Joram Kiango yumo kwenye Dar es salaam Usiku,Salamu kutoka kuzimu,Tutarudi na Roho zetu,Zawadi ya Usindi,Pesa zako zinanuka,najisikia kuua tena,Nyuma ya mapazia ,Mikononi mwa Nunda na vingine. Willy Gamba kwenye Njama,Kikosi cha kisasi,Hofu,Kikomo,Kufa na Kupona na Hujuma. Watunzi wote ben Mtobwa na Elvis Musiba wapo vizuri.Nimesoma vitabu vyao wote kila mmoja ana ladha yake .Musiba alimtumia muhusika wake mkuu Willy Gamba kama mtu wa Usalama wa Taifa wakati ben mtobwa alimtumia Joram kiango kama mpelelezi huru