk kundi hilo.

Bwana harusi anasema mambo yatakamilika tarehe 11 . 10. 2014 hivyo wanaotaka kadi za mchango mjue hivyo na mjipange kumchangia na pia kuombea ndoa hii. Ameanzisha group kwa ajili hii na linapatikana hapa (https://www.facebook.com/groups/727878090592209/) , Utafiti usio rasmi unaonyesha kuwa walianza uhusiano tarehe 7. 10. 2013.


10527884_734410959935765_6485197715906680315_n.jpg


Reference: https://www.facebook.com/david.m.kahumbi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom