Joseph Mbilinyi 'Sugu' amlipua Zitto Kabwe

Joseph Mbilinyi 'Sugu' amlipua Zitto Kabwe

Game is on, haya wale waumini wa watu uwanja wenu huu sasa muanze kushambuliana.
 
Wasio na Elimu ndani ya chadema ndio wanapewa kipaumbele...
 
Tatizo la Chadema wanamfata mtu mmoja mmoja

Ufisadi ni ufisadi tu, uwe wa mtu mmoja, wawili au watatu. Na pia haujalishi kama mtu yuko chama tawala au upinzani. Tupige vita ufisadi wa aina zote.

Nasubiri majibu ya pande zote ndio ni comment further.
 
Tuwekeni siasa kando na tufanye kazi. Tumesikia upande mmoja wa shilingi tusubiri Zitto nae aseme upande wake ili tulinganishe na tutoe hukumu kwani Chadema kwa chuki yao juu ya Zitto wanaweza ongea lolote lile.
Afu pia wao kina Sugu walipata wapi hizo documents kama wao nao sio wadau?
 
Tatizo la Chadema wanamfata mtu mmoja mmoja

sugu kachemka na mbowe anakosea sana kuendelea kutumia vijana wake kama sugu na lema kumshambulia zitto wakati wapo kwenye mkakati mmoja ndani ya ukawa ilo swala lilishatolewaga ufafanuzi sku nyngi kua waliomba sponsor ya event wakapewa na hakuna ubaya...zto wanazidi kumpa credt ts beta atuletee hotuba yenye kutueleza kua tutafkaje world cup 2018 na mpango mkakati si stor za vsa mambo ya vsa kuna vkao vya chama huko chadema
 
CHADEMA waache chuki binafsi za kumshambulia mtu kisa tu hataki kufuata mkumbo wao.

Mashirika TANZU ya serikali yanamlipa Zitto Kabwe Milion 120 kwa kazi gani?Hiyo ndiyo hoja ya msingi acha kuruka ruka
 
sugu kachemka na mbowe anakosea sana kuendelea kutumia vijana wake kama sugu na lema kumshambulia zitto wakati wapo kwenye mkakati mmoja ndani ya ukawa ilo swala lilishatolewaga ufafanuzi sku nyngi kua waliomba sponsor ya event wakapewa na hakuna ubaya...zto wanazidi kumpa credt ts beta atuletee hotuba yenye kutueleza kua tutafkaje world cup 2018 na mpango mkakati si stor za vsa mambo ya vsa kuna vkao vya chama huko chadema

sugu hana chochote anachojua
 
Hivi kweli Sugu anaweza kupambana kwa hoja na zitto.
Kwakweli chadema mna jiaibisha sana.

Nssf ina mdai mbowe hadi sasa hajalipa.

Mkuu hapa Sugu alikuwa hataki kuonyesha ufundi wa kupambana kwa hoja...Alikuwa anaanika mpambana na ufisadi anavyokuwa fisadi....Uyu Zitto alikuwa anapita kwenye mastudio akihamasisha wasanii wagomee kupeleka nyimbo zao kwenye kampuni za ringtones kwamba wananyonywa lakini ghafla wanasikia wimbo wa kigoma umeuzwa kwenye kampun ya milio ya simu ya PeraAfrica ya Ruge mutahaba , wakabaki wameduwaa anawahamasisha nini na yeye anafanya nini kuhaidiwa hela nzuri na ruge akawageuka....Kuna story nyingi kaa na wasanii watakwambia ata Ney wa Mitego alimuimba hawamtaki awatumie
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom