Joseph Mbilinyi 'Sugu' amlipua Zitto Kabwe

Joseph Mbilinyi 'Sugu' amlipua Zitto Kabwe

Hii ndio inaitwa "lifting the corporate veil"!

Btw, hivi mama yake ZZK anaendeleaje? Maana haya makombora, bila kujali ukweli wake, yanaweza kuwa yanamwongezea simanzi na msongo wa mawazo tu! Nikijaribu kuvaa viatu vyake, namwonea huruma sana!
 
na mkaguzi mkuu wa serikali atatueleza pia, it appears he doesn't excute his duties diligently, relationships between zitto,nssf and tanapa has been identified as critical red flags for fraud, but he is always acting like a junior accountant and fail to review it.

mbowe arudishe pesa za nssf haraka sana
 
kaka kama kuna ukweli ni aibu hii kwa viongozi wa UPINZANI.Sasa najiuliza WaTanzania tutaweza kuwa na IMANI na viongozi waUPINZANI?Inastua kama haya yanaendelea.Juzi tulikuwa na kesi ya Mbowe leo tuna ya Zitto,naiuliza kuna nini kinachoendelea?

Mkuu zitto sio Kiongozi wa Upinzani.
 
Hivi kweli Sugu anaweza kupambana kwa hoja na zitto.
Kwakweli chadema mna jiaibisha sana.

Nssf ina mdai mbowe hadi sasa hajalipa.
yani wewe kichwani mweupe kabisa, mwenzio anaadhirika wewe unauliza kupambana?

uliza ataweza kuficha ufisadi huu cag asiubaini kwenye auditing?
 
Siasa chafu za kutumia bunge tukufu kumchafua mbunge mwenzako,mwanasiasa mahiri asiyelingana uwezo wako!je unadhani itasaidia kukinusuru chama chako kuingia kaburini?je unadhani watanzania wa leo ni wale wa jana?na je unadhani uongo utaishi kilasiku na kuweza kufunika ukweli?zitto atabaki kuwa shujaa katika siasa hizi za mageuzi na heshima yake haitavunjwa na wanasiasa wenye uwezo mdogo na wenye kukubali kulipwa pesa za kumchafua mtu hebu jaribu kupima uzushi huo dhidi ya chuki yenu kwa zitto je imeweza kumbomoa?kama mlitumia bilioni mbili na hamkufanikiwa je mtamuweza kwa uzushi huo?,ushauri fanyeni siasa kwa manufaa yenu na sio manufaa ya watu
 
nisaidie mimi si mfuaji wa muziki lakini kwa taarifa niliyopata kwa mfanyakazi mwezangu nasikia hata wale wanamuziki wa kigoma walizulumiwa

is that true?
 
kaka kama kuna ukweli ni aibu hii kwa viongozi wa UPINZANI.Sasa najiuliza WaTanzania tutaweza kuwa na IMANI na viongozi waUPINZANI?Inastua kama haya yanaendelea.Juzi tulikuwa na kesi ya Mbowe leo tuna ya Zitto,naiuliza kuna nini kinachoendelea?

Mapambano ya Kambi Rasmi ya Upinzani yanaendelea.Hayachagua mtu,taasisi au kundi la watu au taasisi
 
nisaidie mimi si mfuaji wa muziki lakini kwa taarifa niliyopata kwa mfanyakazi mwezangu nasikia hata wale wanamuziki wa kigoma walizulumiwa

is that true?
sasa kama hili ndio swali lako kilikuwasha nini kuquote uzi mzima? ujinga huu.
 
Wivu unawasumbua. Sasa naamini kuwa ile Ripoti ya Siri juu ya Zitto Kabwe imeandikwa na watu waliomuandikia Sugu hotuba yake
 
Kwa kawaida mtu akikosa hoja anakimbilia majungu. Ndivyo alivyofanya Sugu
 
Zitto ni mwanasiasa makini,hawezi kuchafuliwa kwa propaganda za kijinga.
 
Zitto kama mwenyekiti wa PAC hakustahili kufanyabiashara na mashirika anayoyasimamia full stop hakuna kuonewa hakuna longo longo Zitto ni fisadi mjanja.
mkuu mafisadi wote ni wajanja maana wanatuibia tukiwa tunaona na hatuwezi kuwafanya kitu maana wamejiwekea ulinzi wa kutosha, sema zitto ni fisadi mtoto.
 
Inaonekana ndani ya Chadema hakuna wa kumuamini!
Mbowe ana daiwa na LAPF mamilioni ya shilingi,Mbowe ana daiwa na NHC mamilioni ya kodi jengo la billicanas!
Zitto haya yote aliyafanya akiwa Chadema!
Dr slaa alijikopesha mamilioni ndani ya chadema!
Chadema kuna haja ya kuangalia maadili ya chama chenu

Ndio maana tumegeukia kumsapoti Paulo ili kama bado anazo alizokwapua kule DRC atugaie!
 
Back
Top Bottom