Riziki Magembe
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 886
- 206
mimi nadhani sio maana ya sugu kuwa ana pambana na zitto ila anaweka wazi ukweli kama kawaida ya sugu hana mchezo wa kubana pua mbele ya waharifu;kwani sio kweli?
Si kweli ...mimi nadhani sio maana ya sugu kuwa ana pambana na zitto ila anaweka wazi ukweli kama kawaida ya sugu hana mchezo wa kubana pua mbele ya waharifu;kwani sio kweli?
Ccm wanamuharibia Zito. Why kila Zito akishutumiwa au kutuhumiwa,watu wa ccm ndio huwa fasta kumtetea. Mfano Lizaboni na Msalani humu jf. Why?
Jamani kwani kuna ubaya kwa mbunge kuwa na kazi nyingine ya kitaaluma.
Mbona Tundu Lisu wanatetea watu mahakamani. Au mh Mtemvu ana kampuni nayotuletea wafanyakazi wa ndani na madereva huku Uarabuni. Je kuna Ubaya au akifanya Zitto ndio kosa.
Kama wameona ame corrupt popote basi waifikishe kampuni Mahakamani na sio kumchafua Zito bungeni.
Pole sana Sugu kwani Zitto ana ilmu kubwa sana kuliko wewe na wenzako.
Waambie hawa kumlinganisha Sugu na ZZK sawa umlinganishe Mess na Boban sunzuJamani kwani kuna ubaya kwa mbunge kuwa na kazi nyingine ya kitaaluma.
Mbona Tundu Lisu wanatetea watu mahakamani. Au mh Mtemvu ana kampuni nayotuletea wafanyakazi wa ndani na madereva huku Uarabuni. Je kuna Ubaya au akifanya Zitto ndio kosa.
Kama wameona ame corrupt popote basi waifikishe kampuni Mahakamani na sio kumchafua Zito bungeni.
Pole sana Sugu kwani Zitto ana ilmu kubwa sana kuliko wewe na wenzako.
We toa pumba hizo,utajengaje taifa kwa kufuga wezi,tumia akili usiwe kama mkasi..Sikuwahi kutegemea kama CHADEMA itafikia level siasa rahisi na za kitoto kiasi hiki.
Sitaki kuamini kama kweli haya yaliyosomwa na Sugu ndio maoni ya KAMBI RASMI YA UPINZANI inayowajumuisha wenyeviti wawili wa vyama vya siasa.
Ifiki kipindi kambi yenye watu makini hadi maprofesa ikaja na maoni mbadala ya kulikomboa taifa hili.
Kwa mwendo huu, upinzani kushika dola Tanzania, we have to wait another millennium.
Thread inatambaa vibaya mno huu ni uthibitisho ZZK ni maarufu kushinda Mbowe,Mbowe alituhumiwa juzi watu waka kaa kimya...hii scandal ya kijinga I know the guy is going to kick it off easily
Ndio maana wanakuita ajuza akili huna kabisa,kule mahakamani alifata nini?Zitto kawashika pazuri chadema. Hawapati usingizi, chama kiko ukingoni mwa kaburi.
Wawashukuru CUF na NCCR wanaowabeba kwa sasa.