siku upinzani ukishika dola ni kuwakamata wote waliotutesa ni...KUWAPHIRA TUJezebel mikono yake imejaa damu,nauona mwisho mbaya na mchungu kwake.
Naam!Unadhani!?
WaueniTumechoka na maigizo nafikiri wamechoka siasa...
Asante wameyatakaNaona unafurahia mkuu..hongera kwa ushindi
Samia amejenga shule 26 ambazo watoto wako wa kike wataenda kusomaSamia is not fit to lead the country. She doesn't have it!
Wamefisika kihekima na kibusara.Hii ni nzuri sana.
Wamkate na ;
Lema
Golugwa
Mnyika
Na viongozi wengine...hii nimeipenda
Inchi isha uzwa (tanganyika)Huu Moto unaopaliliwa hautamuacha Samia salama
Sijajuwa Samia ana mpango gani na Tanzania au ni agent wa warabu sisi tupo tu tunashangaa shangaa ndio anatuuza na kuiua Tanzania?
Si ujiunge nao.Ngebe kwenye mtandao hazitakusaidia.Pole sana Chadema
Mnawapigania Watanzania wapumbavu
Wao wapo kimya, nyie mkisota mahabusu
Ni suala la mudaSi ujiunge nao.Ngebe kwenye mtandao hazitakusaidia.
Wanahangaikia tonetone au watanzania?Pole sana Chadema
Mnawapigania Watanzania wapumbavu
Wao wapo kimya, nyie mkisota mahabusu
Endelea kuota.Angalia usijinyee.Ni suala la muda
Nchi itachangamka
Hizo ni kwa wastaarabu. Washenzi wamezoea mijeledi tu.Zile 4Rs za mama zilikuwa kiini macho
Una akili kweli. ? Ccm wanatii sheria ipi ndani ya hii nchi.? Unaishi Tanzania kweli..? Watumishinwangapi wanajiingiza kwemye siasa upande wa ccm na hawaja wahi kufanywa kitu..? Refer hapo kidgo. Yule aliesema wanaonponda raisi samja tukiwaloteza msiwatafute alichukuliwaga hatua na nani..? Alie sema chadema ina sambaza virusi vya magonjwa amefanywa nini..?Uvunjaji wa taratibu za nchi siyo jambo jema!, hata CCM wakitaka kufanya Mkutano hufuata taratibu za kuomba kubali, huyu ameyatafuta kwa nguvu zote.