Kigwa anataka kumuweka Juliana kama mke wa Tatu?Kigwangala yuko kwenye maandalizi ya shughuli hio. Vuta subira utaalikwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Not everyone is for sale and not everything is for sale!.Jamaa pesa anazo?
The master’s tools will never dismantle the master.Not everyone is for sale and not everything is for sale!.
P
Aise ,wamewahi.... Hongera kwake kukupata wewe ....wengine wakuzimia ila mazingira..Duh inaonyesha Roho inakuuma mkuu,pole weee
Vipi harusi ilifanyika kweli au ilikufa kimasihara??
Wafukua makaburi wamefukua
Kwenye Yale masikio matatu,apambane Sana na lile la tatu.!!likimshinda mdomo kamwe hautaishaNamsikitia sana mume mtarajiwa inaonekana kapata mke mwenye kidomo domo mbona atakoma.
Kwako wapi sipajui
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sura yake inaonekana hana akili.[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"][h=5]Juliana Shonza
[/h]2 hrs ·
"Thanks Lord,is now official,a lovely wife to be of Geo david.
I adore you."
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Ilikuwa ni Chakula ya nani alipokuwa Mbunge????[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"][h=5]Juliana Shonza
[/h]2 hrs ·
"Thanks Lord,is now official,a lovely wife to be of Geo david.
I adore you."
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Ndo kwanza yupo thirties lakini kashazeeka.Ilikuwa ni Chakula ya nani alipokuwa Mbunge????
Halafu ana yule Mdogo wake msagaji hivi nae aliolewaga baada ya yule TomBoy wake wa Mgodini kuuwawa????
Kwa kifupi huyu bibie keshajichokea zake sidhani kama hata anataka siasa tena
Bora atulie kwenye ndoa, nikimkumbuka "enzi za Kibasila Pale Upanga" dah wanaume wanapitia mengi sana.
Kweli wanawake tunadhalilishwa sana , lakini kunatokana na kutojiheshimu.TISs wakiume nyie acheni mizengwe tabia kuhadaa wabunge wetu hii eti toa uchi tutakupambania uingizwe kwenye kamati huyo. Kashaolewa