Chase hajawahi kuwa na riwaya za state sponsored espionage kama Njama. Amnazo zilikuwa typical Musiba style.
Bora hata ungesema Musiba kamgeza Ian Fleming na James Bond.
But this is genre.
Ni sawa na kusema Justin Kalikawe kamgeza Bob Markey kuimbabreggae, wakati Justin aliimba reggae katika muktadha wa Kitanzania, akielezea mambobya Tanzania, kwa Kiswahiki, na hata Kihaya.
Unaweza kusema Musiba alikuwa inspired na Ian Fleming, au Justin Kalikawe alikuwa inspired na Bob Markey.
Lakini kuwa inspired si kugeza, na katika sanaa, inspiration inapatikana popote pale.