Waende taratibu hivyo hivyo uzuri wao wenyewe hujiingiza 18 za polisiHii ni nzuri sana.
Wamkate na ;
Lema
Golugwa
Mnyika
Na viongozi wengine...hii nimeipenda
Polisi hata hawahitaji kuwatungia mashtaka
Hao waliobaki pia watajiingiza wenyewe kwenye 18 za polisi
