Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Jamani niambieni, JK kajibu nin? Kweli huyu jamaa anauwezo wakuongoza nchi? Kibonde kashindilia msumali. Ndie maana kumbe alikataa debate na Slaa & Lipumba.
Nafungua mjadala
Swali Alilouliza kibonde kwa JK kama sijakosea Ukiingia Madarakani Hebu tupe taswila sahii ya Serikali yako na jinsi utakavyo mwandaaa yule utake mwachia.
Na JK alilika 50 Meters na hakujibu akaishia nijibu nini sasa hapo.
Kibonde alitaka kujua
1: Mfumo wa Baraza lake la mawaziri?
2: Serikali yake itawajibika kiasi gani kwa wananchi?
3: Nani atakuwa Mrithi wake baada ya muda wake kuisha?