Chris Lukosi
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 4,583
- 2,947
Elimu sio kipimo cha uongozi,You can't expect more from him. He's Form 4 leaver.
mimi ni form 4 na nilikuwa naongoza ma Dr na professors, the same to Mbowe.
Unaweza kuwa msomi lakini ukawa hujaelimika kama akina Dr Pauline na wengineo.
Unaweza kuwa msomi lakini huna kipaji cha uongozi na unachojua ni chaki tu vumbi tupu hata maisha yako yakawa sawa na hakuna
Wengine wasomi hapa UK na wana phd lakini ni walinzi tu tesco wakati sisi mnaotudharau form 4 ni wakurugenzi