Vito Corleone
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 2,235
- 4,792
According to ze Generali him self, ni rahisi kufahamu hili na sio roketi sayansi. Anasema kama upo Dar na mpenzi wako ana mshahara chini ya milioni 6 take home, ana gari na anakula bujiii, basi fahamu kama sio Mwizi basi ni Danga.
Well, kuna watakaouliza General Ulimwengu kafanya lini utafiti, but kwangu naamini ana uhakika anachokisema huyu Mwandishi Mwandamizi mbobevu, nguli kabisa.
Unakuta dada pisi ina ndinga Kali, inajiita miss independent ila ukifuatilia biashara anayofanya utakuta anauza ubuyu wa nazi! Sasa wewe muige uuze!
Well, kuna watakaouliza General Ulimwengu kafanya lini utafiti, but kwangu naamini ana uhakika anachokisema huyu Mwandishi Mwandamizi mbobevu, nguli kabisa.
Unakuta dada pisi ina ndinga Kali, inajiita miss independent ila ukifuatilia biashara anayofanya utakuta anauza ubuyu wa nazi! Sasa wewe muige uuze!