Edo kissy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 3,991
- 10,405
Bila sha
Mkuu unaweza kunisambazia upendo wa hizi
Mkuu unaweza kunisambazia upendo wa hizi copy.
Mkuu unaweza kunisambazia upendo wa hizi
Mkuu unaweza kunisambazia upendo wa hizi copy.
Mtunzi marehemu A. E. Musiba alikuwa na binamu yake ambaye jina lake halisi ni Wilson Gamba na yupo hai hadi hii leo. Jamaa akaamua kumuinua kidogo huyo binamu yake kwa kurekebisha kidogo jina lake na kuwa Willy Gamba na kulitumia kwenye vitabu vyake vyote.mine goes to Willy Gamba, nilimsoma nikiwa primary school ikanifanya nikawa kila nikifungua mlango lazima nichungulie kwanza nyuma ya mlango kwanza ndiyo niingie ndani😃😃, it comes with a lot of memories
Willy Gamba hats off.mine goes to Willy Gamba, nilimsoma nikiwa primary school ikanifanya nikawa kila nikifungua mlango lazima nichungulie kwanza nyuma ya mlango kwanza ndiyo niingie ndani😃😃, it comes with a lot of memories
Hahah ili usije kushtukia unaambiwa "Tafadhali kaa ulivyo wala usisogee hata nchi moja la sivyo utapata idadi ya risasi zilizomwingia huyo mshezi karibu nawe hapo"mine goes to Willy Gamba, nilimsoma nikiwa primary school ikanifanya nikawa kila nikifungua mlango lazima nichungulie kwanza nyuma ya mlango kwanza ndiyo niingie ndani😃😃, it comes with a lot of memories
Ukikipata fanya kunishtuaHicho bado sijakisoma kama hutojali nitumie 'softcopy' nikisome
Mkuu na mimi pia, sina softcopyBila shaka
Zipo hapo juuMkuu na mimi pia, sina softcopy
The football, Hivi hii ni nzuri? Ninacho ila hata sijakisomaMethew mulumbi ......
Mwandishi ... Patrick CK
huyu ni mwisho wa matatizo ....kanipa mbinu Moja ya kuwa mkorofi.....ila nisichukie nnapokorofishwa
Vitabu vyake baadhi
The football
Peniela
Secret society.... Etc
Asante nimezionaZipo hapo juu
EnjoyAsante nimeziona
Bonge la kitabu Hilo .....( Hio football haizungumzii soccerThe football, Hivi hii ni nzuri? Ninacho ila hata sijakisoma
....
Ni ujasusiHicho secret society kinazungzia Jinsi viongozi wanavyowekwa madarakani na jamii za nguvu hapa Dunian ....full ujasusiThe football, Hivi hii ni nzuri? Ninacho ila hata sijakisoma
Vishushe hapa mkuuBonge la kitabu Hilo .....( Hio football haizungumzii soccer....
Ni ujasusi
Nitaianza leoBonge la kitabu Hilo .....( Hio football haizungumzii soccer....
Ni ujasusi
Vipo Kwa PC ....kesho ntavitumaVishushe hapa mkuu
Asante mkuu ngoja nivipitie nitakupa mrejeshoHicho secret society kinazungzia Jinsi viongozi wanavyowekwa madarakani na jamii za nguvu hapa Dunian ....full ujasusi
Sina soft copy mkuu.Hicho bado sijakisoma kama hutojali nitumie 'softcopy' nikisome