CotterPin
JF-Expert Member
- Jul 30, 2018
- 2,396
- 5,006
Pamoja mkuu jamaa ukimsoma ni kama unaangalia movie vileNjama ,kikosi cha kisasi, kikomo
Pamoja mkuu jamaa ukimsoma ni kama unaangalia movie vileNjama ,kikosi cha kisasi, kikomo
Hakika unawajua vyema kongole sanaJoram Kiango yumo kwenye Dar es salaam Usiku,Salamu kutoka kuzimu,Tutarudi na Roho zetu,Zawadi ya Usindi,Pesa zako zinanuka,najisikia kuua tena,Nyuma ya mapazia ,Mikononi mwa Nunda na vingine. Willy Gamba kwenye Njama,Kikosi cha kisasi,Hofu,Kikomo,Kufa na Kupona na Hujuma. Watunzi wote ben Mtobwa na Elvis Musiba wapo vizuri.Nimesoma vitabu vyao wote kila mmoja ana ladha yake .Musiba alimtumia muhusika wake mkuu Willy Gamba kama mtu wa Usalama wa Taifa wakati ben mtobwa alimtumia Joram kiango kama mpelelezi huru
Sawa mkuu soon. Nahitaji siku chache ili nifanye rejea.Unitag pia mkuu😂
Ni baadhi tuu, kuna vingine vingi havipo kama kufa na kupona nk.
Kusadikika...kufikirika au ni ipiMimi Nina ushahidi wa riwaya moja ya Shaaban Robert alicopy Kila kitu kutoka riwaya nyingine. Nilisikitika sana vile napenda riwaya zake. Siku moja nitashusha Uzi wenye jina :
MFANANO USIO WA KAWAIDA KATI YA RIWAYA YA ......YA SHAABAN ROBERT NA HADIDHI ZA.....ZA....
Dar es Salaam usiku ni shida ingine aise!Hakika unawajua vyema kongole sana
Mpk unatamani wewe msomaji ndio uwe Willy Gamba , binafsi naona zilikua zinajenga uzalendoPamoja mkuu jamaa ukimsoma ni kama unaangalia movie vile
Ni ile hadithi fupi na mashuhuri ya "Adili na Nduguze"Kusadikika...kufikirika au ni ipi
Riwaya nyingi za zamani utazipata maktaba za mkoa, ukipata nafasi jaribu kubahatisha unaeza ukakuta kipo katika mkoa wakoKuna riwaya inaitwa BADO MMOJA mtunzi ni D. Sangija ambapo mhusikz mkuu alikuwa ni Mercus Nicholas (Kuzenza Sayuki) nimekitafuta miaka nenda rudi bila mafanikio. Nayo ilikuwa moto wa kuotea mbali. Mtunzi huyo alitunga riwaya nyingine iitwayo PENDO LA KIFO na KUKOPA HARUSI KULIPA MATANGA.
Umejaribu duka la Mkuki na nyota?Riwaya nyingi za zamani utazipata maktaba za mkoa, ukipata nafasi jaribu kubahatisha unaeza ukakuta kipo katika mkoa wako
Kuna sekeseke La Morogoro jamaa alishaacha kashikashi lakini akarudia asili na asili ikapita naye!!!Jacob Matata ni mwisho wa matatizo
Sana. Hasa ile issue ya almasi za mwadui ni noma sana. Watu walizipenda mno ndio maana Nyerere akaona hawa jamaa watajifunza haya mambo iwe shida, akazipiga marufuku eti zinafundisha ujambazi kumbe hata yeye alikuwa anazisomaMpk unatamani wewe msomaji ndio uwe Willy Gamba , binafsi naona zilikua zinajenga uzalendo
Nitajaribu kufanya hivyo mkuu. Ila kukipata hicho kitabu ni kimbembe.Riwaya nyingi za zamani utazipata maktaba za mkoa, ukipata nafasi jaribu kubahatisha unaeza ukakuta kipo katika mkoa wako
Pamoja mkuuSawa mkuu soon. Nahitaji siku chache ili nifanye rejea.
Kipi?Nitajaribu kufanya hivyo mkuu. Ila kukipata hicho kitabu ni kimbembe.
Ni movie kabisaa mkuu sio kitabu tuu😅😅