Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu

Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu

mbeya education trust fund..mfuko wa elimu ambao sugu kaunzisha kusomesha watoto wa mby mpaka vyuo vikuu karbt sana ukifika uulize usikulupuke kutafuta umaaru humu jf
 
And u only expect more from Jk because he's doctorate leaver!

Upumbavu juu ya upumbavu mwingine shida tupu!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

From Gentleman Pass UDSM to PhD ya UDOM hahahaaa
 
We kweli tutusa. Mbona Mulugo au Wassira au Pinda huulizi na wao kwa nini huwaoni wakichangia? Michango huwa ya maneno na maandishi. Nenda kwenye hansard kwanza uone...

Kwanza anatakiwa kujua kuwa shughuli ya mbunge si kuchangia tu bungeni..awaulize wananchi wa jimbo lake waseme mambo aliyoyafanya sugu mpaka sasa.

Kwanza serikali yenyewe sio sikivu. Kama serikali ingekuwa inasikia maneno ya wawakilishi wa wananchi basi matatizo ya maji ubungo yasingekuwepo mpaka leo ikiwa mnyika amepiga kelele namna hii.Je kuna tija kuendelea kulalamikia serikali isiyo sikivu ikiwa haitosikia?
 
sio kila kinachotolewa hapa wanachadema tupinge.wafuasi wote chadema wanaweza toa maoni kwenye vikao vya chama?ujumbe ukitolewa muhusika ajirekebishe mnakuwa kama maccm yaliyokuwa lumumba kusubir buku 7?chadema tunasaidiana kimawazo ili kufikia pale tunapokusudia ila kwa sasa badala ya kujadili hoja za maana tunalumbana na magamba.sion shida ya hoja aliyoitoa mtoa mada naiunga mkono Sugu ajirekebishe.hakupelekwa bungeni na ze comedy wala rage au jay dee na wengineo.wanambea wanataka maendeleo na atimize ahadi full stop.
 
Bora hata sugu anayetetea haki za wasanii..,jE unasemaje kwa wale wasio fungua mdomo kwa chochote>>??
 
Bora hata sugu anayetetea haki za wasanii..,jE unasemaje kwa wale wasio fungua mdomo kwa chochote>>??

kweli kabisa kama mbunge wa NAMTUMBO VITA kawawa sijawahi kumsikia hata siku moja bungeni.
 
sio kila kinachotolewa hapa wanachadema tupinge.wafuasi wote chadema wanaweza toa maoni kwenye vikao vya chama?ujumbe ukitolewa muhusika ajirekebishe mnakuwa kama maccm yaliyokuwa lumumba kusubir buku 7?chadema tunasaidiana kimawazo ili kufikia pale tunapokusudia ila kwa sasa badala ya kujadili hoja za maana tunalumbana na magamba.sion shida ya hoja aliyoitoa mtoa mada naiunga mkono Sugu ajirekebishe.hakupelekwa bungeni na ze comedy wala rage au jay dee na wengineo.wanambea wanataka maendeleo na atimize ahadi full stop.

Asante mkuu. Sijui wanamtetea kwa kipi hasa!!
 
Inaonyesha wewe jambazi la mziki
 
Kwanza nadeclare interest me ni CHADEMA.
Huyu mkuu huwa hachangii chochote akiwa bungeni, labda ishu ihusu bongo fleva au Ruge.
Ameshindwa hata na Maji marefu ambaye huuliza maswali ya nyongeza na ya msingi kuhusu wapiga kura wake.
Ivi Mbeya mjini hamna matatizo ya maji, barabara , shule na clinic kweli?

Anadhani alichaguliwa kwa ajili ya kuongelea hati miliki za wasanii?

Mbeya mjini hatuna mbunge
 
Huyu atakuwa mwigulu tu ndo mwenye akili hzi auuuuuuu hivi haya magamba yameshaishiwa hata cha kuongelea
 
Mara ngapi sugu kaongelea uwekezaji kwenye utalii mbeya, kuhusu machinga, barabara,watendaj wa halmashaur, na kwa faida tu tafuta hansad za bunge.
 
Mwenye uwezo ni Mtume na Nabii, Senior Pastor Hon. Dr. TB Getrude Pangalile Lwakatare, a PhD holder?

Mkuu ukianza mambo ya kutaja wachungaji na mapadri nadhani huko wamejaa sana.
 
Ok thread closed.
Make nimewakilisha kilio cha wengi, badala yke mashambulizi yanakuja kwangu ambaye sio mbunge.
 
Sugu hana uwezo wowote katika masuala ya kisiasa.

Wewe unao uwezo wa masuala ya kisiasa? Au ndio kubebwa tu?
Subiri Fagio la M4C lipite watu kama wewe tutawasahau kama mlikuwepo ktk siasa za Tanzania.
 
Wewe unao uwezo wa masuala ya kisiasa? Au ndio kubebwa tu?
Subiri Fagio la M4C lipite watu kama wewe tutawasahau kama mlikuwepo ktk siasa za Tanzania.

Mimi siyo mwanasiasa, Sugu hawezi hata kuchambua bajeti yoyote yeye kila siku mambo ya Clouds tu.
 
kweli kabisa kama mbunge wa NAMTUMBO VITA kawawa sijawahi kumsikia hata siku moja bungeni.
Huyu jamaa anabebwa kwa jina la baba yake,uwezo hapo sifuri kabisa,bungeni wanajaza nafasi tu,na kula posho....
 
Mimi siyo mwanasiasa, Sugu hawezi hata kuchambua bajeti yoyote yeye kila siku mambo ya Clouds tu.

kama siyo mwanasiasa ni nani sasa,na kama hujui siasa kwa nini useme Sugu hana uwezo?
 
Back
Top Bottom