Joseph Mbilinyi 'Sugu' amlipua Zitto Kabwe

Joseph Mbilinyi 'Sugu' amlipua Zitto Kabwe

Hivi kweli Sugu anaweza kupambana kwa hoja na zitto.
Kwakweli chadema mna jiaibisha sana.

Nssf ina mdai mbowe hadi sasa hajalipa.

Rudia kusoma kilichoandikwa , pia uwe una pima jambo kwa uhakika na si kuhisihisi. Kwani huyo Zitto ameumbwa na Mungu tofauti na aliye muumba Mbilinyi ?

Mbilinyi hajasema Zitto ajibu hoja bali amezitaka mamlaka husika zitolee maelezo kwa kile kilichotokea. Na Zitto kama mmoja wa wanabodi Wa PAC kama ikimbidi atalitolea ufafanuzi kwa kile anachokijua.
 
Mkuu MSALANI hilo tunalijua kuwa chadema wana watumia vijana wasio jua mambo kama sugu nawengine kumchafua zitto.
Katika hili ndio utaamini Chadema hawana uwezo wa kupambana na Zitto.
Lazima awaumbua naona wameanza kucheza na moto tena lazima watafutane.

Mimi huwa wananishangaza sana.
 
Last edited by a moderator:
Tusiogope tunaowapenda wakikutwa na majanga. Tanzania imejaa majanga, wengi wanatumia imani yetu kwao kutulaza njaa.

Kila jiwe litafunuliwa.
 
Zito ni mchumi,mwanaharakati,mwanasiasa na msanii. Mnategemea nini mkimpa bucha(kamati ya fedha na uchumi ya bunge)mtu huyo?. Ila pia chadema mbona hamzungumzii Mwenyekiti wenu kufanya biashara na chama anachokiongoza?
 
Nyie wapinga ufisadi mbona tukisema Mbowe alipe fedha za UMMA alizokopeshwa hamtaki? Na Mbowe anaonyesha kila dalili ya kutaka "kurusha" deni hilo?

hapo ndio utashangaa
 
na mkaguzi mkuu wa serikali atatueleza pia, it appears he doesn't excute his duties diligently, relationships between zitto,nssf and tanapa has been identified as critical red flags for fraud, but he is always acting like a junior accountant and fail to review it.
 
Sifa za kijinga.....heri kuwa mtumwa wa Calpeters kuliko kuwa mtumwa wa Tumbo (C.H.A.D.E.M.A)....sugu jitathmini sana uwezo wako wa kufikili kwani 2015 sio mbali sana.
Na ndo maana mimi siku zote huwa nina wasiwasi na uwezo wa kufikili wa huyu mwana Ubongo wa Fleva

Kwani kaongea kama Sugu au anawakilisha maoni ya kundi lake? Tusikurupuke kubeza watu tujaribu kuja na facts zinazo jibu issues katika hoja iliyopo.
 
Zityo anakusanya mtaji jamani kuendesha chama kipya siyo kazi rahisi lazima uwe vema kifedha na vile anajua umaarufu waelekea ukingoni najua hata bungeni hatarudi
Fanya faster ZZK chukua chako mapema
 
Inaonekana ndani ya Chadema hakuna wa kumuamini!
Mbowe ana daiwa na LAPF mamilioni ya shilingi,Mbowe ana daiwa na NHC mamilioni ya kodi jengo la billicanas!
Zitto haya yote aliyafanya akiwa Chadema!
Dr slaa alijikopesha mamilioni ndani ya chadema!
Chadema kuna haja ya kuangalia maadili ya chama chenu
 
Nimesikia mengi sana...
1. Mabilioni ya Switzerland (Uswiz)
2. Mamilion ya EPA
3.Mamilioni ya Richmond
4.Mamilioni ya TPA
5.Mamilioni ya...................
6.
Kumbe kuna mamilioni ya PUGU road.......

Endeleeni kupiga kelele kuwa Tanzania ni maskini
 
Back
Top Bottom