Joseph Mbilinyi 'Sugu' amlipua Zitto Kabwe

Joseph Mbilinyi 'Sugu' amlipua Zitto Kabwe

Yes..! Ndiomana tunasubiri vielelezo zaidi kutoka upande wa upinzani na Zitto mwenyewe thenly mjadala uanzie hapo.

Mjadala ndio umeishaanza! Hatuna sababu ya kumsubiri Zitto! Atatukuta tukiendelea kujadili ufisadi wake!
 
Last edited by a moderator:
Unaamini bila hata kushughurisha ubongo wako? TZS MILIONI 119 kitu gani ni pesa kdogo sana kwa kundi la vijana wanaotafuta maisha. wivu wa sugu na CDM kila kitu siyo lazima ukandie. SUGU mavi.

Nimeushughulisha ndiyo maana nimesema kama kuna ukweli,kwa maana kwamba sina uhakika aliyoyasema sugu.Na pili kwa Mhasinu hata Tzs.20,000 isipoonekana lazima ujue imekwenda wapi.Kwa taaluma yangu hizo milioni ulizazitaja zikikosekana au zisipokuwa na maelezo ya kutosha lazima nita-qualify report.

Angalizo,kila mtu namna anavyoiona hiyo milioni unayoiona siyo kitu.Na ndiyo maana kwa kudharau vitu vidogo uchumi wetu upo hapa ulipo.Pole kama nimekukwaza.
 
Kama kuna chembe ya ukweli kwanini isisemwe. Msimtete zz ajitetee kwa data
 
Hiki chama kimejidhihirisha kwamba ni ovyo chenye watu ovyo wasio na busara.washambenga.hakistahili hata kuongoza vichaa.leo ndio nimekitoa maana kabisa heri kife kabisa.kwa nama hii upinzani utasubiri karne moja zaidi.chama gani kinapalililia majungu ya kijinga.
 
Hiki chama kimejidhihirisha kwamba ni ovyo chenye watu ovyo wasio na busara.washambenga.hakistahili hata kuongoza vichaa.leo ndio nimekitoa maana kabisa heri kife kabisa.kwa nama hii upinzani utasubiri karne moja zaidi.chama gani kinapalililia majungu ya kijinga.

Labda!
 
Wasio na Elimu ndani ya chadema ndio wanapewa kipaumbele...

ndio udhaifu wa serikali ya CCM division zero wanasema one si ajabu mtu wa mwisho darasani na chuo wa GPA 2.0 kuongoza maprofessa kwenye cabinet yake
 
Hiki chama kimejidhihirisha kwamba ni ovyo chenye watu ovyo wasio na busara.washambenga.hakistahili hata kuongoza vichaa.leo ndio nimekitoa maana kabisa heri kife kabisa.kwa nama hii upinzani utasubiri karne moja zaidi.chama gani kinapalililia majungu ya kijinga.
Punguza mapovu wewe mwizi ni mwizi tu..
 
Tuwekeni siasa kando na tufanye kazi. Tumesikia upande mmoja wa shilingi tusubiri Zitto nae aseme upande wake ili tulinganishe na tutoe hukumu kwani Chadema kwa chuki yao juu ya Zitto wanaweza ongea lolote lile.
Afu pia wao kina Sugu walipata wapi hizo documents kama wao nao sio wadau?

uwe na akili kidogo unapotetea wezi analakujibu hata Kikwete atamsemea tumezoea CAG afanye kazi yake
 
nisaidie mimi si mfuaji wa muziki lakini kwa taarifa niliyopata kwa mfanyakazi mwezangu nasikia hata wale wanamuziki wa kigoma walizulumiwa

is that true?

Ni kweli wasanii wote wa bongo fleva hawataki kumskikia na hawana amu nae,toka alipowaingiza town Leka Dutigite..mpka imefikia wanamuimba kwenye nyimbo zao asiwafatefate na sasa kiukweli ujumbe ameupata

chek hapa chini..............

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ney wa Mitego amezidi kujipatia umaarufu huku akiendelea kushika chati miongoni mwa wasanii wanaongoza kuimba nyimbo zinazoibua ukweli kwa baadhi ya mambo yanayotendeka kwa jamii. Katika mashahiri yake, rapa huyo anahoji uhalali wa kazi zinazofanywa na mawaziri vizuri, pamoja na uhalali wa kuwepo wabunge wa viti maalumu bungeni. Msanii huyo ambaye leo anaachia ngoma mpya inayojulikana kwa jina la 'Salaam zao', ameandika mashahiri ya kumpa salaam Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe kuachana na masuala ya muziki wa bongo fleva na ajikite zaidi kwenye siasa. Mashahiri hayo yametokana na kile kinachodaiwa kuwa mbunge huyo kuanzisha kundi la Kigoma All Stars na kulitelekeza. Rapa huyo amemtumia salamu, mbunge huyo kuwa ni vyema aachane na bongo fleva na kujikita zaidi kwenye siasa, kwani huko ndiko kunakomfaa zaidi.
 
Kwanza nianze kwa kucheka haaaahaaaaaaaaaa
Sugu kajipange upya huwezi kushindana na maji
Hotuba yako yote imejaa umbea na kumlenga mtu sijaona ulchochangia zaidi ya kumtaja mtu
Bajeti uliowasilisha umesahau vipaumbele vya kuwezesha vijana namna gani wataweza kunufaika na michezo namna gani vijana wanabanwa kwenye tasnia kama filamu mpira ngumi au vifaa vya michezo wapunguziwe kodi

Wewe unakuja na chukiAko za kumlenga mtu 1 hutuba yote kama vile mtu huyo ndio anaewabana wanamichezo

Waliokupangia hiyo hotuba walishaona wao wameshindwa kumshusha zzk kisiasa ndio wameona wakupewewe ulisha jifia kwenye ramani ya siasa

mlolongo wote wa wizi wa zitto umeusaha a unajitia kipofu zitto hana la maana zaidi ya kukwezwa na Kikwete wana miezi tu 2016 Zitto naKkwete anayemuweka ndani
 
Kwanza nianze kwa kucheka haaaahaaaaaaaaaa
Sugu kajipange upya huwezi kushindana na maji
Hotuba yako yote imejaa umbea na kumlenga mtu sijaona ulchochangia zaidi ya kumtaja mtu
Bajeti uliowasilisha umesahau vipaumbele vya kuwezesha vijana namna gani wataweza kunufaika na michezo namna gani vijana wanabanwa kwenye tasnia kama filamu mpira ngumi au vifaa vya michezo wapunguziwe kodi

Wewe unakuja na chukiAko za kumlenga mtu 1 hutuba yote kama vile mtu huyo ndio anaewabana wanamichezo

Waliokupangia hiyo hotuba walishaona wao wameshindwa kumshusha zzk kisiasa ndio wameona wakupewewe ulisha jifia kwenye ramani ya siasa
Naomba msaada,hivi hutuba hizi za upinzani wanaandika wasomaji au ni cabinet nzima kivuli?
 
Peleka upuuzi wako kwa wapuuzi wenzako,humu tunataka facts
Mkuu hapa Sugu alikuwa hataki kuonyesha ufundi wa kupambana kwa hoja...Alikuwa anaanika mpambana na ufisadi anavyokuwa fisadi....Uyu Zitto alikuwa anapita kwenye mastudio akihamasisha wasanii wagomee kupeleka nyimbo zao kwenye kampuni za ringtones kwamba wananyonywa lakini ghafla wanasikia wimbo wa kigoma umeuzwa kwenye kampun ya milio ya simu ya PeraAfrica ya Ruge mutahaba , wakabaki wameduwaa anawahamasisha nini na yeye anafanya nini kuhaidiwa hela nzuri na ruge akawageuka....Kuna story nyingi kaa na wasanii watakwambia ata Ney wa Mitego alimuimba hawamtaki awatumie
 
Last edited by a moderator:
Aaah, acha maneno bwana wewe! kesi ya mbowe ipi? Kesi ya Zitto ipi? Haya ni mambo ya kuongeleka tu na yanatakiwa majibu baas, kwani shida ikowapi? Mbowe alituumiwa, jambo la kawaida kwenye siasa --- mbowe amejibu na ameweka wazi, kwa hiyo waliomtuhumu wamepata aibu. Sasa kama Zitto hajakosea na ametuhumowa, ni kujibu tu baas! Usiyakuze mambo. Kuhusu kuwaamini wapinzani, ni shida gani inayotokea ambayo wapinzaniaaminiki? au kwasababu hawafichiani siri ovu kama ccm?? Maslhi ya wananchi kwanza, aslahi ya chama ya pili. maslahi ya chama kwanza na maslahi ya mtu yanafuata. Chadema wako vizuri kwenye kufuata logic ya maslahi. Wewoga unakusumbua au pengine unafiki wa kutaka kukuza vijimambo tu

Ungejua nina penda sana kuhoji na si unafiki,kwenye ukweli napenda ukweli na kwenye uwongo ninaukataa.Unajua kwanini hii inaumiza?Ni kwa sababu tunapokataa kutumia taasisi zetu za hifadhi ya jamii nilitegemea wapinzani wawe wakwanza kufanya,yaani kutotumia taasisi hizo kwa njia yoyote ile,na hii itatupa nafasi ya kuwanyooshea viongozi wa CCM vidole.Umenielewa?Si vizuri kila wakati viongozi wa upinzani wanakutana na vijimambo vidogo vidogo kama unavyosema.
 
Mkuu zitto sio Kiongozi wa Upinzani.

Kisheria bado ni Mbunge wa upinzani,na wakati hayo yanatokea alikuwa ndani ya uongozi wa juu wa CDM,ni haki yetu kuhoji.
 
Back
Top Bottom