Nikukumbushe
JF-Expert Member
- Jun 4, 2013
- 2,602
- 408
Huyu jamaa anabebwa kwa jina la baba yake,uwezo hapo sifuri kabisa,bungeni wanajaza nafasi tu,na kula posho....
Umeona eeee.
Huyu jamaa anabebwa kwa jina la baba yake,uwezo hapo sifuri kabisa,bungeni wanajaza nafasi tu,na kula posho....
kama siyo mwanasiasa ni nani sasa,na kama hujui siasa kwa nini useme Sugu hana uwezo?
Hivi hmjua kua ccm ndiyo kuna wabunge wengi ambao hawana mchango wowote kwa majimbo yao? Mfano mbunge wa Singida Mjini (Dewji) toka ameingia Bungeni amechangia nini na mara ngapi? Iliingia kwa kuwahonga wapiga kura hana uwezo wowote.
Mimi ni mpiga kura, kwani wewe ni mwanasiasa.
you are damn right!
Mbeya mjini hatuna mbunge
Si bora ya yeye form4 kuliko wewe uliepigwa mimba darasa la sita ukaishia hapohapo.You can't expect more from him. He's Form 4 leaver.
sugu kama msanii asipolisimamia la hati miliki nani atawasemea wasanii
Mkuu ukianza mambo ya kutaja wachungaji na mapadri nadhani huko wamejaa sana.
Mkuu Ritz mbona hata wewe kwenye mijadala ya Kiingereza humu ndani huwa unaingia mitini?Mimi siyo mwanasiasa, Sugu hawezi hata kuchambua bajeti yoyote yeye kila siku mambo ya Clouds tu.
Mkuu KakaJambazi kama wewe ni CHADEMA peleka malalamiko yako kwenye ofisi za CHADEMA siyo ulete hapa jamvini utaishia kupata staili yako kutoka kwa makamandaMi siko apa kuwasaidia ccm ili waendelee kututawala tena miaka 50.
Mkuu ukianza mambo ya kutaja wachungaji na mapadri nadhani huko wamejaa sana.
Kama ulivyo wewe tutusa kwenye mambo ya maana. Unachokijua wewe ni Mohamed Said na umbea wenu.Sugu hana uwezo wowote katika masuala ya kisiasa.
Mnaye mtu gan kama si mbungeMbeya mjini hatuna mbunge