Joseph Mbilinyi 'Sugu' amlipua Zitto Kabwe

Joseph Mbilinyi 'Sugu' amlipua Zitto Kabwe

Hii ni mistake nyingine ambayo upinzani imecheza bungeni, Ukisoma hiyo hotuba ya sugu bila ushabiki utagundua kwamba ni muendelezo wa siasa chafu zisizo tija, Huku ni kuzua mijadala mipya isiyo tija kwa taifa, ngoja tusubiri naye Zitto atasema nini lakini huku ni kumpandisha kisiasa bila kujua.

HURUMA SANA SIASA ZETU
Mkuu subiri uone watavyo tafutana.
 
Last edited by a moderator:
Bethelhem na Njano 5 aka Dotto leteni mashairi juu ya mgongano wa maslahi.
NB.Zitto kumbuka kuwa sasa hamna ''kutonyana'' kama ulivyosema
 
Ni kweli wasanii wote wa bongo fleva hawataki kumskikia na hawana amu nae,toka alipowaingiza town Leka Dutigite..mpka imefikia wanamuimba kwenye nyimbo zao asiwafatefate na sasa kiukweli ujumbe ameupata

chek hapa chini..............

Aiseeee! Kumbe Zitto alilitelekeza kundi la Kigoma All stars? Hebu ngoja tuendelee kuchomba ukweli humu.
 
Last edited by a moderator:
Hope this time UKAWA wataenda Musoma vijijini, maana hela Mbowe alizopokea kutoenda kufanya kampeni kule mkataba wake umeisha!!!

Duh! La mwenyekiti wa CDM kudaiwa na NSSF halijaisha limekuja la mwenyekiti wa ACT kufanya biashara na NSSF.
 
Peleka upuuzi wako kwa wapuuzi wenzako,humu tunataka facts
chek maneno ayo...mtu kalamba mamilioni wakati wasanii hawajapata ata sh kumi

 
Last edited by a moderator:
Sifa za kijinga.....heri kuwa mtumwa wa Calpeters kuliko kuwa mtumwa wa Tumbo (C.H.A.D.E.M.A)....sugu jitathmini sana uwezo wako wa kufikili kwani 2015 sio mbali sana.
Na ndo maana mimi siku zote huwa nina wasiwasi na uwezo wa kufikili wa huyu mwana Ubongo wa Fleva

Kama n ukweli sugu ana kosa gani hapo.?
 
Katika mambo yanayo niudhi ni hili la wapinzani wao wenyewe kushambuliana badala ya kunoa mapanga kupambana na Liccm ninyi mnapambana wenyewe nini malengo yenu sasa

Hivi hizi Milioni mia ninyingi kuliko bil 200 zilizochotwa na viongozi wa serikali na chama kwanini msiunganishe nguvu kutusemea wanyonge ili mapesa haya yarudi kama zilivyorudi pesa za rada jamani upinzani nani kawaroga kiasi cha kuanza kuumbuana hadharani kiasi hiki??!!!!!!!

BACK TANGANYIKA

Kwani Zitto mpinzani!!!!!!
 
chek maneno ayo...mtu kalamba mamilioni wakati wasanii hawajapata ata sh kumi


Zito ana kirusi cha ccm,hakuna tiba tena jamaa ndio kawa mwizi oooooop apumzike kwa amani..
 
Last edited by a moderator:
Mkuu sio 2015 tu. CHADEMA hawatakaa waupate urais wa nchi hii milele na milele.

endelea kuota ndoto za saa tisa mchana na utabiri wako mufilisi, lakin nilishakuambia uwaeleze hao waliokutuma hiki unachokifanya hapa kuwa siku baba zao wametoka hapo, tutakata m.a.p.u.m.b.u baada ya kujibu kwa nini walikuwa wanafanya money laundering! kumbuka hili kila siku pse, wewe huna kosa njaa inakusumbua.
 
Back
Top Bottom