Joram kiango vs Willy Gamba

Aliyeandika watoto wa mama ntilie alitisha sana. Wanadai hao kina gamba et al walikuwa wana copy iriwaya za kizungu za kina chase na kuzileta kwa kiswahili japo siamini hili.
Nafikiri wanalinganisha maudhui ya kiupelelezi ndo mana wanasema hivyo ila kiuhalisia sioni kufanana kwa kazi zao labda waseme ni riwaya gani wamecopy kutokea huko tulinganishe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom