Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu

Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu

Taitizo kubwa huwa hufuatilii bunge,unajua kuwa wabunge hupeleka maswali kwanza ndipo mda ukifika wapewe nafasi ya kuulza,wapinzani mwaswali yao lazima yajadiliwe kwanza na magamba ccm na ndipo nafasi zitolewe,,kama unaakili malzia kufikili..sugu ametoa michango mingi sana na sio sawa na wabunge uliowataja wanawatumia wananchi kwa manufaa yao,,kama baadhi ya wabunge wanamahekalu kama ikulu na ahadi wanazozitoa huwa hawatekelezi hata kidogo.naomba kuwasilisha hoja.
Kwanza nadeclare interest me ni CHADEMA.
Huyu mkuu huwa hachangii chochote akiwa bungeni, labda ishu ihusu bongo fleva au Ruge.
Ameshindwa hata na Maji marefu ambaye huuliza maswali ya nyongeza na ya msingi kuhusu wapiga kura wake.
Ivi Mbeya mjini hamna matatizo ya maji, barabara , shule na clinic kweli?

Anadhani alichaguliwa kwa ajili ya kuongelea hati miliki za wasanii?
 
kwanza nadeclare interest me ni chadema.
Huyu mkuu huwa hachangii chochote akiwa bungeni, labda ishu ihusu bongo fleva au ruge.
Ameshindwa hata na maji marefu ambaye huuliza maswali ya nyongeza na ya msingi kuhusu wapiga kura wake.
Ivi mbeya mjini hamna matatizo ya maji, barabara , shule na clinic kweli?

Anadhani alichaguliwa kwa ajili ya kuongelea hati miliki za wasanii?
acha umbulula wewe sisi huku kwetu ndo rais wetu,twambie wewe mbunge wako nani ili tumfananine na yeye,saizi sisi machinga tunafanya kazi kwa raha sana.wewe ingia kwenye web ya bunge angalia profile ya sugu usiwe mvivu wa kutafuta habari na kupost upuuzi.
 
Waso0mi wengi wanaojiita wasomi na kudharau wasiosoma kama wao wengi maisha yao hovyo tu.

Bill gates kilaza lakini kaajiri wasomi lukuki

MIMI CCM LAKINI SIJAPENDA WATU WANAVYOMNANGA SUGU KWA SABABU SIO MSOMI

Mbona hata ccm tuna wabunge wengi tu wasioenda shule? hebu niwaulize mnamfgahamu ALLY KESSY wa nkansi?

Mimi namfahamu na najua mzee hata la saba hakufika ila ana kipaji cha hali ya juu kwenye biashara

bigates sio kilaza ... tofautisha Kati ya college / uni droupout na failure...

ni. matusi kusema bilgate ni kilaza... mtu umejifelia form four au kupata zero unakuja ku justify na maisha aliyopitia bilgates
 
nakumbuka mwl wangu wa grammar alinifundisha moja ya matumizi ya conditional sentences ni kujifariji..ok yaishe tusije wafaidisha watu
wala sijifariji mkuu hivi wewe wajua mm nafanya kazi atika mazingira gani??
FYI katika watu ambao ni so prosperous naweza kuwa mmoja wao kiuchumi na ki kila kitu na najua nikipatacho chanitosha kuish bila mawazo hata kama nitalala kitandani kwa ugonjwa na kamwe siwez kuudharau ualimu manake ndio ulionifikisha hapa nilipo leo hii. matumbo nachukia komenti kama zako ambazo zinadhalilisha fani ya ualimu kitu ambacho sio kweli. mwl kutokana na elimu yako waweza kuwa na mafanikio makubwa sana tena kuliko hata huyo unayedhan ni mbunge ama la. nilipo mm sasa hivi kwa fani yangu, kila mwaka nabadilishiwa office funiture na serikali, na kila mwezi nasafishiwa kiyoyonzi kisinipe mafua lkn ni mwl.
 
Last edited by a moderator:
Thread hii nimegundua form four leavers wengi wa JF wana inferiority complex .. maana povu wanalomwaga its ok guys form ni elimu tosha kuliko yule asiyesoma / hakusoma kabisa ... Ndo maisha ...
 
Tatizo umesahau kuwa kuna kumbukumbu zako nyingi humu ndani ukiwaponda chadema sasa nashangaa unaposema eti wewe ni CHADEMA,anyway cku imeshapita wahi buku saba zako lumumba.
 
Very Simple,wewe ni gamba na unachuki binafisi na sugu,nadhani bado unakumbukumbu na alivyowafanya mbaya 2010
 
Kwanza nadeclare interest me ni CHADEMA.
Huyu mkuu huwa hachangii chochote akiwa bungeni, labda ishu ihusu bongo fleva au Ruge.
Ameshindwa hata na Maji marefu ambaye huuliza maswali ya nyongeza na ya msingi kuhusu wapiga kura wake.
Ivi Mbeya mjini hamna matatizo ya maji, barabara , shule na clinic kweli?

Anadhani alichaguliwa kwa ajili ya kuongelea hati miliki za wasanii?
we j-i-nga ujui sugu ni waziri kivuri wa sector hiyo?
 
Kwanza nadeclare interest me ni CHADEMA.
Huyu mkuu huwa hachangii chochote akiwa bungeni, labda ishu ihusu bongo fleva au Ruge.
Ameshindwa hata na Maji marefu ambaye huuliza maswali ya nyongeza na ya msingi kuhusu wapiga kura wake.
Ivi Mbeya mjini hamna matatizo ya maji, barabara , shule na clinic kweli?

Anadhani alichaguliwa kwa ajili ya kuongelea hati miliki za wasanii?

Mleta mada umekosea!!! Pengine una lako jambo na Sugu!!! Sugu amekuwa akichangia mambo mengi sana bungeni tena kuwazidi hata wabunge wa SSM yako (nachelea kusema wewe si mpenzi wa CDM) ambao ni wasomi. Wasomi wenu hawa kazi yao ni kusinzia wakisubiri makofi kuwaamsha. Sugu ni form four leaver na amejitahidi sana. Kina Lowasa wamechangia kwa kiasi gani bungeni? Na wengine wengi tu wa chama tawala na upinzani wako kimya hadi Sugu anawashinda. Au unataka watu waweke video clips au Hansard kuonesha michango ya Sugu. Walk with evidence mkuu.
 
Kwanza nadeclare interest me ni CHADEMA.
Huyu mkuu huwa hachangii chochote akiwa bungeni, labda ishu ihusu bongo fleva au Ruge.
Ameshindwa hata na Maji marefu ambaye huuliza maswali ya nyongeza na ya msingi kuhusu wapiga kura wake.
Ivi Mbeya mjini hamna matatizo ya maji, barabara , shule na clinic kweli?

Anadhani alichaguliwa kwa ajili ya kuongelea hati miliki za wasanii?
Mbuzi wewe nenda kajipange unatoa hoja dhaifu kutarajia ujibiwe mambo mazito majibu yako ni mepesi tu. moja inaonyesha wewe sio mkazi wa jimbo la mby mjini, pili umetumwa, tatu unataka kutoka kupitia Sugu, Tatu kawambie walio kutuma wajipange kuhusu Sugu mana hata muweke nini leo Sugu anakubalika mby mjini CCM go to hell
 
Mimi ninachoona kwa siasa za kibongo, kila mtu anaziweza! Very frustrating!
 
Anachangia sana hasa zzk, polisi kubambikiza kesi, maslahi ya wasanii, barabara, uwanja wa songwe, machinga, elimu nk.
 
wala sijifariji mkuu hivi wewe wajua mm nafanya kazi atika mazingira gani??
FYI katika watu ambao ni so prosperous naweza kuwa mmoja wao kiuchumi na ki kila kitu na najua nikipatacho chanitosha kuish bila mawazo hata kama nitalala kitandani kwa ugonjwa na kamwe siwez kuudharau ualimu manake ndio ulionifikisha hapa nilipo leo hii. matumbo nachukia komenti kama zako ambazo zinadhalilisha fani ya ualimu kitu ambacho sio kweli. mwl kutokana na elimu yako waweza kuwa na mafanikio makubwa sana tena kuliko hata huyo unayedhan ni mbunge ama la. nilipo mm sasa hivi kwa fani yangu, kila mwaka nabadilishiwa office funiture na serikali, na kila mwezi nasafishiwa kiyoyonzi kisinipe mafua lkn ni mwl.

hongera kwa fenicha na kiyoyozi cha ofisini, ata icho ni cha kujivunia...........
 
Back
Top Bottom