Sasa ukiendelea na obfuscations kama hizo utaanza kuonekana mwongo, na mimi nitakuja kukuita mwongo!
sasa wewe ukiniita mimi mwongo, na wewe nitakuita nani? UONGO ni kwa makusudi kuficha ukweli. Well, kati ya mimi na wewe rekodi zetu ziko wazi.
Umekubali kwamba alikuwa wakili miaka mitano iliyopita halafu unataka kuanza kuuma uma ulimi na kujitetea kwamba uliposema "kama mwaka mmoja" ilitosha ku qualify kujuimisha miaka mitano.
Maana yake ya "kama" siyo kujumuisha miaka mitano. Ni kuwa sikuwa na uhakika wa muda aliokuwa Wakili huko nyuma. Sasa ningekuwa na uhakika wa asilimia 100 (kwa kiwango chochote cha miaka) nisingetumia neno "kama".
Toka lini "kama mwaka mmoja" ikawa sawa kukadiria kipindi cha miaka mitano na kusababisha mjadala mrefu kuhusu uzoefu?
Nimeshajibu hapo juu, chanzo kilichotoa taarifa hiyo kwangu ndicho kilichokisikia muda huo. Details za nani ameteuliwa, kutoka wapi na kwenda cheo gani zilikuwa sahihi, kwamba aliyeteuliwa alikuwa ni Wakili kabla ilikuwa sahihi, tatizo lilikuwa kwenye muda siyo mimi wala chanzo kilikuwa na uhakika. Now, if that is a big deal so be it!
Hii stori ya pili mfululizo umeleta hapa imepinda (pamoja na Jamiiforums kufungiwa Chuo Kikuu Dar).
As usual.. you don't read what actually was written! Ungekuwa unasoma wala usngekuwa unapata shida hizi.
Sasa uko kwenye shimo la credibility, cha kwanza cha kufanya ukiwa kwenye shimbo ni kusimamisha kuchimba. Ukijitetea tetea ovyo ovyo ndo utaonekana mwongo.
Hilo shimo nimeingia mara nyingi sana na miongoni mwa vitu ambavyo siogopi kuingia. Uzuri wake ni kuwa masterfully and incredibly I know how to get myself out of it in the amazement of my perpertual and sworn critics.. it is what make the man. So, don't try too hard kwa sababu when it comes to credibility, you have no standing.
Habari ulizoleta inaonekana si za kweli, umesema mwenyewe zinaweza kusahihiswa kwa hiyo usisema wanaokusahihisha wanaleta ligi.
once again, you don't get it. Habari nilizoleta zina ukweli!
a. Jaji Fakihi ameteuliiwa kuwa Jaji Kiongozi - it is not true according to you
b. Jaji Fakihi ametokea Iringa akiwa Mahakama Kuu - It is not true according to you
c. Jaji Fakihi alikuwa wakili wa kujitegemea - not true
d. Imemchukua muda mfupi tangu kuwa Jaji wa Mahakama Kuu hadi kuwa Jaji Kiongozi - Not true
then if that is the case, truth has lost its meaning! Ninachokubali na kitu ambacho mtu yeyote anaweza kukiona ni kuwa sehemu ya habari niliyoleta haikuwa sahihi. Kitu kutokuwa sahihi haina maana ni uongo. I need to teach philosophy, for real!