Joseph Mbilinyi 'Sugu' amlipua Zitto Kabwe

Joseph Mbilinyi 'Sugu' amlipua Zitto Kabwe

Nadhani mbilinyi amenunuliwa ili kuweka chunvi ktk kidonda. Kwani kwa kauli hiyo mbilinyi hajengi bali anabomoa. Anaonyesha wazi kwamba hata upinzani nao kumbe wanapiga dili. Hivyo kelele zao ni sababu hawajahusishwa. Na wakihusishwa ni washiki wazuri. Haya yetu macho
 
hivi mnajua kama zitto bado ni mwanachama wa chadema?
Kwa sasa huwezi kutenganisha 'ufisadi' wa zitto na chadema.

Wapiga kura ambao wengi sio wanachama wa jf wal wa face book, kwasasa hawawezi kumtenganisha zitto na chadema.
Hivyo mnavyomchafua zitto, mnaichafua chadema.

Chadema ingehakikisha kwanza zitto anaondolewa kabisa kwenye chama officialy kisha ndio waanze kumlipua.

ndio ujinga huu wanafanya wabunge wa ccm pale bungeni kama ni kapi acha liende broo nani asiyejua kama zitto msaliti

unakumbuka kilichotokea mbeya, je wajua hana ujasiri wa kisimama mbele za watu
 
Nadhani mbilinyi amenunuliwa ili kuweka chunvi ktk kidonda. Kwani kwa kauli hiyo mbilinyi hajengi bali anabomoa. Anaonyesha wazi kwamba hata upinzani nao kumbe wanapiga dili. Hivyo kelele zao ni sababu hawajahusishwa. Na wakihusishwa ni washiki wazuri. Haya yetu macho

madili kama lile la mbowe kuwauzia chadema fuso mbovu milioni 600
 
sugu naye ni mbwa mwitu karibia akamatwe, act inawanyima usingizi hao wanatafuta jinsi ya kuchokono wapi sasa huyo vidole juu kakae na kina mama wenzio
 
Hivi kweli Sugu anaweza kupambana kwa hoja na zitto. Kwakweli chadema mna jiaibisha sana. Nssf ina mdai mbowe hadi sasa hajalipa.
Jibu hoja, kwa akili zako unaona sawa Mwenyekiti wa PAC kutumia pesa za umma kiasi hicho kwa maslahi binafsi?
 
Siasa na wana siasa wa nchi yenye wengi ni hovyo kabisa....ni njaa kwa kwenda mbele
 
katika mambo yanayo niudhi ni hili la wapinzani wao wenyewe kushambuliana badala ya kunoa mapanga kupambana na liccm ninyi mnapambana wenyewe nini malengo yenu sasa

hivi hizi milioni mia ninyingi kuliko bil 200 zilizochotwa na viongozi wa serikali na chama kwanini msiunganishe nguvu kutusemea wanyonge ili mapesa haya yarudi kama zilivyorudi pesa za rada jamani upinzani nani kawaroga kiasi cha kuanza kuumbuana hadharani kiasi hiki??!!!!!!!

Back tanganyika


zitto sio mpinzani HUYO NI MAMLUKI NA NDIO MAANA ANAPATA BACKUP YA CCM
 
Zito ni taasisi,chadema mfukuzeni huyu mtu ni mamluki anawahalibia chama.
 
Hii inadhihirisha jinsi gani upinzani unavyofight ili upate madaraka na kulifirisisha kabisa taifa.
 
kaka kama kuna ukweli ni aibu hii kwa viongozi wa UPINZANI.Sasa najiuliza WaTanzania tutaweza kuwa na IMANI na viongozi waUPINZANI?Inastua kama haya yanaendelea.Juzi tulikuwa na kesi ya Mbowe leo tuna ya Zitto,naiuliza kuna nini kinachoendelea?


Aaah, acha maneno bwana wewe! kesi ya mbowe ipi? Kesi ya Zitto ipi? Haya ni mambo ya kuongeleka tu na yanatakiwa majibu baas, kwani shida ikowapi? Mbowe alituumiwa, jambo la kawaida kwenye siasa --- mbowe amejibu na ameweka wazi, kwa hiyo waliomtuhumu wamepata aibu. Sasa kama Zitto hajakosea na ametuhumowa, ni kujibu tu baas! Usiyakuze mambo. Kuhusu kuwaamini wapinzani, ni shida gani inayotokea ambayo wapinzaniaaminiki? au kwasababu hawafichiani siri ovu kama ccm?? Maslhi ya wananchi kwanza, aslahi ya chama ya pili. maslahi ya chama kwanza na maslahi ya mtu yanafuata. Chadema wako vizuri kwenye kufuata logic ya maslahi. Wewoga unakusumbua au pengine unafiki wa kutaka kukuza vijimambo tu
 
Ukishatumiwa kama lap lap, thamani inapotea.

Siamini huu uzi upo hewani mpaka muda huu!
 
Nadhani mbilinyi amenunuliwa ili kuweka chunvi ktk kidonda. Kwani kwa kauli hiyo mbilinyi hajengi bali anabomoa. Anaonyesha wazi kwamba hata upinzani nao kumbe wanapiga dili. Hivyo kelele zao ni sababu hawajahusishwa. Na wakihusishwa ni washiki wazuri. Haya yetu macho

Zitto snajulikana kwa unafiki wake. Na leo tumuundie yeye tume. Wa ccm ndiyo hawapigi dili. Wainzani wako cleaner than you. Maji ya. Bomba yasiyochemshwa ni bora zaidi kuliko ya mfereji.
 
Hii inadhihirisha jinsi gani upinzani unavyofight ili upate madaraka na kulifirisisha kabisa taifa.

Lakini unajua Zitto si mpinzani. Ndiyo maana tabia zake zote ni za kigamba tu.
 
Kuna sehemu eti aliyekwenda kuna pesa taslimu millioni 28 ziliwekwa kwenye account in "cash" na mtu aitwaye Mchange. Hapa kuna kitu, hii account inatumika kupitishia pesa za kuendesha shughuli za ACT. Nina imani ni Mchange huyu kada wa CCM aliyeingiza pesa cash kwenye account ya Zitto. Mtani wangu huyu, ameanza kuaibika hivi hivi.

"Baada ya hapo, kati ya tarehe 14 Januari na 7 Februari, 2013, akaunti ya Leka Dutigite Ltd. iliingiziwa jumla ya shilingi 28,600,000. Fedha hizi zote ziliingizwa kama fedha taslimu na mtu aitwaye Mchange (shilingi 3,600,000 tarehe 14 Januari, 2013) na Leka Dutigite (shilingi 25,000,000 tarehe 23 Januari na 7 Februari, 2013). Kufikia tarehe 7 Februari, 2013, fedha hizo zote zilikwishatolewa benki"

Tiba
 
Asante sana Bavicha. Nakuhakishia kuwa hamuwezi kupambana na zitto na hamtomchafua kamwe subirini muone UKAWA,Sugu na chadema mtakavyo umbuka na kuhakikishia Sugu kawaponza.

Chadema hamuwezi kupambana na Zitto kwa kuwatuma wakina Sugu.

Wewe ni muumini wa Zitto unajulikana, wewe ni muumini wa mtu na sio sera...
 
Jibu hoja, kwa akili zako unaona sawa Mwenyekiti wa PAC kutumia pesa za umma kiasi hicho kwa maslahi binafsi?

Kwani Mbowe alichukua pesa NSSF kwa maslai ya nani?

Ngoja muone mtakavyo umbuka na mnajua fika hamuwezi kupambana kwa hoja na Zitto.
Subiri uone.
 
Back
Top Bottom