Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 9,293
- 12,874
Gamba ni moto
Sawaa, kama unaweza weka link ya huo uziVipo Kwa PC ....kesho ntavituma
But kuna Uzi wa vitabu upo hapa jf ...utafute vipo
Mimi naipenda zaidi character ya joram kiango mzee wa totoz😃😃.Hivi Kuna mtu alisoma kitabu kinaitwa 'mkimbizi' mhusika mkuu alikua anaitwa 'Tiga Mumba', story yake ilikua nzuri Sana nilisoma nikiwa olevel, simkumbuki muandishi wake.
Sawaa, kama unaweza weka link ya huo uzi
ShukuraniDondosha kitabu chochote cha Simulizi, riwaya au Kitabu chochote cha mafunzo kwa mfumo wa PDF( Softcopy)
Habari zenu za muda huu wana jamvi, kama una kitabu chochote kilichoandikwa kwa lugha ya kiswahili dondosha hapa tupate maarifa kwa pamoja. Wachache wetu tunapata sana maarifa mengi kwenye hivi vitabu na tunajifunza vingi. Mpaka sasa nimegundua tanzania tuna waandishi wazuri sana. Stori zao...www.jamiiforums.com
Yes ni Tuwa, Asante aisee hii riwaya haijawahi kunitoka kichwani,Kuna watu Wana vipaji Sana.
Unayo?Yaani shigongo nakumbuka kililetwa kitabu chake nikiwa form 1
Yes ni Tuwa, Asante aisee hii riwaya haijawahi kunitoka kichwani,Kuna watu Wana vipaji Sana.
No Sina nilisoma siku nyingi paperback alinunua bi mkubwa.Unayo?
Nikumbushe kesho nikupe softcopy ujikubusheNo Sina nilisoma siku nyingi paperback alinunua bi mkubwa.
Japhet Nyan'goroRiwaya ya mwandishi gani?
Sawa mkuu nitashukuru sana.Nikumbushe kesho nikupe softcopy ujikubushe
Patrick ck n hatariMethew mulumbi ......
Mwandishi ... Patrick CK
huyu ni mwisho wa matatizo ....kanipa mbinu Moja ya kuwa mkorofi.....ila nisichukie nnapokorofishwa
Vitabu vyake baadhi
The football
Peniela
Secret society.... Etc
Noma sana huyo jamaaPatrick ck n hatari
Ukiacha hao jamaa wawili waliotajwa hapo, Patrick ck n hatariNoma sana huyo jamaa
Unajutana na methew mulumbi na papaa gosu gosuUkiacha hao jamaa wawili waliotajwa hapo, Patrick ck n hatari
Huyu si ndo wa mfadhili
NdioHuyu si ndo wa mfadhili