JK na Shahada za heshima

sababu ya JK kupewa hiyo PHD ni MCHANGO WAKE MKUBWA KATIKA SEKTA YA ELIMU
 
Hayati RM Kawawa, nadhani alisahaulika sana lakini ni mmoja wa wazalendo wenye kustahiki heshima hiyo, kwa maoni yangu mimi.


Walau Ardhi Institute enzi zile walimuenzi kwa kumtunuka Stashahada ya USANIFU MAJENGO- Graduate Diploma in Architecture, ni wakati walipoanza program ya miaka 2 ya hii Diploma ili kuongezea ile ya awala ya miaka 3 ya Adv Diploma
 
Chuo ndio kinafanya mahafali yake ya kwanza ya kozi za undergraduate halafu wanatoa PHD honours mweh kuwa uyaone ujinga wote tumeachiwa sisi watanzania. Kwahiyo kikwete ni graduate wa kwanza hapo University of CCM Dodoma?
 
Chuo ndio kinafanya mahafali yake ya kwanza ya kozi za undergraduate halafu wanatoa PHD honours mweh kuwa uyaone ujinga wote tumeachiwa sisi watanzania. Kwahiyo kikwete ni graduate wa kwanza hapo University of CCM Dodoma?

Yah yule makamu mkuu wa UDOM Prof sikumbuki jina lake ila nina hakika ni muislamu alitoa maelekezo ya mchakato wa kumpata daktari wa heshima, kwamba wahadhiri wa chuo husika wanapiga kura ya ndio au hapana. Ila sikusikia kuwa uchaguzi huo unasimamiwa na nani. Wasiwasi wangu isije ukawa una simamiwa na nec hii iliyotangaza matokeo ya uchakachuaji juz> Hivyo hayo matokeo yakawa yamechakachuliwa, halafu mbaya zaidi lika muhusisha na hayati mzee wa watu RMK, MUNGU ailaze mahali pema roho yake.
 
Halafu kumbukumbu zangu Mkapa naye alitunukiwa hii kitu na Chuo KIkuu Huria na vyombo vya habari vikashadadia kweli hiyo initial lakini sasa naona kama wameisahau tena

jkk.jpg


"Chuo Kikuu Cha Dodoma leo kimewatunuku Shahada ya Heshima ya
Udaktari (Doctor Honoris Causa) Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete na Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa kwa kutambua michango yao mbalimbali katika Nyanja za siasa na sekta za elimu nchini ikiwemo kuasisi ujenzi wa Chuo hicho. Pichani ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa, akimtunuku shahada ya Heshima ya Udaktari Rais Dr.Jakaya Kikwete wakati wa mahafali ya kwanza ya Chuo hicho iliyofanyika katika ukumbi wa Chimwaga mjini Dodoma leo. Katikati ni Makamu mkuu wa Chuo Profesa Idriss Kikula"
 
Halafu kumbukumbu zangu Mkapa naye alitunukiwa hii kitu na Chuo KIkuu Huria na vyombo vya habari vikashadadia kweli hiyo initial lakini sasa naona kama wameisahau tena

jkk.jpg


"Chuo Kikuu Cha Dodoma leo kimewatunuku Shahada ya Heshima ya
Udaktari (Doctor Honoris Causa) Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete na Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa kwa kutambua michango yao mbalimbali katika Nyanja za siasa na sekta za elimu nchini ikiwemo kuasisi ujenzi wa Chuo hicho. Pichani ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa, akimtunuku shahada ya Heshima ya Udaktari Rais Dr.Jakaya Kikwete wakati wa mahafali ya kwanza ya Chuo hicho iliyofanyika katika ukumbi wa Chimwaga mjini Dodoma leo. Katikati ni Makamu mkuu wa Chuo Profesa Idriss Kikula"

Lakini mbona Mkapa hataki kuitwa daktari kama mwenzake au ndio kigezo cha kulinganisha tofauti za kiakili kati ya hawa viongozi wetu wawili.
 
SAFI SANA WANAPENDEZA HILO NDILO JENGO LA UTAWALA UDOM na kama MTU ANAHTAJI MIKASI KWANINI AACHWE
 
sishangai hiyo shahada amepewq na chuo cha kata sio chuo kikuu kwa hiyo haisumbui sana,uliona wapi UDSM wanatoa upuuzi kama huo
 
Interesting.

UDOM hawajawahi kutoa shahada ya PhD. Kwa hiyo JK ni "mwanafunzi" wa kwanza kuipata hiyo shahada. Yaani chuo kinatoa PhD ya kwanza si kwa aliyeisomea bali kwa anayepewa ya heshima? Well, ni maamuzi yao..LAKINI kwangu mimi nadhani wangesubiri mpaka wakapata mwanafunzi anayegraduate kwa PhD level ndo wakampa na Kikwete. After all wanaharaka ya nini? duh..wasomi wetu bwana..no wonder..wanatupeleka wanakotupeleka... Kwa sasa sijui hii ita-reflect vipi kwa chuo ambacho hakijawahi "kuzalisha" shahada ya PhD kinazalisha ya kwanza kwa kuitoa bure.

Talk of UDOM kuipiku Mlimani. Kwa mwendo huu? I doubt!
 
Interesting.

UDOM hawajawahi kutoa shahada ya PhD. Kwa hiyo JK ni "mwanafunzi" wa kwanza kuipata hiyo shahada. Yaani chuo kinatoa PhD ya kwanza si kwa aliyeisomea bali kwa anayepewa ya heshima? Well, ni maamuzi yao..LAKINI kwangu mimi nadhani wangesubiri mpaka wakapata mwanafunzi anayegraduate kwa PhD level ndo wakampa na Kikwete. After all wanaharaka ya nini? duh..wasomi wetu bwana..no wonder..wanatupeleka wanakotupeleka... Kwa sasa sijui hii ita-reflect vipi kwa chuo ambacho hakijawahi "kuzalisha" shahada ya PhD kinazalisha ya kwanza kwa kuitoa bure.

Talk of UDOM kuipiku Mlimani. Kwa mwendo huu? I doubt!


Wataipiku kwa majengo ila bahati mbaya maiti iliyo vikwa suti bado inaitwa maiti au?
 
Naomba anayejua zaidi maana ya kukata utepe atueleze. Ninavyofahamu mimi kukata utepe huwa ni ishara ya uzinduzi rasmi, sanasana wa majengo. Na kawaida huwa unafanyika kwa kutokea nje, kama vile wahusika ndo wanaingia humo jengoni kwa mara ya kwanza (they are only symbols that carry their meaning anyways). Sasa hawa wanaokata utepe kuelekea nje wanataka kutupa ishara gani?
 
SOURCE TBC, wanarusha live JK amepewa PHD ya HESHIMA na UDOM

kwanini wanafanya mahafali ijumaa?

baada ya swala ya ijumaa?

kwani udom ni chuo cha kiislamu?

mbona wamewapa jk na kawawa tu?

au kwa kuwa jk na kawawa ni waislamu? swala 5?

wakristo je? hawastahili heshima?

au kwa vile wakristo hatupendi vitu vya kuchakachua?
 
Back
Top Bottom