Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,939
- 43,573
Acha unafikiKumbe ni Juliana shonza,nami nilikuwa hapo Kanisani riverside hosana life ministry siku ya Jumapili 13 July 2014 kwa mchungaji Mwansasu na nilimbeba kwenye kiti kama ulivyo utamaduni wetu
Hongera Dada ingawa harakati zako za kuisaliti Chadema zinanifanya nikuwazie kivingine.
Usije ukamsaliti mumeo david,kijana wetu msaarabu