J'tatu hiyooo, Lema njeeee....

J'tatu hiyooo, Lema njeeee....

Jifunze kuleta mada jukwaani,hapa hatukuelewi maana ndo wa kwanza ku-post halafu unatuuliza?
 
Tunakuomba Lema uanzie kutekeleza ahadi zako. Vurugu tumezichoka. Tumechoka kuandamana mahakamani kila siku. Tumechoka.
 
Nina hamu ya kumsikia akiongea pale mjengoni baada ya kutoka lupango, labda kuna kitu kipya amejifunza huko mahabusu.
 
Tunakuomba Lema uanzie kutekeleza ahadi zako. Vurugu tumezichoka. Tumechoka kuandamana mahakamani kila siku. Tumechoka.

na bado, mtachoka mpaka magamba yapukutike
 
Mbunge wa Jimbo tata la Arusha leo mda mfupi uliopita alikua akiongea
kupitia Redio sun rise akijaribu kuonyesha ujasiri mkubwa na upendo wake
kwa wananchi wa jimbo hili mwenye habari kamili atujuze .......................

nawasilisha
Ameongelea mengi yakiwemo la uwanja wa ngarenaro uwe kwa shughuli za wachuuzi pia atakuwa bega na wamachinga kupingwa kufukuzwa katikati ya mji mpaka watakapo pewa eneo ambalo wataridhika
 
Mbunge wa Jimbo tata la Arusha leo mda mfupi uliopita alikua akiongea
kupitia Redio sun rise akijaribu kuonyesha ujasiri mkubwa na upendo wake
kwa wananchi wa jimbo hili mwenye habari kamili atujuze .......................

nawasilisha

sasa wewe umejuaje kama hukusikia? Acha kigeugeu, au wewe wa nnape nauya?
 
Ameongelea mengi yakiwemo la uwanja wa ngarenaro uwe kwa shughuli za wachuuzi pia atakuwa bega na wamachinga kupingwa kufukuzwa katikati ya mji mpaka watakapo pewa eneo ambalo wataridhika
Nashukuru Sokoni 1 kwa ufafanuzi.
 
Unajua mimi ni nani? au inabwabwaja tu...muombe Invisible akusomee IP address ya hii PC nayoitumia halafu ufanye uchunguzi ni ya wapi!
Head water wee!

we c kiboga 2 unaye2miwa... Na utaishiwa ku2miwa 2.... Poor Cameroun..
 
Tunakuomba Lema uanzie kutekeleza ahadi zako. Vurugu tumezichoka. Tumechoka kuandamana mahakamani kila siku. Tumechoka.

uc2letee uzee wako hapa... Ina kuuma nini.. Kwan uwa unashiriki wewe kwenye maandamano... Nyamaza.
 
Ameeleza maisha ya selo. Anasema anatamani kama angerudi tena ila Slaa na Mbowe wanambania.
khaa yaani kulowana kote kule na mvua usiku kucha NMC na kumfata magereza kila siku na bado kuandamana hadi mahakamani kisa kanyimwa dhamana bado anadai alitaka abaki kisongo? Khaa mbona dharau sasa hiyo kura zetu tulimpigia akakae magereza? Mambo mengine hata hayana maana. Ameshakua mjelajela
inamtosha hiyo anapenda kuwarusha watu rohooo eti hajapenda kutoka lool
 
Wanajamvi: Hivi inakuwaje pale Polisi wasipoingilia maandamano/mikutano ya CDM huwa hakuna uvunjifu wa amani na hakuna anayepoteza maisha au kuumia?

Mara mbili hilo limetokea hapo Arusha – kwanza ni mapema mwaka huu siku ile ya kuiaga miili ya marehemu wanaChadema waliokufa kutokana na risasi za polisi. Hafla yote ile kubwa haikuingiliwa na polisi hata mmoja na hakuna hata mtu aliyechubuka.

Pili ni tukio la leo pale Mh Lema aliposhindikizwa kwa maandamano makubwa kutoka mahakamani baada ya kupewa dhamana. Polisi hawakuingilia na hakuna aliyechubuka. Halafu hapa hapa kuna swali, je maandamano yale ya kumshindikiza Mh Lema leo yalikuwa na ‘kibali' cha polisi? Nauliza tu.

Kwa hivyo conclusion ni kwamba polisi ndiyo huanzisha vurugu – kuzuia mikutano/maandamano bila ya sababu ya msingi, kwani sababu hiyo wanayoiimba kila siku ya eti kuzuia uvunjifu wa amani huwa ni uwongo mtupu. Wakubali kwamba wanatumika tu kisiasa – kuwapaka matope wapinzani kuwa daima ni watu wa vurugu, kitu ambacho siyo kweli kabisa.


Kitu kingine: Leo hii IGP Mwema kazungumza lakini alionekana kubadilisha hoja ya kwa nini hasa polisi huzuia maandamano/mikutano kwa sababu eti hii huwanyima watu kufanya kazi zao za kila siku za kujitafutia riziki.

Hii inawezekana ni kweli kwa asilimia flani, lakini siyo suala la polisi kamwe. Mimi nikiamua kwenda kwenye maandamano haiwi shauri la polisi kutaka kujua kwa nini nilitelekeza kazi yangu inayonipatia riziki. Mie najua mwenyewe ninachokifanya.

Inawezekana kuna wengine ambao hawataki maandamano lakini yakitokea inabidi wasimamishe biashara zao kwanza. Hii sababu pia haina mashiko sana kwa sababu kama ni hivyo, basi maandamano yote yapigwe marufuku kwa sababu inawanyima haki wengine kufanya kazi zao.

Ningependa kujadili suala hili.
 
Jifunze kuleta mada jukwaani,hapa hatukuelewi maana ndo wa kwanza ku-post halafu unatuuliza?

Una mwezi mmoja tu, izoee JF kwanza ndio ujue inaji control vipi, sio kwamba mtu mmoja akianzisha thread basi lazima yeye ndio ajibu au atoe update haiwi hivyo, yoyote hata wewe unaweza kuiendeleza.......
 
samahani, sijaangalia habari.. ila natamani kupata picha kamili ya kilichotokea Arusha leo ndipo niendelee kuchangia.... tafadhali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom