Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,997
- Thread starter
- #81
Ok.. tukubaliane kuwa alikuwa Wakili wa kujitegemea miaka mitano iliyopita. Watu wakisoma majibu yangu mara zote nimetumia qualification kwa maana ya kwamba info zaidi zikipatikana itasahihishwa. Sasa watu wamefikia kuitana waongo.. kwa sababu tarehe ya uwakili wake haikuwekwa definite.
Jamani msome basi kilichoandikiwa! wengine tunatumia maneno vizuri sana tukitaka kumaanisha tunachotaka kusema tunakisema hivyo hivyo.
Nimesema kwenye taarifa ya kwanza "kama mwaka mmoja"
nilipomjibu Jmushi nikasema "exactly! as far as I know"..
wakosoaji na wanaopenda ligi zisizo na ulazima hawajui maana ya "kama" au "as far as I know"!
Jamani msome basi kilichoandikiwa! wengine tunatumia maneno vizuri sana tukitaka kumaanisha tunachotaka kusema tunakisema hivyo hivyo.
Nimesema kwenye taarifa ya kwanza "kama mwaka mmoja"
nilipomjibu Jmushi nikasema "exactly! as far as I know"..
wakosoaji na wanaopenda ligi zisizo na ulazima hawajui maana ya "kama" au "as far as I know"!