Joram kiango vs Willy Gamba

Joram kiango vs Willy Gamba

Attachments

mine goes to Willy Gamba, nilimsoma nikiwa primary school ikanifanya nikawa kila nikifungua mlango lazima nichungulie kwanza nyuma ya mlango kwanza ndiyo niingie ndani😃😃, it comes with a lot of memories
Mtunzi marehemu A. E. Musiba alikuwa na binamu yake ambaye jina lake halisi ni Wilson Gamba na yupo hai hadi hii leo. Jamaa akaamua kumuinua kidogo huyo binamu yake kwa kurekebisha kidogo jina lake na kuwa Willy Gamba na kulitumia kwenye vitabu vyake vyote.
 
mine goes to Willy Gamba, nilimsoma nikiwa primary school ikanifanya nikawa kila nikifungua mlango lazima nichungulie kwanza nyuma ya mlango kwanza ndiyo niingie ndani😃😃, it comes with a lot of memories
Willy Gamba hats off.

Nakumbuka darasa la nne niliazimwa kitabu cha Njama kilikuwa kinagombewa mtaa mzima. Nikapewa sharti kumaliza kukisoma siku moja tu.

Nilijifungia ndani na kumaliza kukisoma kitabu siku moja tu.

Musiba alikuwa anahadithia Willy Gamba anakaa Upanga karibu na Palm Beach hotel. Enzi hiyo tunakaa Upanga karibu na bodyguard mmoja wa Nyerere yuko fit vibaya sana. Sasa hivi balozi. Basi mimi nikawa nasema usikute huyu ndiye Willy Gamba mwenyewe 🤣🤣🤣.
 
mine goes to Willy Gamba, nilimsoma nikiwa primary school ikanifanya nikawa kila nikifungua mlango lazima nichungulie kwanza nyuma ya mlango kwanza ndiyo niingie ndani😃😃, it comes with a lot of memories
Hahah ili usije kushtukia unaambiwa "Tafadhali kaa ulivyo wala usisogee hata nchi moja la sivyo utapata idadi ya risasi zilizomwingia huyo mshezi karibu nawe hapo"
 
Methew mulumbi ......

Mwandishi ... Patrick CK

huyu ni mwisho wa matatizo ....kanipa mbinu Moja ya kuwa mkorofi.....ila nisichukie nnapokorofishwa

Vitabu vyake baadhi

The football

Peniela

Secret society.... Etc
The football, Hivi hii ni nzuri? Ninacho ila hata sijakisoma
 
Bonge la kitabu Hilo .....( Hio football haizungumzii soccer .... Ni ujasusi
Nitaianza leo
Untitled-1.jpg


Untitled-2.jpg
 
Mimi naipenda zaidi character ya joram kiango mzee wa totoz😃😃.Hivi Kuna mtu alisoma kitabu kinaitwa 'mkimbizi' mhusika mkuu alikua anaitwa 'Tiga Mumba', story yake ilikua nzuri Sana nilisoma nikiwa olevel, simkumbuki muandishi wake.
 
Back
Top Bottom