Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,521
- 6,517
Aliolewa...hii ilikua ni kitchen party yake
Kitchen party sio harusi. Sisi tulimfanyia ndugu yetu mpaka send off lakini harusi iliyeyuka. Lete ushahidi wa harusi
Aliolewa...hii ilikua ni kitchen party yake
Kitchen party sio harusi. Sisi tulimfanyia ndugu yetu mpaka send off lakini harusi iliyeyuka. Lete ushahidi wa harusi
hongera bidada umuombe Mungu akutunzie hadi mkamilishe hatua ile muhimu ya kuwa mke na mume. unaitaji sana kuomba kipindi hiki kwani mafanikio huwa yakianza kujitokeza shetani huingilia kati. ukawe mke mwema siku ikifika mumeo awe anaimba sifa zako.
Kikubwa amshukuru Mungu ,sisi wengine Umri unaenda vijana wanaishia kututumia tu. Sijui itatokea lini kama ya mwenzetu.
daaah huyu kijana ana roho ngumu sana..yaani kamchumbia huyu?
Jamii za watu primitive zilizo kwenye mgando wa mfumo dume.Kwa kuwa upele umepata mkunaji, sasa tutegemee utulivu wa huyu binti
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"][h=5]Juliana Shonza
[/h]2 hrs ·
"Thanks Lord,is now official,a lovely wife to be of Geo david.
I adore you."
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Hahahaha nasikia walishaachana Kitambo tu