Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,242
- 90,420
Hahahaha mie nadhani zilikua zinaongeza uzalendo labda ni vile ilikua inagusa story za idara ukizingatia kipindi kile cha ukomboziSana. Hasa ile issue ya almasi za mwadui ni noma sana. Watu walizipenda mno ndio maana Nyerere akaona hawa jamaa watajifunza haya mambo iwe shida, akazipiga marufuku eti zinafundisha ujambazi kumbe hata yeye alikuwa anazisoma


