JK na Shahada za heshima

JK na Shahada za heshima

Vyuo viko kibao siku hizi. By 2015 atakuwa kishapewa za OUT, SUA, USDM, SAUT, Tumaini, MZUMBE, Ushirika............!!!!!! Hivyo apange ratiba yake vizuri tu anaweza akaweka record ya kuwa na degree nyingi za heshima!!!

Alisema akitoka mtamkumbuka.... nadhani sas niamnza pata maana, yawezekana atakuwa na Phd. 25, Rais wa kwanza Duniani
 
Wanajf, heshima kwenu nyote.

Leo naomba tujaribu kupeana mawazo kuhusu WIMBI LA UTOAJI TUZO NA PhD ZA HESHIMA KWA VIONGOZI.

Binafsi nilizoea kusikia kuwa mwezi november na december kuwa kipindi cha wanafunzi wahitimu VYUONI kutunukiwa shahada zao. Tangu utotoni hadi nilipotunukiwa, lizizoea kusoma magazetini taarifa zikisema WAMETUNUKIWA SHAHADA YA, AMEPATA ZAWADI KWA KUFAULU VIZURI, AMEPEWA SHAHADA YA HESHIMA KWA SABABU ALICHANGIA MAENDELEO YA ELIMU etc

Hiyo isitoshe...nilizoea VIONGOZI kama Nyerere na wengine wakipewa SHAHADA ZA HESHIMA baada ya utafiti kufanyika juu ya mchao wake katika kitu fulani. Mbali zaidi Tuzo hizi na degree tumezioea baada ya wao kustaafu...

Leo wote tuaelewa hali inavyoendelea nchini kwetu kila mahafali tunaambiwa kapewa shahada ya heshima...


Swali, je hizi shahada maana yake ni nini? Je kuna tafiti zilifanyika na kudhihirisha mchango wa hawa wanaopewa...KAMA waliotoa TUZO kwa Dr Slaa walivyoeleza machakato na matokeo kwa kipindi cha miaka 5?

Hebu tujuzane!
 
GosbertGoodluck acha comments ambazo ni inflammatory na za kuchochea hasira. kwani wanaotuhumiwa kwa ufisadi wa elimu kama Mahanga, Nchimbi, Kamala, Lukuvi, Kwaang, Nagu au madokta wengine kama Malecela ni watu wa mwambao? Mimi sioni tatizo la mtu kutunukiwa shahada ya udatkari ya heshima kwa kutambua juhudi au mchango wake katika kitu au jambo fulani na ndiyo maana inaitwa shahada ya heshima. Hivi nani hajui kwamba ujenzi wa UDOM ambayo kwa kweli ni miongoni mwa investment kubwa za elimu kwa Africa nzima ni initiative ya JK. Ifike wakati watu waache phobia za kijinga na panapostahili kumsifu mtu asifiwe kama anavyopondwa pale panapostahili. Wangemwita watu wa Congress au House of Commons akasifiwa ndiyo tungetambua kwamba amefanya jambo jema? JK has done a great job katika suala la kuanzisha UDOM na hilo litabaki hivyo hata tukikasirika vipi.
 
anastahili kupewa wana chadema kama hamoni umuhimu wake basi mtulie sio lazima kusema au vipi zitto kabwe baambie venzako.
 
Chuo cha Uvuvi Mbegani wampatie Tuzo Mkwere wetu jamani! Nikosa Kumlinganisha Mkwere na baba wa Taifa....Kikwete is the worse president in Tanzania History

nasikia chuo cha Njuweni kipo kwenye mchakato wa kumtunuku stashahada ya heshima ya food and bevarages
 
Back
Top Bottom