Juliana Shonza Achumbiwa...

Juliana Shonza Achumbiwa...

Juliana Shonza , hongera kwa hatua hii muhimu. Naamini pia ulijifunza kitu kwa yaliyomtokea Vicky Kamata hivi karibuni. Fanya due diligence ya kutosha kwa kila hatua.

Wengine: Pamoja na tofauti za kimitazamo au kisiasa, lakini naamini tunaweza kuwatendea haki wawili hawa ambao wana nia ya kufanya lililo jema. Tuwaombee heri tu! Kwani ni wangapi kati yetu tumeoa wanawake ambao hawakuwahi "kutumika" kabisa? Naamini kama wapo basi ni wachache mno.
 
shamba limepata mkulima akatulie na mume wake
 
mnavyo comments kama ameshavaa shela jamani, hiyo ni pete ya uchumba, kwahiyo bado hatua nyingine, tusubiri maana kuna wengine hizo zinakaaga mpaka zinafanana na kidole bado nyingine ya 2 haijaingia. usisahau wasimamizi wako wa kiume wale vijana wako wale.
 
Taarifa na ziwafikie kuwa yule mwanasiasa aliyejiunga Chama Tawala kwa mbwembwe kubwa hatimaye amevikwa pete ya uchumba na bwana Mmoja aitwaye Geo..
Hope amekua sasa na atatulia hadi atakapoolewa rasmi yasijekukuta ya mama wa Geita
 
Huyo mme mtarajiwa sijui anajisikiaje akisoma hizi comments, regardless ni kweli ama uongo lazima atakuwa disappointed!

noma sana ila atakua amejiandaa..mpaka anaamua kuoa si anakua kajipanga...tena mwanasiasa lazima ujipange
 
Kwani huyu Juliana Shonza ndio nani mpaka mnaleta hapa jukwaani!!!!!!!!!!!!!!!
 
Afadhali kapata mume sasa, alikuwa hatulii kama vile kachanganyikiwa!

Nimeamini kutokuwa na mwenzi waweza kuwa hata Chizi.

Hapo kapa mume au amefungwa gavana akae mbali na wanaume?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom