Joseph Mbilinyi 'Sugu' amlipua Zitto Kabwe

Joseph Mbilinyi 'Sugu' amlipua Zitto Kabwe

Ha ha hs ha....Zitto yupi atii??? Huyu ambaye hana mvuto hata kwa panya...????

Hebu niambie ni Zitto yupo..

Saliti kiongozi wa masalia. The Alliance for Cowards in Tanzania =ACT
 
Tutegemee sarakasi mpya za siasa, ngoja Zitto aje kujibu ndio tupime ukweli.
 
Last edited by a moderator:
Hawa ni sehemu ya Dola!
Ukitaka ufahamu vizuri angalaia Mama yake Zitto Kabwe anavyohudumiwa na Dola ndani na nje ya nchi!!
Wakati mama Zitto Kabwe akiwa ICU taarifa hizo zimesitua watawala hadi kwenda haraka kwenda kumuona kuliko hata Vicky Kamata ambaye ni danguro lao!
Zitto Kabwe na Mama Zitto Kabwe ni sehemu ya watawala wa sasa hata Mungu akiamua utaona huko Kigoma
Utanikumbuka!!

bila KUMUNG'UNYA maneno NASEMA KWAMBA WEWE UNA AKILI SANA .
 
Hivi kweli Sugu anaweza kupambana kwa hoja na zitto.
Kwakweli chadema mna jiaibisha sana.

Nssf ina mdai mbowe hadi sasa hajalipa.

hOJA ZA ZITOO NI KUWA NI MWIZI aliyekubuhu sasa CAG akague kampuni leka ditigite yeye akiwa na hisa zaidi ya asilimia 95
 
Watu wanapiga hela jamani Dah!Milioni 120 kiulaini namna hii?Zitto huyuhuyu ninayemfahamu mimi au Mwingine?Acha watu wauane kwenye Ubunge hamna sehemu inayolipa kama hii.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Chadema hawana sera wanajidhirisha kuwa wao ni dhaifu.kwn kila mtu akilipuliwa itakua balaa.mi wananikera
 
Umeambiwa hizo nyaraka hata ofisi ya Spika inazo. Shirikisha brain ujue zimefikaje kwa spika na spika anakaa nazo za nini

Ndiomana kama ni mtu mwenye uelewa mpana wa nyanja za kisiasa, inabidi usubiri na upande wa pili ujitetee ndipo mjadala uanzie hapo, lakini sio kama hivi.
 
Ukiona mtu hapa anatetewa fasta fasta na MSALANI pamoja na LIZABONI, hakuna haja ya kuuliza tena, fahamu moja kwa moja kwamba huyo mtu ni wa Chama kilichotangaza maisha bora kwa kila Mtanzania, ambayo mpaka leo, hayapo !!!!

Hahahahaha!! Mimi huyu zitto nilikuwa namkubali sana lakini baada ya kugundua uchafu wake toka chanzo changu makini cha habari nilimpuuza kabisa nikasema kama siasa ndivyo zinavyotumika basi hatuna wanasiasa.huyu zitto hafai kabisa mpuuzeni yaani ni bora ya Yuda baada ya kumsaliti Yesu alijinyonga
 
Kama kapotea iweje muendelee kumsakama? CHADEMA hata aibu hawana. Mwenzao anaugulwa na mama yake mzazi, wao kazi ya kumsakama
Kumbe kumtaja mwizi ni kumsakama..
CCM-chukua chako mapema
 
Kama kapotea iweje muendelee kumsakama? CHADEMA hata aibu hawana. Mwenzao anaugulwa na mama yake mzazi, wao kazi ya kumsakama
mwizi ni mwizi kuuguliwa na mama yake hakumfanyi asiwe mwizi mama ye apone ili ashuhuduie mwanawe akitiwa pingu kwa wizi
 
vielelezo vitawekwa tu Zitto mwizi walishasema anatumia kila fursa kuchota fedha za NSSF na Tanapa

Yes..! Ndiomana tunasubiri vielelezo zaidi kutoka upande wa upinzani na Zitto mwenyewe thenly mjadala uanzie hapo.
 
Last edited by a moderator:
Katika mambo yanayo niudhi ni hili la wapinzani wao wenyewe kushambuliana badala ya kunoa mapanga kupambana na Liccm ninyi mnapambana wenyewe nini malengo yenu sasa

Hivi hizi Milioni mia ninyingi kuliko bil 200 zilizochotwa na viongozi wa serikali na chama kwanini msiunganishe nguvu kutusemea wanyonge ili mapesa haya yarudi kama zilivyorudi pesa za rada jamani upinzani nani kawaroga kiasi cha kuanza kuumbuana hadharani kiasi hiki??!!!!!!!

BACK TANGANYIKA


Kwanza nianze kwa kucheka haaaahaaaaaaaaaa
Sugu kajipange upya huwezi kushindana na maji
Hotuba yako yote imejaa umbea na kumlenga mtu sijaona ulchochangia zaidi ya kumtaja mtu
Bajeti uliowasilisha umesahau vipaumbele vya kuwezesha vijana namna gani wataweza kunufaika na michezo namna gani vijana wanabanwa kwenye tasnia kama filamu mpira ngumi au vifaa vya michezo wapunguziwe kodi

Wewe unakuja na chukiAko za kumlenga mtu 1 hutuba yote kama vile mtu huyo ndio anaewabana wanamichezo

Waliokupangia hiyo hotuba walishaona wao wameshindwa kumshusha zzk kisiasa ndio wameona wakupewewe ulisha jifia kwenye ramani ya siasa
 
Siasa chafu za kutumia bunge tukufu kumchafua mbunge mwenzako,mwanasiasa mahiri asiyelingana uwezo wako!je unadhani itasaidia kukinusuru chama chako kuingia kaburini?je unadhani watanzania wa leo ni wale wa jana?na je unadhani uongo utaishi kilasiku na kuweza kufunika ukweli?zitto atabaki kuwa shujaa katika siasa hizi za mageuzi na heshima yake haitavunjwa na wanasiasa wenye uwezo mdogo na wenye kukubali kulipwa pesa za kumchafua mtu hebu jaribu kupima uzushi huo dhidi ya chuki yenu kwa zitto je imeweza kumbomoa?kama mlitumia bilioni mbili na hamkufanikiwa je mtamuweza kwa uzushi huo?,ushauri fanyeni siasa kwa manufaa yenu na sio manufaa ya watu
Historia ya uzito ni utapeli na wizi ,hamsini zake zimekamatwa sasa auguze halafu aje kujibu wizi anaopiga kwa mgongo wa Jakaya
 
Ccm wanamuharibia Zito. Why kila Zito akishutumiwa au kutuhumiwa,watu wa ccm ndio huwa fasta kumtetea. Mfano Lizaboni na Msalani humu jf. Why?
Zito anatumika ccm,hapa ndipo unapopata picha Zitto yupo kutimiza dhamira ya ccm
 
Back
Top Bottom