Mzoea vya kunyonga huyooooooooooooooooooooooooo.Hata hako kadigrii kamoja hapo UDSM alikapata kwa kudesa.
Mzoea vya kunyonga huyooooooooooooooooooooooooo.Hata hako kadigrii kamoja hapo UDSM alikapata kwa kudesa.
Wewe mbona uliishia darasa la saba hatusemi ? Badala ya kuandika 'freedom' unaandika 'fredom' kweli mwalimu wako wa kiingereza ndivyo alikufundisha hivyo ? rudi shule tafadhali elimu ya watu wazima
Mbona wewe unajiita Think Twice, lakini ukweli wenyewe we ni Think Once na Sink Twice.Mimi ni FREDOMFIGHTER, ila kuanza leo nakubatiza kwa jina la Ibilisi utaitwa FREEDOMFIGHTER.
anapewa kwa ku heshima ya kukianzisha au kwa lipi? maana hawajawahi kutoa hata Phd moja tangu kianzishwe.
utingo....mkuu....hiyo ndio point yangu UDOM haijawahi toa Doctorate by profession...... inakuwaje ina mpa mtu Honorary Doctorate
nakosa jibu jamani nisaidieni hapa