acha kupenda penda ovyo, Kibonde kauliza open-ended softball, swali ambalo unaweza kujibu vyovyote unavyotaka "Mheshimiwa, kwanza salam aleikum; Nini itakuwa sura ya serikali yako mpya"? Hilo nalo swali?
Kikwete akasema nitapanga upya mawizara yawe fanisi zaidi, halafu akamuuliza Kibonde mara mbili, "unataka nijibu nini zaidi ya hapo"? Kibonde akakenua kenua meno tu, Kikwete akamwona mwepesi, akapandishia swala la serikali ijayo kukabiliana na urasimu wa makaratasi katika mfumo wa serikali ili ukiomba passport mkoani isiwe lazima uje Dar kuonana na ofisa uhamiaji. And this was arguably the better response Kikwete offered tonight. Mwishoni kina Kibonde wenyewe wakaishia kumpigia makofi Kikwete.
Kikwete ni lightweight ( na amesema hivyo leo "hata mkisema Kikwete hana akili, ovyo, mimi sijali"), lakini sio mbele ya wanahabari wa ilk ya Kibonde, wale ni vibonde wakubwa zaidi.